Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nnayo samsungUna pc ya kufanyia mazoez??
Hapana ila nnaweZa kuipataNa unayo windows yoyote hapo??
Ukiichomeka inaleta ujumbe gani??
Hapana ila nnaweZa kuipata
Ahsant manhttps://www.google.com/amp/s/www.howtogeek.com/224342/how-to-clean-install-windows-10/amp/, hiyo ni jinsi ya kupiga windows 10
Nisaidieni note 5 hii inashida kwenye kucharge hadi ushikilie nn shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Je ukiishika hiyo hard drives uisikii kama kitu kinazunguka, au mlio wowote?
Imekufa iyoUwa inalia kama mlio wa ina-click alafu inaacha??
Hard disk ni very delicate in case kama ulikuwa hujui... yaani kitendo cha kudondoka tu nyingi huwa hazisomi mazima baada ya kudondoka... kuna posibility ikawa ndo ishakufaExternal disk yangu ilidondoka na iliendela kusoma ila baada ya muda ikawa haisomi kwenye device yoyote, je kuna uwezekano wa kuirekebisha ikaendelea kufanya kazi?
Nina MacBook Pro,nikijaribu kuconnect wi fi inasema....NO HARDWARE INSTALLED,imeanza ghafla hili tatizo
macreports.com