SPYMATE
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 2,071
- 1,960
Shukrani mkuu tatizo lilikuwa RAM. Inachagua sana maana nimetest zaidi ya 10 ikaja kukubali moja tumkuu kama ni hivyo kwa ushauri jaribu kubadilisha kifaa kimoja kimoja kwenda kwenye pc nyingne maana inavyoonekana sijajua hasa ni kilichosumbua kwenye pc yako kama ram nzima, na display yako aina matatizo, jaribu njia hiyo japo ni ngumu kidogo lakini ndio itakupa uhakika kipi ni kizima na kipi ni kibovu kama utaweza