Best Anko
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 409
- 778
inawezekana tatizo ni software or hardware. ilete tuikagueMsaada laptop yangu aina ya lenovo thinpad 100 kuna mda inakuwa inawaka na kuzima nini inaweza kuwa chanzo cha tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawezekana tatizo ni software or hardware. ilete tuikagueMsaada laptop yangu aina ya lenovo thinpad 100 kuna mda inakuwa inawaka na kuzima nini inaweza kuwa chanzo cha tatizo
Ni tatizo la software. ilete tuichunguze zaidCmd command kwenye desktop yangu ukifungua tu inapotea, nimejaribu kufanya njia zote nimeshindwa, na hua napenda sn kutumia cmd kujifunza command mbalimbali.
Lete tuikagueWakuu external yangu umefika kusoma yaani file zote hazifunguki
Hauizimagi.PC yangu nikiconnect tu kwenye umeme inajiwasha yenyewe tatizo ni nini?
Fanya reinstallation of windows itakaa vizurip c yangu haibooty window harddisk mzima nifanyeje
Wakati inajireboot chomoa USB au CD unayofanyia installation.Habari bro,
Niko nafanya installation ya Win 10 kwenye dell pc model ya kisasa ya Optiplex 3050. Shida ni kwamba haimaliza installation ina run ikifika ku reboot inarudia process za nyuma. Hapo shida iko wapi?. Win 10 ni genuine.
Unatumia mouse au touch pad?Wakuu, msaada kidogo, nina computer aina ya acer TRAVEL MATE....sasa nikifungua excel sheet nikiwa nafanya kazi zangu ile kasa (Ka alama ka kujumlisha + huwa kanacheza cheza kama kana blink hiv, tatizo litakuwa nini.........
Jaribu kuwasha bila betri.Habari za ucku wakuu
Naomba msaada kdg,nina laptop yangu hp toka juzi inachelewa kuwaka.nikibonyeza powerbotton inachukua takkriban dkk 8 hv au zaodi ndo screen inadisplay kuanza kuwaka.
Naomba kusidiwa ttz ni nini hapo?
Nimefanya hivyo lkn bado nikirudisha flash baada ya muda tatizo linajirudia.Wakati inajireboot chomoa USB au CD unayofanyia installation.
ikijireboot ikikwambia "press any key..." usibonyeze chochoteNimefanya hivyo lkn bado nikirudisha flash baada ya muda tatizo linajirudia.
Cmos betri ipoo
Hauizimagi.
Nadhani nikiiangalia naweza kusolve.. Ni tatizo dogo nitafute nikurekebishie.Naizima. Mwanzoni wala haikuwa hivyo imeanza tu siku za hivi karibuni.
Nadhani nikiiangalia naweza kusolve.. Ni tatizo dogo nitafute nikurekebishie.
Ukichomeka chaji inajiwasha.. Ukiizima baada ya kuchomeka chaji inajiwashaga tena?Nipo mikoani huku mkuu.
Ukichomeka chaji inajiwasha.. Ukiizima baada ya kuchomeka chaji inajiwashaga tena?
Pole. Ungekua karibu ningeangalia jinsi ya kukusaidiaNdio.
Asante mkuu.Pole. Ungekua karibu ningeangalia jinsi ya kukusaidia
Yah Probably BIOSAsante mkuu.
Lakini kwa uzoefu wako kuna kitu kitakuwa na hitilafu humo ndani? Je nikiendelea kuitumia computer haiwezi kuleta shida nyingine?