HabariHabari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya
Karibuni sana wakuu
Pirate
Activate kwa kutumia KMS Auto au activator yoyote kwanza Kisha ndio updateHabari
naomba unisaidie namna ya ku update window 8.1 , window key sina. window nilifanya kuwekewa na jamaa wa IT kwa sasa sina mawasiliano nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Jarbu kuichomoa Kisha irudushe ikishindkana Zaid ya Mara moja ni hardware problem labda change hdd nyingne
# ukiona imekataa kwako jarb na kwa mwngne kwa uhakika Zaid ili upate uhakika Zaid
Pirate
namna ya kuingia katika safe mode dell win7
Mkuu hata kwenye system bios haifiki! Nimebadili CPU lakini tatizo lipo pale pale! Ukiiwasha tu inadisplay HP kisha inaganda!possibility
kubwa huenda hard disk yako imekufa
poamkuu kwa urahisi zaid nenda hapa How to boot into safe mode on Windows Vista and 7 on your Dell PC
####
kama usipoelewa zaidi usisite kuja kuuliza tena mkuu
Mkuu hata kwenye system bios haifiki! Nimebadili CPU lakini tatizo lipo pale pale! Ukiiwasha tu inadisplay HP kisha inaganda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mim naomb mtu mweny key ya window 8 tafdhal
Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
Poa mkuu asanteejaribu zipo hapa mkuu angalia kama zitakufaa
Windows 8/8.1/2012 All Editions Universal Product Keys collection
Naomba mnisaidie. Natumia modem ya vodacom kweny pc yeny window 10. Sasa leo ninaiweka kweny port inatoa mlio wa kukubar alafu inatoa tena mlio wa eject alafu haijitokez kabsa kweny screen. Nki lunch kwa kukrick sehem ambayo ipo inafunguka lakn nkijarbu kuunganisha inagoma coz hata network bar hazionesh. Naomben msaada wenu wadau.