Tatizo na Nyumba Ndogo...


Kaunga,

Maisha ni kujifunza hata kama mvi zimeenea kila sehemu ya mwili....

Ila amini usiamini, wanaume wanachoka na mambo yale yale kutoka kwa mtu yule yule ila hawana kawaida ya kususa... Watajitahidi kwenda mdogo mdogo. Hata wakienda huko nje, watarudi home na kuomba wapakuliwe chakula cha mama watoto wale, hata kama ni gelesha!!

Kuna dada mmoja tulikuwa tunaongelea jambo fulani nikadhani amekuwa bored, nikamwomba tuache hiyo issue. Alinambia hivi, kwani na wewe DC unasusa kama wanawake?..Eti mwanamume hasusi hata mara moja...Sikuwa najua hili jambo ila naona kama kuna ukweli fulani!

Hapo tatizo ndipo linapoanzia....

Babu DC!!
 
Nimegundua kuna wanawake ambao hawawalindi wanaume wao juu ya nyumba ndogo.
@dena amsi, hata kama haumfatilii mume, kwanini uruhusu mazingira ya yeye kuwa na smol house? Mume hajarudi wiki hata moyo usistuke kweli wakati sio kawaida yake!
Mi nikiolewa nitahakikisha narekebisha viashiria vyote kabla havijawa sugu, nitacreate mazingira ya yeye kutokuwa na mawazo ya kuwa na nyumba ndogo.
 

Hilo mimi ndo nalisimamia siku zote...........nandicho nakiamini
 
@kaunga

wanawake wengi wenye vyeo au busy
sex inakuwa kama by the way
ukimuona anacheat na dereva au mkata majani
jua mmewe hampi kabisa au anampa kwa masharti sana
anafanya kwa sababu biolojia inahitaji

huwezi mfuata kati kati ya muda wa kazi ukampe cha fasta
kwanza schedule inaweza kuwa tight
hadi kuwe na appointment ambayo pia inapunguza excitement.

Angalia hata wanamme walio busy sana afu wake zao wako aido kama mama wa nyumbani
hawa ndo huwa wana risk ya kumegewa hata na hausi boi.

Kadiri ubize unavyoongezeka, tamaa/hamu ya sex inapungua wote kwa wanamme na wanawake.
 
Karibu sana ADi na hope unaendelea vizuri,

Hapa umeongea kiutu uzima.....

I wish tungekuwa na wewe toka mwanzo!!

Babu DC!!


Mkuu DC... I am well and good. THANK U for checking up on me.... I appreciate. Hata hivo better late than never..... Ndio centi zangu hizo hapo nimerusha.... Nashukuru for the acknowledgement.....lol
 
ukiweza kufanya hivyo

nitaomba uandike pepa
maana utastahili dk ya uvumbuzi

hakuna kitu utamfanyia mwanamme
afikirie kutulia tu
they are explorers

 

U busy na nini? Watanzania kuna nyanja nyingine tuko busy zaidi ya mahusiano? Anyway correct me if am wrong....uthibitisho ni toka miaka hamsini ya uhuru hali yetu inazidi kudorora siku hadi siku...kila siku afadhali ya jana.
 

Mkuu tulia kama ulivyo, nyumba ndogo sio kupenda ni kutamani!
 

Kua uyaone mtoto wa kike...ingelikuwa kama mambo mengine yana breki kama za gari, ungezikamata kabla mambo hayajaharibika. Ila hata ndege wajanja wananasa na tundu bovu, lol!
 
Unavyosema hali inadorora, unaongelea hali ya nini?
Hali ya mahusiano
hali ya uchumi?

U busy na nini? Watanzania kuna nyanja nyingine tuko busy zaidi ya mahusiano? Anyway correct me if am wrong....uthibitisho ni toka miaka hamsini ya uhuru hali yetu inazidi kudorora siku hadi siku...kila siku afadhali ya jana.
 

Hehe he he umeamua kunisema hadharani he msome AshaDii hapo chini kwenye red huo ndo msimamo wangu....Mwajuma


Umenisoma Mwajuma???:A S-coffee:
 

I salute you boss mwambie huyo ajue mweleze huyo naona bado ananyonya huyu

Kua uyaone mtoto wa kike...ingelikuwa kama mambo mengine yana breki kama za gari, ungezikamata kabla mambo hayajaharibika. Ila hata ndege wajanja wananasa na tundu bovu, lol!
 
what?
huyo baba labda kama kaniroga, otherwise no way................. aoe tu
 
Enzi zetu,

Mwanamume wa namna hiyo ama alikuwa anaumwa ugonjwa wa akili au amerogwa...Immediately, mke wake alitakiwa kwenda kumtafutia mtaalamu wa kumkarabati.... Nasikia ilikuwa inafanyakazi hadi anarudia kuwa mzima kabisa!!

Babu DC!!
bora sikuwepo hizo enzi............. sijui kama ningeweza kutafuta hata huyo mtaalam
 




Alter mwenzio siku hizi sibishani na post.... Natoa mawazo yangu incase ninayo.... Tatatiiibu nasepa....lol
 
Unavyosema hali inadorora, unaongelea hali ya nini?
Hali ya mahusiano
hali ya uchumi?
Mdororo uko kila sehemu hata baada ya miaka hamsini ya uhuru.Mahusiano na uchumi vyote tuko hoi,lol!
 
Alter mwenzio siku hizi sibishani na post.... Natoa mawazo yangu incase ninayo.... Tatatiiibu nasepa....lol

Utakosa kuchukua kombe usipoweza kubishana madam...learn the tricks and stay ahead of the game
 
When I was 4, I thought as a 4 years old and had so many plans up to when I grow up.
When I was 12, I couldn't wait for some stuff to happen in my life
When I was 18, I had so many opinions on how I would make it right and correct all the mistakes of my whole clan
Now that I am here, on the top and looking at the aerial view of the big picture, I realise my ancestors were wiser.
I wanna be 4, worry about the school porridge and if my nanny would let me sneak my friends into the house after school and before I write my numbers!
Husninyo, this is for you gal. Kweli kua uyaone, utagundua mamako alikuzidi akili na ujanja pia!
 
MJ1 sio kwamba una tatizo ILA umekuwa. umeanza kuelewa na kujielewa which is a good thing. Enzi za kuishi kwa kufikiria namna ya kupambana na nyumba ndogo, zinaishia kwen teens na mid twenties huko!

Hongera , umekua!


Mweeeeh!!!:shock:
 
Utakosa kuchukua kombe usipoweza kubishana madam...learn the tricks and stay ahead of the game


I am always in for a fight... My claws all OUT!! If he is MY Man and worth fighting for.... I WILL (With intelligence, won't lift a finger) but by GOD I won't let go that easily... BUT of course if indeed is one of them wenye nyumba ndogo.... Ahakikishe NISIJUE! Na ofcoz siwezi vutiwa na mwanaume mzembe to the extent aweza fanya uzembe wife ajue hio nyumba ndogo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…