Tatizo lolote la PC/device

Tatizo lolote la PC/device

Haifanyi both. Nikiwa online ile autoupdate inarun vzr, ila kwa important updates inagoma mf, update for windows 7, Window 7 Service Pack 1, Advanced Micro Devices, Inc driver for ADM SMBus.

Vilevile nikiwa na new programme nikitaka kuinstall mf Adobe reader zinagoma.

Nikiright click kwenye icon ya my computer then nikaclick Manage inaniandikia Application not found.

Please, msaada wako....

Sent using Jamii Forums mobile app
OK nimekupata mkuu naweza nikasema labda

Windows yako imekuwa corrupted kwasabab had unafika sehem baadhi ya origin apps zinagoma bas inawzekana virus wameshambulia sana na sasa wamebakiza tu kuimalizia system, so by anytime unaweza ukaona pc yako ika shut down yenyew na ukitaka kuwasha inakugomea

So simple solution jarbu kufanya repair ya system yako yote or kama ulishawah kufanya creation point yoyote bas restore itarud vizur tu

# # #
Hopefully it'll help you out

Pirate
 
Usijali mkuu, kuna kitu kipo kama uionavyo flash ila kina matundu ya sounds, mahali unachomeka phone connector sasa kwenye computer yako! Ikikubali namna unavyohitaji basi zile port za kwenye PC yako hazisomi!

Mafundi wengi wanazo, unaweza kujaribu kwanza kuthibitisha nisemacho kabla ya kununua! Chenyewe kinauzwa buku 5 labda cjui mahali ulipo wanauzaje ila najua kinauzwa buku 5!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kariakoo makutano ya mtaa wa uhuru na mtaa wa kongo karibu na pale ilipokuwepo roundabout zamani.Utapata hicho kifaa kwa buku 5 tu
 
Mkuu asante sana. Kumbe JF kuna vichwa matata sana.

PC yangu ina partition na data zote muhimu zipo kwenye D.
Hii cpu ilizingua muda sana nikahangaika nayo illiwaka last week nikaitumia ila nilivyoizima haiwaki tena.

Nikiweka window mpya. Inasome cd ila ikishafika kwenye zile arrow za kuselect cd rom ama flash disk key board inagoma. Inakuwa dormant

Ila nikingia kwenye f1 keyboars inafanya kazi.

Mkuu hapo unadhani kuna tatizo gani?
Tafuta SATA to USB connector, ifunge hard disk kama external utoe mafile yako
 
Aah! afadhali
Mwenzenu naomba mnijuze....je kuna deki yenye uwezo wa kutumia external hard drive?
na inaitwaje. Plz!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta deki aina yoyote yenye port ya USB drive.Siku hzi karibia deki zote zina hiyo port.
Kimsingi deki au kifaa chochote chenye port ya USB flash drive kinabidi kiweze kusoma External hard drive. Tatizo huwa ni power ndogo kwenda kwenye External na Invalid file system.
Cha kufanya;
1.Format External yako katika mfumo wa FAT32 kisha uweke mafile uangalie kama itaweza kusoma
IKISHINDIKANA
2.Tafuta waya wa External wenye vichwa viwili vya USB, kichwa kimoja connect kwenye deki, kichwa kingine connect kwenye usb adapter ya kuchargia simu.
 
Delly yangu inasumbua kwenye internet yan nikiwasha nakuta internet inajifungua page nyingi nyingi auotomatic bila mm kucomand ifanye hivo naitaji msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni dalili ya Virus; aina ya adware wanaojidownload automatically ukiwa unatumia internet kubrowse au ukidownload applications nyngine za kawaida kabisa. Cha kufanya;

Nenda kwenye control panel, tafuta program zozote unazoona ni mpya na hujaziInstall wewe, ziUnisntall.Au download program inaitwa Malwarebytes antimalware itatoa hizo takataka automatically
 
Msaada tutani..
Nina Laptop yangu Dell N series.
Ukiiwasha na ku click au hata kuselect icon yoyote kwenye desktop au hata kwenye folder tu inaleta ile msg km nataka ni idelete.(are you sure you want to send this folder to recycle bin?.na italeta huo ujumbe zaidi ya mara 100 as if nimehold ile button ya delete. nimejaribu hata kuchomoa ile button ya delete ila bado tatizo linaendelea.. msaada hapo wakuu..

