Sasa mkuu unjaniambia bundle lako ni GB ngap or MB unavyotumia?,
Na kumbuka kama 4g pia bandwidth yake ni kubwa so na ulaji wa data ni mkubwa kidogo lakin pia umejaribu kuzuia Automatic Updates pia?
Automatic update nazo nimezuia.Sasa mkuu unjaniambia bundle lako ni GB ngap or MB unavyotumia?,
Na kumbuka kama 4g pia bandwidth yake ni kubwa so na ulaji wa data ni mkubwa kidogo lakin pia umejaribu kuzuia Automatic Updates pia?
1.ingia regedit.msc disable confige automatic updatesAutomatic update nazo nimezuia.
Nilipokuwa na window 7 hili tatizo halikuwepo kabisa
Shukrani1.ingia regedit.msc disable confige automatic updates
2.set mtandao unaotumia uwe metered.
3.ingia services zima vifuatavyo
- delivery optimization
- background intelligent transfer services
- windows update.
Mkuu,PC yangu nimejaribu ku update drivers. But kuna drivers 8 naaambiwa extremely old na nyingne 3 naaambiwa missing. Nifanyeje hapo msaada.Mkuu sijakuelewa vizuri ila, but unaweza kuliweka swali wapo wangi pia humu wana uelewa wa vitu vingi
windows gani unatumia mkuu??Mkuu,PC yangu nimejaribu ku update drivers. But kuna drivers 8 naaambiwa extremely old na nyingne 3 naaambiwa missing. Nifanyeje hapo msaada.
Mkuu japo sijajua unatumia windows gani....?Nina laptop ina shida ya kufungua mafolda yenyewe. Tatatizo lipo kwenye nini? Inafungua inaji control yenyewe bila hata mimi kufanya chochote baada ya kuwasha. Ikiwa na ugonjwa huwa najaribu kuzima na kuwasha tena japo kuna wakati inakubali na kuna Wakati pia inagoma
Mkuu japo sijajua unatumia windows gani....?
Tatizo la folder kufunguka lenyewe kuna uwezekano mkubwa wa virus kuhuska pia mkuu ila jaribu njii hii moja kwanza
anza kucheki with SFC (system file checker) kwanza,
fungua cmd kisha type SFC /scan now hii inasaidia kuonyesha mafaili ambayo inawezekana yapo corrupted na virus na ndio maana yanafunguka yenyewe, inatumia muda kidogo ila inabidi uingoje imalize.
umejaribu njia nilikotumia kwanza?
Yeah file zina password. Naomba msaada hapoUmejaribu kuzicheki Google? Vp ni unalipia , file Zina password?
Mkuu niliwahi ku address hili tatizo la PC yangu aina ya Toshiba portege z30a, nashukuru nilipata clip Moja YouTube jamaa kaifungua na kukata kiwaya kidogo kilichopo kwenye touch pad Kisha akaifunga na kuwasha tatizo likaisha NAMI nilifanya hivyo tatizo likaisha, lakini sasa hii PC battery yake ni ya ndani na baada ya kuifungua screw zake kurekebisha tatizo ya touch pad na kuisha, battery nayo ikagoma kusoma yaani nimejaribu kutoa na kuweka lakini imegoma kusoma kabisaa Hadi nafikiria kuagiza battery nje lakini kabla sijaagiza hiyo battery una ushauri Gani Kwa tatizo hili jipya maan battery langu lilikuwa linakaa na charge kutwa nzima kama simu vile.Pc yangu aina ya toshiba portege cursor yake ina move automatically left corner to right corner via diagonal.
Nimejaribu kubadili windows lakini bado inasumbua nikiwasha tu cursor ina move crazy.
Nimejaribu kwenda kwenye cursor option na ku untick option zote lakini bado inazingua
Naomba msaada kwa tatizo lini.
SAMAhani bro una roho ngapi?? je ni ke au ni me?......babu yako alikuwa chif au kawida tu?Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu (zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya.
Karibuni sana wakuu
Pirate
Battery Iligoma Baada Ya Kufunga Hiyo PC Siku Hiyo Hiyo Au Ilikubal Then Ikakata Baada Ya Siku Kadhaa?Mkuu niliwahi ku address hili tatizo la PC yangu aina ya Toshiba portege z30a, nashukuru nilipata clip Moja YouTube jamaa kaifungua na kukata kiwaya kidogo kilichopo kwenye touch pad Kisha akaifunga na kuwasha tatizo likaisha NAMI nilifanya hivyo tatizo likaisha, lakini sasa hii PC battery yake ni ya ndani na baada ya kuifungua screw zake kurekebisha tatizo ya touch pad na kuisha, battery nayo ikagoma kusoma yaani nimejaribu kutoa na kuweka lakini imegoma kusoma kabisaa Hadi nafikiria kuagiza battery nje lakini kabla sijaagiza hiyo battery una ushauri Gani Kwa tatizo hili jipya maan battery langu lilikuwa linakaa na charge kutwa nzima kama simu vile.
Kwa sasa naitumia PC yangu kama desktop vile wakati ilikuwa inakaa na charge kutwa nzima [emoji30][emoji30].
Maoni Yako kiongozi