pirate
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 718
- 703
- Thread starter
- #1,641
Sasa mkuu unjaniambia bundle lako ni GB ngap or MB unavyotumia?,
Na kumbuka kama 4g pia bandwidth yake ni kubwa so na ulaji wa data ni mkubwa kidogo lakin pia umejaribu kuzuia Automatic Updates pia?
NB::Na kingine utumiaj wa internet wa simu na PC sio Sawa.