Tatizo lolote la PC/device

Tatizo lolote la PC/device

Kuna alama ya earphone inajitokeza kwenye simu hata kama hujachomeka hiyo earphone.

Ukizima simu ukiwasha hicho kialama kinapotea ukichomeka tu earphone ukichomoa bado kinaendelea kubaki.

Nimejaribu njia nyingi kama kuchomoa earphone na kuchomeka ila bado haijasolve tatizo, nimejaribu ku wipe data/factory reset lakini bado tatizo lipo pale pale.

Msaada wenu.

Aina ya simu ni Tecno WX3.
 
Ukichomeka ilearphone
Sim inahama profile
Kwahiyo unapochomeka earphones inahamia kwenye profile ya earphones
Hivyo ukichomoa ikibaki basi waweza badili pale kwenye profile

Sijui kama nmeweza kwa usahihi
 
Shida ni hiyo sehemu ya earphone ndio inashida either iliingiliwa na maji sasa yameunganisha njia ndio maana inakuwa hivyo au kuna shida nyingne ila hapo solution ni kubadil hyo njia ya earphone na simu isafishwe vizuri
 
JF members naomba kusaidiwa kutatua tatizo la hii simu ni Tecno Y6. Nikiiwasha haiwaki mpaka mwisho inaonyesha logo ya Tecno tu, ikionyesha hiyo logo nikibofya kitufe cha kuzimia haizimi mpaka nitoe betri.

IMG_20191129_103455_2~2.jpeg
 
JF members naomba kusaidiwa kutatua tatizo la hii simu ni Tecno Y6. Nikiiwasha haiwaki mpaka mwisho inaonyesha logo ya Tecno tu, ikionyesha hiyo logo nikibofya kitufe cha kuzimia haizimi mpaka nitoe betri.
View attachment 1283403
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya

Karibuni sana wakuu

Pirate
Nauliza, mifumo ya processor ikifa huwa haitengenezeki?
Kuna fundi kanambia kuna matatizo ktk mifumo ya processor ktk PC yangu.
 
Tumia njia hii. Ikishindikana inabidi upeleke kwa fundi ikaflashiwe
Kabla ya kufanya chochote zima simu kwanza. Inazimika ubinye power botton hadi izmike,au kama unashindwa ubinye button ya power na v- hadi izime. Kama ni simu ya button mbele inatakiwa ubinye volume up+ power button simulteneously mpaka itokee either gear au android logo au maandishi madogo ya rangi ya blue.

Then utumie v+ kuselect mpaka ufike reset to factory setting, subiri mpaka iandike complete, then select tena clear cache halafu subiri tena, then chagua reboot, subiri mpaka iwake na ufanye tena setting ya simu.
Bado sijapata ufumbuzi wa hili tatizo licha ya kupitia comments za members
naombeni msaada tafadhali
 
Bado sijapata ufumbuzi wa hili tatizo licha ya kupitia comments za members
naombeni msaada tafadhali
Tecno yangu ya tangu 2016 bado inachanja mbuga japo baadhi ya App haziwezi kuoparate tena.

Kila la kheri katika kusaka suluhu ya tatizo lako
 
Inabidi Upgrade OS kama inatumia kitkat (Android Version 4) basi weka Masharmallow au nougat hata Pie. Kutofanaya kazi au kukataa kuinstall app ni kwasababu unatumia Kitkat. Android ikiwa 5 na kuendelea huwa haisumbui kuinstall Apps. Nakushauri weka android version ya 7 au 8 ndiyo nzuri.
Tecno yangu ya tangu 2016 bado inachanja mbuga japo baadhi ya App haziwezi kuoparate tena.

Kila la kheri katika kusaka suluhu ya tatizo lako
 
Inabidi Upgrade OS kama inatumia kitkat (Android Version 4) basi weka Masharmallow au nougat hata Pie. Kutofanaya kazi au kukataa kuinstall app ni kwasababu unatumia Kitkat. Android ikiwa 5 na kuendelea huwa haisumbui kuinstall Apps. Nakushauri weka android version ya 7 au 8 ndiyo nzuri.
Daaahh, giza tororo hapa, nimeimiss sana Twitter aisee kisa tatizo hili.
Sijui unanikokotaje hadi kaanani hapa mkuu...
 
Wakuu ninapatwa na tatizo la picha kuwa na blur au kushuka ubora kila niwekapo Whatsapp Status.

Simu yangu ni Samsung S10+ nashangaa picha nikipiga ni quality sana but nimejaribu ku upload kwa status zinapungua ubora nifanyeje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom