Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona? ndio wanaanza hivi hivi!!! namfikishia Alter right now!:rant:Hahahahahah wewe Kaizer utakamatwa haha si mwajidanganya eti ukitaka kula haramu, kula alonona na awe mbali na nyumbani?? sasa inakula kwenu aisee!
Ni bora kwako...:lol:Then Am out....:A S embarassed:
kwa kizazi hichi hamna binti mjinga. wanaingia kwapurpose.tatizo wanaume wanatuona hatuna vision ya maisha sijui.kuna bintihatamani kuwa na mume wake kweli? kuwa nyumba ndogo wanaamua tu kuacomplishkitu flani na hiyo mission inakuwa ni kwa muda maalum then mtu anatokahuko.hapo baba ushapoteza resource zako na muda wako kwa ujinga kulia huwezikucheka huwezi....oopppsss....
Yaani thamani ya nyumba ndogo mpaka agharamikiwe makaazi,
Mavazi, chakula, nk? ....am amazed....!
Nilidhani hata voucher ya mia tano 500/- "inaweza ponza kichwa!"
Hapa naongea katika FULL CAPACITY! lol Mwanajamiione abarikiwe sana kwa kuanzisha hii thread, wanaume wamefunguka kama vitabu, na wanawake pia. very insightful. It will be a reference for moths nakwambia. Haiwezi kutoka. lol Mwali nilimona anahangaika na makura, mwangalie asije pigwa ban, mods wako so strict leo...
kwa kizazi hichi hamna binti mjinga. wanaingia kwapurpose.tatizo wanaume wanatuona hatuna vision ya maisha sijui.kuna bintihatamani kuwa na mume wake kweli? kuwa nyumba ndogo wanaamua tu kuacomplishkitu flani na hiyo mission inakuwa ni kwa muda maalum then mtu anatokahuko.hapo baba ushapoteza resource zako na muda wako kwa ujinga kulia huwezikucheka huwezi
unarudi kwa mkeo kuuguza pressure na kisukari
noti bandia ,mkufu feki
I know mkuu. Na ndio maana nimeamuakuacha kuchangia. I said what I had to say katika pages za kwanza, sasa nimebaki kusoma tu na kucheka. what else can I do?...RR...kiatu humbana mvaaji...
waweza niona nimependeza na skuna zangu kumbe
ni maumivu mbele...
Usijencheka ukikuta lapa la shoto nimelivaa mguu wa
kulia, ni kwenye kutafuta balance tu...
I mean, unyuzi huu "...changanya na zako!"...
I wish ningekuwa na moyo kama wa mwanajamii maana sinakiukweli...you are so bitter aisee.. Mw' mungu akujaalie moyo kama wa mwj1.
Wengine tupo shule hapa, Kwahiyo tukiona mme ana nyumba ndogo tufanyaje? Tuwape baraka zetu au?
I wish ningekuwa na moyo kama wa mwanajamii maana sinakiukweli
Ila kwa vile siibi cha mtu mungu atanipatia ulinzi wa mbinguni na changukisiliwe
Lol...nikikushauri hutaamini siku yakikufika,
sikiliza moyo wako tu, BTW..hii ni 2012, dunia ni yako, chaguo ni lako...
swali kwa mj1, ushawahi kuwa nyumba ndogo labda wayback uko??
Naomba niwe mkweli katika hili. Not once! But am thinking of becoming one in the near future lol (Mbu usisome hapa tafadhali!)
basi kwa kukuweka sawa, ww mshukuru tu mungu yan maana its either mumeo ni kati ya hawa 3% ya wanaume hapa bongo ambao hawaentertain nyumba ndogo, kwa maana si muumini au yuko v smart yan kiasi kwamba hugundui lolote!
ol in ol usithubutu kukutwa ukagundua ndugu hawa viumbe nyumba ndogo wanachanganya watu wewe ooh, kuna wamama uku wanakaribia kuwa nusu chizi kwa kesi za nyumba ndogo,
kwa ss usijiulize wala nn, wewe mshukuru mungu na endelea kuona dunia inavyokwenda!
nyumba ndogo ni nouma.
To you............may I become your nyumba ndogo please! just say yes usianze kutafuta definition ya nyumba ndogo wala maana yake please, I will behave if there is such a thing!...hahaha.....😛hoto:
Shemeji mie hata sijielewi ila tu ninachoelewa ni kuwa sihofii nyumba ndogo hata kidogo.