Tatizo linalotokana na kukua shughuli za Bandari: Barabara za Kurasini, Mandela, Chang'ombe, Mbagala hazipitiki

Wewe ni mmojawapo wa wakimbizi wa Rwanda (Jidulamabambasi) ukitumia jina la wasukuma wa kutokea Shinyanga ulifurahi sana JPM kufa ambaye alitaka shughuli zote za bandari zihamishiwe VIGWAZA baada ya kutenga eneo la bandari kavu kwamba malori yote yangetakiwa kuishia huko na kubeba mizigo kisha wanaondoka. Ndio maana hata barabara ya PPP alitaka ianzie Chalinze hadi Morogoro
 
Ati mi mrwanda, hilo ni tusi kwani mi siwezi kuwa Mtutsi.
Muuaji JPM hawezi kupendwa na watu, pengine wewe hukuuwawa au ndugu zako kuuwawa. Kama unawapenda wsuaji nenda huko huko Rwanda kwa PK.
Bado hujajibu mada jinsi ya kuondiamsongamano wa malori kuzunguka Bandari. Makontena hayawezi kuruka kama ndege toka Bandarini hadi Vigwaza.
 
Ndio hasara hiyo ya kutaka kilakitu kifanyike Dar.

Nchi hii Ina Bandari kwenye Miji zaidi ya 8 huko Pwani lakini Kila kitu ni Dar.
 
Flyover ndilo suruhisho.
 
Maeneo ya kurasini temeke na chango'mbe. Yawe declared industrial zone.
Kuna baadhi ya maeneo yalishapangwa hivyo. Kuna washalipwa wahame kwa ajili ya kutanua bandari, mivinjeni n.k
 
Mlimpinga JPM na Wazo lake la kuweka Bandari kavu mipakani
 
Wanasubiri Rais atoe tamko..
yaani utadhai wafanya kazi wa tanroad hawatumii barabara hizi tunazotumia sisi..
 
Utatuzi hapa ni ile bandari kavu ya Vigwaza ifanye kazi ikisaidiwa na ya Isaka na Makambako ndiyo itapunguza kiasi kikubwa cha msongamano wa katika barabara ya Kilwa na Hasa kutokea bendera tatu mpaka mataa ya Uhasibu, kipande cha kutokea gate 2,3.4.5.6.7. mpaka interchange za kwenda Kigamboni hadi Ubungo. Ukitaka jua adha ya malori haya anza safari toka Dar mpaka unafika Morogoro malori njia nzima yanasababisha foleni. Reli ndiyo njia pekee ingesaidia sana kuondokana na kadhia hii na pia ndiyo njia inayosaidia kulinda hata uharibifu wa barabara.
 
Mkuu umesema sawa ila bado unajikanganya kama wengine.
TATIZO ni jinsi ya kuyatoa makontena bandarini, #Hilo ndo issue.
Serikali inashindwa kuitumia reli isiyo na mshindani, badala yake inatumia mageti uliyoyataja kujaza malori barabarani.
Wizara ya Uchukuzi hapa inaonyesha ukilaza wake.
 
Mandela Road kabla ya jina hilo iliitwa Port Access, na ilikua maalum kwa malori kuifikia bandari. Lakini sasa imezidiwa. Suluhisho ni kuwa na bandari kavu nje ya Dar es Salaam!
 
Mandela Road kabla ya jina hilo iliitwa Port Access, na ilikua maalum kwa malori kuifikia bandari. Lakini sasa imezidiwa. Suluhisho ni kuwa na bandari kavu nje ya Dar es Salaam!
Halafu meli zitaenda huko bandari kavu au siyo?
 
TRC ilibidi wawe wamechangamkia hiyo fursa zamani sana, jenga bandari kavu morogoro au dodoma malori ya mikoa ya kusini na kanda ya ziwa yaishie huko yote
Kuna bandari kavu kwala ilishakamilika ila na imeunganishwa na reli ila wapiga dili hawataki ifanye kazi
 
Foleni lazima iwepo maana mmezitindua barabara zote kwa ajili ya ujenzi,ila cha ajabu watu,mainjinia hawako site kazi zimesimama...foleni lazima

Ova
 
Foleni lazima iwepo maana mmezitindua barabara zote kwa ajili ya ujenzi,ila cha ajabu watu,mainjinia hawako site kazi zimesimama...foleni lazima

Ova
Mainjinia Mungu anawaona 😑😑😑
 
Bandari ya Dar es Salaam imebeba mzigo mkubwa wa biashara za kimataifa, jambo ambalo linaweza kusababisha msongamano, ucheleweshaji wa huduma, na gharama kubwa za uendeshaji. Kama bandari nyingine za Tanzania kama Bagamoyo, Tanga, Mtwara, na Lindi zingepangiwa majukumu kulingana na kanda au aina ya mizigo, ingeweza kupunguza mzigo huo na kuongeza ufanisi wa biashara.





Mfano wa mgawanyo wa majukumu:


1. Bandari ya Dar es Salaam – Iendelee kushughulikia mizigo ya kimataifa kwa kiasi, lakini kwa kupunguza msongamano kwa kusambaza sehemu ya mizigo bandari zingine.


2. Bandari ya Bagamoyo – Ikiwa ni bandari yenye eneo kubwa, inaweza kushughulikia makontena makubwa na kuwa kituo kikuu cha usafirishaji wa mizigo mikubwa.


3. Bandari ya Tanga – Inaweza kuhudumia zaidi biashara ya Kaskazini mwa Tanzania na nchi jirani kama Kenya na Uganda.


4. Bandari ya Mtwara – Iwe kitovu cha usafirishaji wa makaa ya mawe, gesi asilia, na bidhaa za kusini mwa Tanzania.


5. Bandari ya Lindi – Inaweza kuwa maalumu kwa shughuli za uvuvi, gesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…