Tatizo lolote la PC/device

Tatizo lolote la PC/device

Nimepambana nimeshindwa msaada zaidi USB port hazifanyi kazi.
IMG_20220302_221032.jpg
 
wataalam habari zenu
Nimepata changamoto ya laptop yangu aina ya Hp pavilion ase ni mtambo kweli kubwa hilo.
Changamoto nayopata kwa muda huu ni Moja nikiwa na install windows 10 baada ya kubonyeza boot key ambayo kwa laptop hii ni F9 , logo ya windows 10 inatokea afu kinatokea kialama cha ku-load ambacho kinatokea kwa sekunde zisizozidi 3, baada ya hapo inaji-restart upya.
Kwa fundi nikaipeleka matokeo ya kawa ni yale yale. Hata wamejaribu ku-install window kwenye harddisk kupitia Labtop nyengine lakini bado hali imendelea kua hivyo hivyo.
Ushauri wowote utasaidia.
NB: hard disk drive hiyo ni mpya
 
wataalam habari zenu
Nimepata changamoto ya laptop yangu aina ya Hp pavilion ase ni mtambo kweli kubwa hilo.
Changamoto nayopata kwa muda huu ni Moja nikiwa na install windows 10 baada ya kubonyeza boot key ambayo kwa laptop hii ni F9 , logo ya windows 10 inatokea afu kinatokea kialama cha ku-load ambacho kinatokea kwa sekunde zisizozidi 3, baada ya hapo inaji-restart upya.
Kwa fundi nikaipeleka matokeo ya kawa ni yale yale. Hata wamejaribu ku-install window kwenye harddisk kupitia Labtop nyengine lakini bado hali imendelea kua hivyo hivyo.
Ushauri wowote utasaidia.
NB: hard disk drive hiyo ni mpya

Mkuu japo sijaelewa vizuri swali lako ila nitakujibu kwa jinsi nilivyoelewa na kama itakuwa bado utaulizA tena,

Windows kutokumaliza kuwaka inaweza kutokana kuwa ni incomplete installation, au corrupted windows system.

Na kutoload boot up key ya Hp jaribu njia nyingine ikiwaka bonyeza ESC kisha chagua kutokea hapo.
 
ku reset mambo yatakaa sawa ila utapoteza application zako zote ulizo install
Bora nipoteze, ni rahisi kuzipata zote. Lakini inamaana personal files inabidi niziweke kwende external hard disc maana zitafutika si Ndio?
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu (zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya.

Karibuni sana wakuu

Pirate
Salaam chief,

Hivi kuna namna ya kurudisha ma-file ambayo yamekuwa deleted? PC yangu nimepiga window, sasa kwa bahati mbaya sana kuna baadhi ya Mafile yalikuwa Local Disc D na nilisahau kuhamisha. Hivyo nimejikuta nime-format kila kitu na vitu vyangu vya muhimu sana.

Je, kuna namna naweza kurudisha? Au kama kuna Mtu anaweza fanya hii kitu.
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Msaada jamani na mdogo wangu alikuwa anasoma kenya [emoji1139] hivyo aliporejea alikuja na mini computers ndogo hivyo akaniachia nitumie tatizo lililonikabir n kwamba huwezi ku update kitu chochote mpaka uweke Passwoord ya Administrator
Kifaa chenyewe n hiki msaada waungwanaView attachment 2204607
View attachment 2204608
 
Na PC yang HP natumia window 10 shida ipo kwenye kuongeza mwanga(brightness) nikibonya fn then button za mwanga kweny keyboard inaniletea frame to za mwanga ila mwanga hauongezek shida ni nn?na Kama drives nili update zote nili activate mbka ya graphics
 
Back
Top Bottom