Mkuu, PC yangu feni inagoma kuzunguka. Msaada tafadhaliFanya reinstallation of windows itakaa vizuri
Inabidi isafishwe kwanza ndo uangalie mambo mengineMkuu, PC yangu feni inagoma kuzunguka. Msaada tafadhali
KaribuAsante
Inawezekana power haifiki kwenye feni so jaribu kutest ama kucheck ile jumper ya feni then angalia pia kama ina vumbiMkuu, PC yangu feni inagoma kuzunguka. Msaada tafadhali
Shukran sanaInawezekana power haifiki kwenye feni so jaribu kutest ama kucheck ile jumper ya feni then angalia pia kama ina vumbi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Asante sanaInabidi isafishwe kwanza ndo uangalie mambo mengine
KaribuAsante sana
Ni kama mfano WA simu yako unakuta Samsung note 5 ad note 7, so kwenye computer core I zinasaidia kuongeza speed, performance na hata nyingine inasaidia durability ya computer, but Zaid n hivyo viwil vya mwanzonNaomba kusaidiwa kujua core(i)kubwa Kwenye PC nasaidia nini
Kuna shida hapa katika upigaji wa window, kuna shida hapa pc inasema we could not create new partitionHabari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu (zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya.
Karibuni sana wakuu
Pirate
Ungeongezea nyama kidogo, maana kuna uwezekano ikifika asilimia hizo inaji restart na kuboot kupitia installation media.... kama ni hivyo make sure inapojirestart cd ta window ama flash vinakua havipo connected na pc...Desktop imekuja kutoka dukani na Ubuntu nimepiga window 10 but inapofanya installation unapofika 70% inaanza upya je tatizo nini.
Inakataaje?lenovo pc series g500 inakataa wifi driver
Tatizo umelielezea kwa kifupi mno... namna ya kukusaidia inakua ngumKuna shida hapa katika upigaji wa window, kuna shida hapa pc inasema we could not create new partition
Mkuu nina HP yangu nikiichomeka kwenye charge inajiwasha yenyewe tatizo nini?Tatizo umelielezea kwa kifupi mno... namna ya kukusaidia inakua ngum