Ni Aina Gani ya PC hiyo?Kuna shida hapa katika upigaji wa window, kuna shida hapa pc inasema we could not create new partition
YesUkiijua vizuri software kumbe pc haiwezi kusumbua sana
Mkuu inabid uende kwenye Duka au Kama fundi unaweza kumpata akakubadilishia kutokana na eneo husika ulipoPc yangu Hp spectre imepata cracks kwny kioo. Nilikuwa nahitaji kubadili kioo
Em jaribu kutuma screenshot ya hiyo error Kama inawezekana mkuu.lenovo pc series g500 inakataa wifi driver
Kwa kuelewa haraka inawezekana kuwa ni shoti ilipiga hiyo pc, hapo inatakiwa uende Kwa fundi ndipo upate Msaada.Mkuu nina HP yangu nikiichomeka kwenye charge inajiwasha yenyewe tatizo nini?
YaaniTatizo umelielezea kwa kifupi mno... namna ya kukusaidia inakua ngum
Hp mkuu wanasema hard disc imekufa
Sasa mkuu Kama imekufa uwezo wa kuitumia pia haiwezekan kabisa, cha kufanya Kama unaweza kanunue hard disk nyingne mkuu.Yaani
Hp mkuu wanasema hard disc imekufa
PamojaSasa mkuu Kama imekufa uwezo wa kuitumia pia haiwezekan kabisa, cha kufanya Kama unaweza kanunue hard disk nyingne mkuu.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Sawa asante.Kwa kuelewa haraka inawezekana kuwa ni shoti ilipiga hiyo pc, hapo inatakiwa uende Kwa fundi ndipo upate Msaada.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Betri nyingi za hp uwa zinakuwa kwenye 50k-70k Ila hiyo ni bei ya Kwa mafundi kkoo pale. Dukani nahisi inaweza ikafika around 120k au Zaid Kwa betri za HP.HP pavilion dv6 betri yake naipata kwa bei gani
Siwezi uziwa za ubora mdogo. Najuaje kama iko sawaBetri nyingi za hp uwa zinakuwa kwenye 50k-70k Ila hiyo ni bei ya Kwa mafundi kkoo pale. Dukani nahisi inaweza ikafika around 120k au Zaid Kwa betri za HP.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
FYI, betri inayokuja na ubora mzur nyingi ni zile ambazo zinakuja na pc Yan namaanisha mpya inayokuja na PC mpya Tu, hizo nyingne inakuwaga kupata Kwa kuotea but ubora wake sio mzuri wala sio mbaya pia inakuwa kawaida TuSiwezi uziwa za ubora mdogo. Najuaje kama iko sawa
Sasa mkuu Kama imekufa uwezo wa kuitumia pia haiwezekan kabisa, cha kufanya Kama unaweza kanunue hard disk nyingne mkuu.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Mkuu issue hapo ni kubadilisha kiooPc yangu imeleta mstari mweupe kwenye kioo. Kutoka juu kwenda chini (vertical). Haina crack, ila ilijitokeza baada ya kuangalia movie usiku, nikazima asubuhi naiwasha nakuta mstari mweupe. Sikuilalia au haijadondoka. Ni HP
Mkuu hii betry handa 650000HP pavilion dv6 betri yake naipata kwa bei gani
Hard disk yako mbovu,Desktop imekuja kutoka dukani na Ubuntu nimepiga window 10 but inapofanya installation unapofika 70% inaanza upya je tatizo nini.
Mkuu ni issue ya kawaida badilishaWakuu Nina Desk top pale Ofcn ni ya kazi
Sasa Ile Desk top haija badilishwa window huu ni mwaka wa 3.
Pia natumia office ya 2010.
Pia ndani ya Case yake ni vumbi na uchafu mwingi.
Pia ina kawaida ya ukichapa maandishi yana jifuta yenyewee as if mtu kashikilia baton ya backspace.
Kigumu ni mashine ya office nashindwa nianzie wapi na kuitoa pale haiwezekani kuipeleka Kwa fundi.
Na Mtumiaji ni Mimi pekee.na ndo naijua
OK mkuu tuwasiliane tukusaidiePc yangu Hp spectre imepata cracks kwny kioo. Nilikuwa nahitaji kubadili kioo