Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Wakuu nna nokia lumia 610 Wp version 7.5 naomba msaada wa kuipandisha iwe 7.8
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado mpaka leo sijafanikiwa if u have any solution please help me to solve it ..
Laptop Yangu (Acer)Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu (zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya.
Karibuni sana wakuu
Pirate
Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu (zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya.
Karibuni sana wakuu
Pirate
Wakuu nina ka dell laptop nikikawasha screen iko dim wakati brightness iko 100% Tatizo nini viongozi
Unasahau kuistal draiver za printerJamani mjuzi wa kuinstall printer laserjet mfp 125nw naomba msaada wake mimi nainstall inakataa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uchafu kwenye sendor ya mounse au mkanda umelegeaLaptop Yangu (Acer)
Display inazingua, sometimes cursor inastuck mpaka uweke display kwenye angle Fulani ndo cursor inatembea
Sent using Jamii Forums mobile app
Acer ngapiLaptop Yangu (Acer)
Display inazingua, sometimes cursor inastuck mpaka uweke display kwenye angle Fulani ndo cursor inatembea
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta cmos batteryMashine yangu aina ya mecer ina tatizo la kutowaka kwa wakati,na wakati mwingine huwaka na kupiga mzigo kama kawa,pia ina shida ya kupoteza majira wakati zamani haikuwa hivyo na miaka 8 hadi sasa.
Kama una idea na utatuzi wa hili anielekeze plse
kaka mm PC yangu HP niliformat win 7 pro ila inawka adi kwny brand logo then inazima nifanyejeHabari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu (zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya.
Karibuni sana wakuu
Pirate