Tatizo ni keyboard yako, delete key imestuck.Jaribu kuinyofoa delete key then uirudishie,uangalie kama tatizo litakwisha.

Lisipokwisha download program inaitwa KEYTWEAK, hii itakusaidia kuremapp delete key kwenda kwenye key nyngine ambayo ni nzima. Ukiona umefanya hivyo na tatizo likaisha, basi unaweza ukaendelea kuitumia hivyhvyo au ukanunua keyboard mpya
 
SIMCARD NOT REGISTERED ON IPHONE 4S?nafanyeje msaada

by emma mjasiriamali
 
PC yangu haiwaki tena ilianza hivi

155511a741738f8d4ddd8940e62e602a.jpg


Then

5f11468675e8281e094ea3e58076b97a.jpg


333bfc83d5906dfa915821aa8dbf0cd8.jpg


fc6e7c3a0a82ba549df1aaf0ce526f02.jpg


Kwa sasa nikiiwasha vile vitaa vinawaka na feni nasikia inazunguka lakini kioo hakioneshi chochote.

80e6d8e8f3ae66e9a097327c03d0bb55.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kioo cha nje,kama haifanyi badili ram

by emma mjasiriamali
 
Mkuu,Nina dell inspiron 15-3559 niiapdate bios ,ikafel mpaka muda huu,inawaka kwenye taa ya kuonenyesha power inaingia,bt haidisplay chochote,yaan kwa kifupi haionyeshi chochote!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh...jaribu kukuseparate vitu halafu iache kwa muda bila power na cmos battery

by emma mjasiriamali
 
Mim nkityp alaf nisev kwenye flash niktaka kuprint inaonesha shotcut yan inakuw bado inaonyesha bado iko kweny word ikiwa kweny flash tatizo nin? Hp

Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
Machine yako inavirus tumia smadav its free

by emma mjasiriamali
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya

Karibuni sana wakuu

Pirate
Habari kiongozi? Ndugu nina tatizo kidogo nimenunua external hard disk ya western digital element yenye ukubwa wa 2 TB na ilikuwa na mzigo full japo imekuwa slow in speed kwenye kuhamisha data. Sasa leo asubuh wakati nahamisha data nikakuta folder moja lina virus wa ukubwa wa 160 gb wakati ilibaki nafasi ya gb 80 so nikaamua kuiformat kwa kupitia disk management na kuidelete partition nzima halafu nianze moja, nilivyoidelete wakati naanza kutengeneza partition upya ikaonyesha ukubwa wa 127 gb tu na nyingine iliyobakia haionekani mpaka sasa. Naomba msaada wako wa njia za kuirudisha katika original capacity ya 1. 81 TB
 
Habari kiongozi? Ndugu nina tatizo kidogo nimenunua external hard disk ya western digital element yenye ukubwa wa 2 TB na ilikuwa na mzigo full japo imekuwa slow in speed kwenye kuhamisha data. Sasa leo asubuh wakati nahamisha data nikakuta folder moja lina virus wa ukubwa wa 160 gb wakati ilibaki nafasi ya gb 80 so nikaamua kuiformat kwa kupitia disk management na kuidelete partition nzima halafu nianze moja, nilivyoidelete wakati naanza kutengeneza partition upya ikaonyesha ukubwa wa 127 gb tu na nyingine iliyobakia haionekani mpaka sasa. Naomba msaada wako wa njia za kuirudisha katika original capacity ya 1. 81 TB
Ichomeke hard disk, then nenda kwenye start type disk management; select"create and format hard disk parititions' hapo utaiona hard disk yako na unallocated space;ukiiright click hiyo unallocated space utapata option ya kutengeneza new partition
 
Back
Top Bottom