Friday Malafyale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2017
- 1,811
- 2,916
ina stuck hasa nikiiwasha yani tuseme mda fulani ukiingia mtandaoni na pia kma unafanya mengine kama kuplay music na mengineyo inakaa mpaka mda fulani then inatulia baadae mpaka nai force kuizima niiwashe tenaInakuwa Ina stuck wakat gan sana?
Pirate
Setup Scan to Folder On Ricoh Copier in Windows 7Nimenunua printer multfunction ila sijaweza bado kuweka settings za scanner. Mwenye uzoefu na mambo ya scanner tusaidiane.
Ricoh aficio 3025 ....hiyo ndio model ya printer
Sent using Jamii Forums mobile app
Kustack kwa pc uwa mostly ni tatizo LA hardware sio sana software, kwaiyo jarb kuchange windows kwanza.ina stuck hasa nikiiwasha yani tuseme mda fulani ukiingia mtandaoni na pia kma unafanya mengine kama kuplay music na mengineyo inakaa mpaka mda fulani then inatulia baadae mpaka nai force kuizima niiwashe tena
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Kila naposoma reply zako naona upendo na moyo wa kusaidia hongera kwa moyo huo na Mungu akubariki na ufanikiwe kwa yote uyafanyayo.mkuu kwa urahisi zaid nenda hapa How to boot into safe mode on Windows Vista and 7 on your Dell PC
####
kama usipoelewa zaidi usisite kuja kuuliza tena mkuu
Labda ni ram ndogo kutokana na vitu ulivyoviweka kwenye pc yakolaptop yangu aina ya ACER inachelewa sana kuwaka tatzo ni nini, nikiwasha inawaka ila kudislay desktop inachelewa sana
Mkuu window explorer inajirestart baada ya muda.Kustack kwa pc uwa mostly ni tatizo LA hardware sio sana software, kwaiyo jarb kuchange windows kwanza.
Pirate
Mimi PC yangu nikifungua game inasema not enough video memory.Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya
Karibuni sana wakuu
Pirate
Kutokana na game unazotaka kucheza ndio itakudai hivyo na kama game kubwa pia inataka video memory kubwa ambayo uwa inakuja na cheap za video card kwaiyo angalia video memory yake ukubwa wake ndio uweze kudownload game zinazoendan na size ya memory yako kama sivyo game zote kubwa zitakukatalia mostly ni hiz latest game zinaitaji video memory kubwa Sana mkuuMimi PC yangu nikifungua game inasema not enough video memory.
Kazi nyingine inapiga fresh tu
Tatizo ni nn na nifanyaje
Ndiyo mkuu. Kuna wakati nacopy file inajirestart kwahiyo inabid nianze moja kurusha.unamaanisha file explore mkuu au sijakuelewa vizuri ,
Sawa mkuu .lakini ata gta 3 na yenyewe inagoma[emoji2] [emoji2]Kutokana na game unazotaka kucheza ndio itakudai hivyo na kama game kubwa pia inataka video memory kubwa ambayo uwa inakuja na cheap za video card kwaiyo angalia video memory yake ukubwa wake ndio uweze kudownload game zinazoendan na size ya memory yako kama sivyo game zote kubwa zitakukatalia mostly ni hiz latest game zinaitaji video memory kubwa Sana mkuu
Pirate
Kaka Pirate pole na uchovuKutokana na game unazotaka kucheza ndio itakudai hivyo na kama game kubwa pia inataka video memory kubwa ambayo uwa inakuja na cheap za video card kwaiyo angalia video memory yake ukubwa wake ndio uweze kudownload game zinazoendan na size ya memory yako kama sivyo game zote kubwa zitakukatalia mostly ni hiz latest game zinaitaji video memory kubwa Sana mkuu
Pirate