ilishawahi kunitokea mm pia kuna laptop nilikuwa natumia pia kipindi fulani hiv, but chakufanya ambacho mm pia nilifanya, kama unavyosema ukitaka kubonyeza kiulizo inatokea jumlisha basi kwenye jumlisha ndio kiulizo kinapokuwepo, na ndio hivyo na herufi au alama nyingine kama ukitaka ubonyeze "/" ikatokea "\" ujue kwenye hiyo ya "\" ndipo ilipo"/", ni ngumu kidogo kuielewa. kusababishwa kwa hili labda;
##wakati baada ya kufanya format window7 kuna sehemu ya kuchagua keyboard format hapa wengi uwacha default configuration zilizokuja na windows wanazoziweka ila wengine uwa wanajaribu kubadilisha na kuchagua nyingne kwa mfano kwenye region and language. basi kwa ushauri jarbu kaweke iwe us english, ambayo kwenye keyboard pia inakuja itakuwa hivyo, kuipata jinsi ya kubadili ni hivi (windows ) start>control panel>regional and language>keyboard and languages>change keyboard jaribu kuweka us -english united states
## kama umenunua second hand pc basi wameforce keyboard ambayo sio yake ndio maana inakuletea hivyo kwaiyo itabidi uizoee