Tatizo linalotokana na kukua shughuli za Bandari: Barabara za Kurasini, Mandela, Chang'ombe, Mbagala hazipitiki

Vyovyote vile
Kuhusu msongamano wa magari kwenye barabara zile utatuzi wake ni ujenzi wa Barabara za Mandela, Kilwa na Ubungo hadi Kibaha kwa njia 6 hadi 8. Hili liambatane na ujenzi wa commuter trains kwenye njia hizo za barabara. Pia mradi wa ujenzi wa barabara ya Maroli hadi Chalinze ufufuliwe n ijengwe.

Kwa efficiency ya Bandari na kukua kwa biashara, ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo( kwa gati si chini ya 40) unaoambatana na ujenzi wa miundombinu ya kisasa ya reli na barabara pana kuunganisha bandari hiyo na mkoa wa Dar na mikoa mingine ndo suluhisho la kudumu.

Bandari ya Tanga inaweza kuwa designated kwa shughuli za upakuaji na usafirishaji wa Gesi/ Mafuta tu huku Bandari ya Mtwara ikiwa designated kwa shughuli zingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…