Tatizo lolote la PC/device

Tatizo lolote la PC/device

Kama ni hivi, kuna uwezekano wa kuokoa data?
Hard disk ni very delicate in case kama ulikuwa hujui... yaani kitendo cha kudondoka tu nyingi huwa hazisomi mazima baada ya kudondoka... kuna posibility ikawa ndo ishakufa
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya

Karibuni sana wakuu

Pirate
Mtaalamu, USB port za PC dell hazifanyi kazi yaani hazi detect hata kidogo, nifanyeje??
 
Wandugu nina dell optlex 772 niliiweka kwa muda, lakini nimeshangaa kuiwasha haionyeshi monitor (display ) pia hata keyboard haisomi, msaada tafadhali.
 
Pc yangu Hp huleta blue screen na kuandika kuwa inataka kukoraputi hd pia hd D japo nadelete folder kuipa space mfano ilikuwa na free space 4GB baadae ikasema zimebaki 1.2GB free space
 
Mtaalamu, USB port za PC dell hazifanyi kazi yaani hazi detect hata kidogo, nifanyeje??


Em cheki Drivers zake kama zipo, na kama hazipo bas download nyingine
 
Wandugu nina dell optlex 772 niliiweka kwa muda, lakini nimeshangaa kuiwasha haionyeshi monitor (display ) pia hata keyboard haisomi, msaada tafadhali.

Tatizo Lina solutions mbili;

1. Cheki ram zako zote kama zipo vizur au pia kama ni nzima, na kama ni mbovu zibadilishe

2. Zima pc yako chomoa hizo waya zote za SATA kisha zirudishie tena.
 
Pc yangu Hp huleta blue screen na kuandika kuwa inataka kukoraputi hd pia hd D japo nadelete folder kuipa space mfano ilikuwa na free space 4GB baadae ikasema zimebaki 1.2GB free space


Tatizo ni nin mkuu??

Kama ni kukorupt kwa HDD bas inabid ubadilishe HDD mapema kabla aijakufa na data zako.

Kama kujaa kwa HDD basi jitaidi kupunguza vitu au hata kutafuta external HDD kusud iache kukuletea ujumbe kila Mara,.
 
Asante huwa inasema imedtect kutaka kurupt na kusema umejiprotekti kama mko wapi mkuu?
Tatizo ni nin mkuu??

Kama ni kukorupt kwa HDD bas inabid ubadilishe HDD mapema kabla aijakufa na data zako.

Kama kujaa kwa HDD basi jitaidi kupunguza vitu au hata kutafuta external HDD kusud iache kukuletea ujumbe kila Mara,.
 
Nina pc hapa aina ya hp 650 imegoma kuwaka katu katu,tatzo ni nn?
 
Asante huwa inasema imedtect kutaka kurupt na kusema umejiprotekti kama mko wapi mkuu?


Mkuu hiyo unaweza kuitumia lakini sio guarantee tena, so jaribu kujiandaa kuitafuta nyingine, cunajua ni electronic devices uwa zinakuwa na life span.

Hapo swali lako la mwisho sijakuelewa vizur
 
Back
Top Bottom