Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,010
- 7,360
Simple tu ni betri imekufa mkuu...jaribu kutoa berries then weka chaji I was he... Ukiona imewaka vizuri na ile sehem ya chaj in a display kidogo ishara ya chaji, jua betri limepoteza ubora.... Costly ya betri za HP nadhani haizidi 80 mimi last term nlinunua used 48Jaman msaada nna hp yangu sio ya muda sana ..ina kama mwaka na miez ni mpya ..
Ila juzi hapa nlitaka kuupdate window 10...basi nkaiacha usiku ikiwa charge maana betri ilikuwa imeisha kabisa..ila nashangaa asbuh kuangalia imemaliza kuupdate kila kitu ila ...betri halijai wala haiingizi charge ..inaandika 0%charge.not charging...na nkitoa charger inazima kabisa ...
Msaada jaman..