hivi ukiwa unapekua sms, email,..... za mwenzi wako unaweza epuka hizo virus?
sikulijua hilo
Hata mimi nimesema ivo mkuu sijawai kuona nyumba ndogoiliyoisha salama. Heri mtu kama umechoka kwa mamaa ufanye hit and run mahali.urudi home ukalale zako . hayo mambo ya kuinvest nyumba ndogo ni sawa na kujichimbia kaburi lako mwenyewe wadadawenyewe ndo sisi
Hii ni kweli kuna binti alikuja kufanya field ofsinikwetu kwa mwezi anapewa laki tatunasikia kuna mtu wa hapa hapa yupo nae
1-akawa anatafuta nyumba ya laki nne kwa mwezi
2-hzo pamba zake sasa blauzi tu 60,000 kwenda juu
3-anae mpenzi wakeyupo chuo
4-lunch yake naonaga plate tu lunch box yake haipungui5000
Sasa huyu mzee si anajichosha tu jamani
Hapa naongea katika FULL CAPACITY! lol Mwanajamiione abarikiwe sana kwa kuanzisha hii thread, wanaume wamefunguka kama vitabu, na wanawake pia. very insightful. It will be a reference for moths nakwambia. Haiwezi kutoka. lol
Bado less wig.tax siku gari imemuacha baby? nk yaani anaishi kimatawi.kwa huyu mdada ndo niliona mfano live kwa wanaume jinsiwanavojitafutia matatizo ndo maana visukari na pressure haviwaishi
Maana sidhani kamakuna cha zaidi ya sex tena kimoja tu baada ya wiki mbili.
Huwa najiuliza wanaume huwa wanapata nini kwa kusexna wanawake tofaiti tofauti?
Nini special hapo?
Naomba niwe mkweli katika hili. Not once! But am thinking of becoming one in the near future lol (Mbu usisome hapa tafadhali!)
Hii ni special dedication kwa RussianRoullete. The Best Mod in JF history.
Yaani RR take it from me wanaume waaminifu ambao hawana nyumba ndogo wapo wengi sana na hii haiondoshi ukweli kwamba mume wako anaweza akawa mmoja wa hao waaminifu wenye mapenzi ya dhati.
You are so sweeet hata mimi ungekuwa waifu wangu nisingetafuta nyumba ndogo
You sound so caring hata mimi ungekuwa waifu wangu nisingemPM yoyote hapa JF.
Unaonekana uko responsible yaani ungekuwa waifu wangu hata overtime kazini ningezikataa
Conclusion:
Naomba wanawake waachane na dhana ya kwamba kila mwanaume ana nyumba ndogo.
Msisitizo
Naomba wanawake waachane na dhana ya kwamba kila mwanaume ana nyumba ndogo.
Narudia tena
Naomba wanawake waachane na dhana ya kwamba kila mwanaume ana nyumba ndogo.
Lawyer anaondoka, naomba wimbo wa taifa
The Boss alielewa hili toka post #2, just when you posted, but it took us ages kuelewa. (Thanks to Obsesed!)
Kila la kheri dear, just make sure you are true and honest to each other and mostly to yourself. Sisemi zaidi.
Hakuna cha mali hapo babu tunaibiana mawazo tu!! Mambo ya kusema kuwa eti niamini nyumba ndogo ipo ili hata nikishuhudia nisistuke.......hiyo kwangu haipo though siwezi kumchunga mtu!! Babu niliposema kuwa nina uhakika na kichwa changu.....nilimaanisha kuwa sitabebwa kwenye ambulensi for such a thing kama member mmoja alivosema hapo juu!!!
hii kali! kwa hiyo leo akikutoa umpishe, kesho utalala naye tena?Kuna extrem cases katika both sides za coin! Kupekuwa Simu na emails is one of those ni sawa na kuacha mpaka mume anakutoa kitandani alalane na hawala yake! I have witnesed both cases!
