Tatizo lolote la PC/device

Hi
Pc ina usb port 3
Hp pavilion 15
Port moja haifanyi
Kazi
All drivers zake ziko poa
Solution yake hapo nini?
Kuna uwezekano wa kubadili port?
Mi nilikuwa na case kama hiyo ila mm ni usb port zote hazifanyi kazi, ila hii ilianza baada ya kujaribu kuedit registry ili niformat flash iliyokuwa write protected. Kuna njia yoyote ya kuroll back registry settings japo sina backup yake?
 
nimekua nikitumia PC ambayo na iunganisha na simu kwa matumizi ya Internet lakin saivi nikifanya hivo mb zinaliwa sana tofauti na nikitumia simu pekee
wakuu tatizo litakua nn na jinsi ya kulitatua
 
Laptop yangu DELL haiwaki, imezima baada ya umeme kukatika nilipokuwa naitumia maana haikai na chaji, umeme ulivyorudi nimewasha inawaka taa ya kijani kama sekunde 3 tu basi..kitaa kinazimika na laptop ndo haiwaki kabisaa..MSAADA PLIZ.
 
Uwezekano wa kubadili port upo, lakin source ya ilo tatizo cjajua hasa n nn? Labda sema ilo tatizo limekuja na hiyo pc au limeanza badae?
Limeanza ghafla
Nimeangalia drivers zote ziko sawa
Nime troubshoot ziko.ok
Niawa sina uhakika kama inawezekana kubadili porn
Itabidi nitafute fundi wa hardware abadiki port sasa
 
Nimenunua VGA kwa HDMI adapter lakin kwenye desktop hiyo cable inafanya kaz kwenye laptop No signal kwenda kwenye flat screen tatizo ni nini? Naomba msaada wa software kama ipo
 
Laptop yangu DELL haiwaki, imezima baada ya umeme kukatika nilipokuwa naitumia maana haikai na chaji, umeme ulivyorudi nimewasha inawaka taa ya kijani kama sekunde 3 tu basi..kitaa kinazimika na laptop ndo haiwaki kabisaa..MSAADA PLIZ.


Inapowaka kila kitu kinafanya kaz yan,

Fan inazunguka?

Kioo kinaonesha kitu chochote ?
 
nimekua nikitumia PC ambayo na iunganisha na simu kwa matumizi ya Internet lakin saivi nikifanya hivo mb zinaliwa sana tofauti na nikitumia simu pekee
wakuu tatizo litakua nn na jinsi ya kulitatua


Unatumia windows gani?
 
Inapowaka kila kitu kinafanya kaz yan,

Fan inazunguka?

Kioo kinaonesha kitu chochote ?
Kioo hakiwaki na feni haizunguki..ni kitaa cha kijani tu kinawaka kama sekunde 5 ivi afu kinazimka...zamani kabla ya hili tatizo kitaa cha kijani kilikuwa kinawaka ndo feni inazunguka na kioo kinawaka.
 
Kioo hakiwaki na feni haizunguki..ni kitaa cha kijani tu kinawaka kama sekunde 5 ivi afu kinazimka...zamani kabla ya hili tatizo kitaa cha kijani kilikuwa kinawaka ndo feni inazunguka na kioo kinawaka.

Ni pc gan na model gani?
 
Pc yangu dell nikiwasha feni inazunguka afu screen aioneshi,afu inazims ttz nini???
 
Dell nikiwasha fenii inazunguk afuu inakata lkn kwenyee screen aiwakii ttz niniii???
 
Possibility ni mbili hapo

1. Motherboard ina shida kwenye capacitors, Kama unamjua fund mzur mwambie akuchekie hizo capacitors au Kama anaweza kubadilisha

2. Au jarbu kubadil cmos battery
 
JAMANI MSAADA NANI ANAJUA KUTOA VIRUSI FLAN WANA CHANGE PROGRAM ZOTE ZINAKUA ZERO BYTE? WANANISUMBUA SANA MANA WANAKULA PROGRAM ZOTE ZILIZOPO KWENYE COMPUTER!!!
Wakuu hakuna anayejua hii case?
 
Jaman msaada nna hp yangu sio ya muda sana ..ina kama mwaka na miez ni mpya ..
Ila juzi hapa nlitaka kuupdate window 10...basi nkaiacha usiku ikiwa charge maana betri ilikuwa imeisha kabisa..ila nashangaa asbuh kuangalia imemaliza kuupdate kila kitu ila ...betri halijai wala haiingizi charge ..inaandika 0%charge.not charging...na nkitoa charger inazima kabisa ...
Msaada jaman..
 
Mkuu pc yangu ni hp nikiwasha feni inazunguka inapiga kelele kma mvumo flani then inakuwa kma inatoa hewa ya moto then pc inakuwa nzito unaweza fungua kitu ina load muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…