clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,387
- 2,516
kununua keyboard mpya ina gharimu kiasi gani??
PC yangu ni aina Ya DELL ,
PC yangu ni aina Ya DELL ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikianza kurestart chomoa Flash afu ikiendelea na process irudisheHabari bro,
Niko nafanya installation ya Win 10 kwenye dell pc model ya kisasa ya Optiplex 3050. Shida ni kwamba haimaliza installation ina run ikifika ku reboot inarudia process za nyuma. Hapo shida iko wapi?. Win 10 ni genuine.
Kwanza kabisa uwezekano wa kuwa na virus ni mkubwa. Ama kama ulibadili adapter yake ukaweka ilivyo na voltage ndogo. Ila option 1 ndo sababu, angusha windows itakua poaHabari za ucku wakuu
Naomba msaada kdg,nina laptop yangu hp toka juzi inachelewa kuwaka.nikibonyeza powerbotton inachukua takkriban dkk 8 hv au zaodi ndo screen inadisplay kuanza kuwaka.
Naomba kusidiwa ttz ni nini hapo?
Kama uliinstall drivers ama uliweka device mpya, run system restore. Otherwise ondoa ram halaf fanya blowing then angalia kama tatizo limeishaPc yangu HP inaonesha blue screen na maneno
Tatizo na suluhisho ni nini?View attachment 1539010
Jarbu kutafta ram nyingnelaptop yangu imezimika ghafla, nikiwasha feni inawaka baada ya sekunde kadhaa inazimika, HP laptop, tatizo ni nini hapo kiongozi.
Asante mkuuJarbu kutafta ram nyingne
Nimefanya hivyo imegoma kaka.Ikianza kurestart chomoa Flash afu ikiendelea na process irudishe
Sent from my SM-M105F using JamiiForums mobile app
Cmos betri ipooPC yangu nikiconnect tu kwenye umeme inajiwasha yenyewe tatizo ni nini?