Hivi we nyamayao.............. ndo nini sasa hivyo? umeganda hapo dirishani unachungulia tu!! hebu bwana
hii kali! kwa hiyo leo akikutoa umpishe, kesho utalala naye tena?
MJ1 yaani bishanga nikienda kona hujali? Basi hunipendi,full stop.
welcome back rafiki,kuna habari niliisoma humu kama ckosei cjui ni mdada mwarabu au mume mwarabu alimletea mwanamke ndani kwenye kitanda chake akalala nae mpaka asubuhi mke akiwa amelala chumba cha watoto asubuhi ndio akaita binadamu kumshuhudia mke mwenzake, niliona kideo cha hilo 2kio nikasema wamama/wadada shida/tamaa/utegemezi vina2maliza kabisa,yanatokea haya but kwangu aisee kauli mbiu yangu cku zote ni kwamba tuheshimiane, ya hivi mie ningeharibu kabisa aise khaa, dharau gani hii?
Naomba niwe mkweli katika hili. Not once! But am thinking of becoming one in the near future lol (Mbu usisome hapa tafadhali!)
Nimekukubali Kipipi.....Hapa ni porojo na kila mtu anaishia kuwa mbayu wayu.....!!!
Safi sana,
Babu DC!!
swahiba hujaniasidia hata chembe....................... kubaf yako!!!
yeleeuwiiiiiiiiiiiiiiiiiii
hehehe swahiba bana, hapo certs za ulawyer zote zimetumika kuokoa jahazi lol
Mimi nipo katika ile asilimia tano ya wanaume waaminifu waliobakia Dar. Juzi tu waifu alikuwa hayupo home kuna mdada alikuja na hafla nikamuona anavua nguo mbele yangu, alipomaliza nikamuokotea nguo zake nikamwambia asiludie tena siku ya pili mimi na waifu ni kama titanic vile, sitamani zaidi ya waifu. Alishangaa khaaa! . Hakyanani uaminifu ni kipaji, waifu ana bahati kweli kuolewa na mimi.Lini unaongeza tena smol haus nyengine??
Mimi nipo katika ile asilimia tano ya wanaume waaminifu waliobakia Dar. Juzi tu waifu alikuwa hayupo home kuna mdada alikuja na hafla nikamuona anavua nguo mbele yangu, alipomaliza nikamuokotea nguo zake nikamwambia asiludie tena siku ya pili mimi na waifu ni kama titanic vile, sitamani zaidi ya waifu. Alishangaa khaaa! . Hakyanani uaminifu ni kipaji, waifu ana bahati kweli kuolewa na mimi.
acha uzinzi dadaWapendwa je wote mu wazima?
Nisaidieni ninaomba kwani nafikiri sijitambui au sijijui.
Mbona mimi sipati shida wala kushtushwa na suala zima la nyumba ndogo!!
Je inawezekana kuwa sijawahi kupenda? au?
Je kuna mwenzangu/wenzangu ambao wana hali kama hii?
Ah... Ah.... Ah........ Ah......... Unaona utaaaaaaaaaaamu!Mimi nipo katika ile asilimia tano ya wanaume waaminifu waliobakia Dar. Juzi tu waifu alikuwa hayupo home kuna mdada alikuja na hafla nikamuona anavua nguo mbele yangu, alipomaliza nikamuokotea nguo zake nikamwambia asiludie tena siku ya pili mimi na waifu ni kama titanic vile, sitamani zaidi ya waifu. Alishangaa khaaa! . Hakyanani uaminifu ni kipaji, waifu ana bahati kweli kuolewa na mimi.
Mimi nipo katika ile asilimia tano ya wanaume waaminifu waliobakia Dar. Juzi tu waifu alikuwa hayupo home kuna mdada alikuja na hafla nikamuona anavua nguo mbele yangu, alipomaliza nikamuokotea nguo zake nikamwambia asiludie tena siku ya pili mimi na waifu ni kama titanic vile, sitamani zaidi ya waifu. Alishangaa khaaa! . Hakyanani uaminifu ni kipaji, waifu ana bahati kweli kuolewa na mimi.