Vip kuhusu virus, na je unaweza kufanya windows restore kutokea mwanzoni?.Ndio mkuu. Imegoma. Yani hata nikipeleka ule mshale kwenye folder bila ku clik inajifungua yenyewe. Tena zaidi ya mara moja yani. Yani folder moja linajifungua hata zaid ya mara 10 tena kwa speed
okay hapo kunaweza kuwa na matatizo mawili na yote yanaweza kuwa ni tatizo so ukitaka kujua tatizo hasa ni charger au battery fanya hiviPc yangu kuna muda charge inaingia pia muda mwengine aingii shida nin
mkuu hapo wa msaada wa haraka naweza kukusaidia njia moja uifanye kabla ujaagiza maana inawezekana ikawa battery ni nzima bado'Mkuu niliwahi ku address hili tatizo la PC yangu aina ya Toshiba portege z30a, nashukuru nilipata clip Moja YouTube jamaa kaifungua na kukata kiwaya kidogo kilichopo kwenye touch pad Kisha akaifunga na kuwasha tatizo likaisha NAMI nilifanya hivyo tatizo likaisha, lakini sasa hii PC battery yake ni ya ndani na baada ya kuifungua screw zake kurekebisha tatizo ya touch pad na kuisha, battery nayo ikagoma kusoma yaani nimejaribu kutoa na kuweka lakini imegoma kusoma kabisaa Hadi nafikiria kuagiza battery nje lakini kabla sijaagiza hiyo battery una ushauri Gani Kwa tatizo hili jipya maan battery langu lilikuwa linakaa na charge kutwa nzima kama simu vile.
Kwa sasa naitumia PC yangu kama desktop vile wakati ilikuwa inakaa na charge kutwa nzima [emoji30][emoji30].
Maoni Yako kiongozi
mkuu mimi ni me, na nina roho moja tu kuhusu uchifu hatujawahi kuwa nao kwa jinsi ninavyofahamu ukoo wetuSAMAhani bro una roho ngapi?? je ni ke au ni me?......babu yako alikuwa chif au kawida tu?
japo ujaelezea vizuri tatizo ila naweza kukusaidia kwa haraka, cheki vitu hiv vifuatavyo,CPU inawaka, lakini sekunde chache inazima,nini tatizo????
Hii ni desktop, feni inazunguka? Vumbi pia uchangia tatu jarbu kuweka thermal compoundCPU inawaka, lakini sekunde chache inazima,nini tatizo????
thermal compound ni kifaa???Hii ni desktop, feni inazunguka? Vumbi pia uchangia tatu jarbu kuweka thermal compound
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
maelezo ni kuwa ukiwasha, inawaka then inakaa secunde chache inazimajapo ujaelezea vizuri tatizo ila naweza kukusaidia kwa haraka, cheki vitu hiv vifuatavyo,
charger unayotumia,
vipi kuhusu umeme wa hapo unaotumia ,
na kama ni laptop cheki battery kama unatumia battery muda mwingine,
na muda mwingine inawezekana ikawa processor inachangia, au motherboard kwa ujumla.
mkuu hapo tatizo kubwa linawezekana kuwa ni hiyo dev++ na sio system yako, na kusolve fanya njia hii inawezekan ikakusaidia,samahni mkuu pc yangu baadhi ya app inashndwa ku run kwa usahihi mfano app ya dev c++ nkirun mda mwngine inanambia app pamission denied au ina run ila haifany kitu nnachotaka pia nkitaka kupga window mpya nkiweka flash ya window inagoma kuwaka
limeanza ghafla tu, ni desktop, hp compaqSawa umecheki vitu nilivyokwambia??
Na je hiyo laptop ni aina gani na tatizo limeanza hadi sasa lina muda gani?
okay kama ni desktop kuna uwezekano mkubwa wa overheat kwenye CPU yako, Fanya hivi vitu vifuatavyolimeanza ghafla tu, ni desktop, hp compaq
inauzwa bei gani???okay kama ni desktop kuna uwezekano mkubwa wa overheat kwenye CPU yako, Fanya hivi vitu vifuatavyo
Fungua Cpu yako kisha isafishe kwa dust blower alaf fungua sehemu inayokaa Cpu chip kunakuwaga na Paste kwa juu ya Cpu chip uwa inasaidia kupunguza overheating kwenye Chip ambapo pia inafanya kazi pamoja na feni kwa ujumla, kama imeganda sana inabidi uibandue kisha upake nyingine ( unaweza kwenda kununua maduka yoyote yanayouza vifaa vya computer uwa wanakuwa nazo unaulizia Heat sink Paste utapata)
baada ya hapo funga Pc tumia kama kawaida na tatizo litakuwa limekwisha.
Habari kiongozi.. Pc ya sistaangu ilizima tu ghafla wakat wanachek movie tangu hapo haiwaki tena. Ukichomeka charger haionesh kama inachaj ila kanawaka kataa keupe tu kanawaka na kuzima. Naomba nisaidie kujua shida itakuwa nn Pc Ni HP Intel core i3
ProBook 4430s