Tatizo na Nyumba Ndogo...

Kaunga labda tutumie njia ya kufungana kamba na makofuli kucontrol hayo au we waonaje?

Waweza epuka pressure lakini ukapata Virus vya HI au Herpatisis
au magonjwa mengine yanayoambukiza kwa njia ya body fluid exchange!
Mimi nilifikiri mkiwa wanandoa mnakuwa mwili mmoja
 
Kaunga labda tutumie njia ya kufungana kamba na makofuli kucontrol hayo au we waonaje?

si kihivyo!

Mtazamo wangu, ni kuwa issue ya mwanaume kuwa na nyumba ndogo isiwe ignored totally. Ukipata mwaminifu you have to thank God for that, lkn wengi si waaminifu; so better discuss, mara kwa mara madhara yanayoweza tokana na hiyo cheating. Ukiangalia chain ya wapenzi, kweli waweza kufa na pressure. majority ya nyumba ndogo wana watu wengine apart from 'ur' husband. another sad fact, both wanawake na wanaume wengi hawaPENDI condom na kwamba hawezi kuwa na mahusiano ya more than a month na mtu wakaendelea kutumia condom.

Kuna uzi fulani AshaDii alisema anaprefer mumewe kuliko kuwa na nyumba ndogo bora awe anaHIT N RUN pale hizo test whatever alizosema MTM zikipamba.

Kuignore uwepo wa nyumba ndogo hakufanyi isiwepo but rather kunampa mwanaume amani ili mradi tu afuate Mwongozo wa the Boss
 
Aksante sana Kaunga hiyo Bold hiyo nadhani wanaume wengi wanajidanganya kuwa once ni nyumba ndogo yake then she will be his and his alone. Hii natamani waisome kwa sauti hata kama wako kwenye mkutano.
 

Haya mambo ni magumu sana dada yangu,

Na ndio maana tunaendelea kuyajadili hapa na wakati mwingine tunarudia maneno yale yale kama wahubiri.

La msingi ni kuomba mungu yakupite mbali na usimwombee jirani yako yamtokee!!

Babu DC!!
 
Kweli kabisa Kaunga,

But yet..kila mtu anabaki na mwili wake...

Unapaelewa hapo??

Babu DC!!

like hell l do!
lakini, mwili huo wa mwenzio ndio utakaokuletea germs na virus mwili wako. Ofcourse kila mtu atatumia mwili wake kuharisha na labda kizamu zamu. Na mwisho wa siku watoto mtawaacha yatima (kwa starehe ya 45mns ya baba/mama) wakidhulumiwa mali mlizozichuma wakati wa uhai wenu; wanakatiza masomo na tabu zingine ambazo hazikuwa part of ur dreams wakati mnacourt.
 
Sheria mojawapo ya nyumba ndogo ni kuprovideutamu kuliko nyumba kubwa ,kumbuka mwanaume kwa wife hatumii condomu ili kumretain nyumba ndogo nae hawezikukubali kutumia kondomu
 
MJ1 nimekupata uzuri hapa...

Umenifanya nijiulize, sasa kwa hiyo yanakuwa mashindano ukihisi mwenza anachoropoka basi uanze kushindana ili arudi? Cant you just do new things to spice up your love live bila kusubiri kuwa umepata tishio nje!?

Na hivi mabadiliko yote hupelekewa na nyumba ndogo?
 
Aksante sana Kaunga hiyo Bold hiyo nadhani wanaume wengi wanajidanganya kuwa once ni nyumba ndogo yake then she will be his and his alone. Hii natamani waisome kwa sauti hata kama wako kwenye mkutano.


Dada,

Sina hakika kama kuna mwanamume anakuwa na nyumba ndogo na asilijue hilo...Kama wapo ni wachache sana!!

Ndiyo maana kila mwenye nyumba ndogo amekaa mguu mmoja ndani mwingine nje...Anaweza kuamua mwenyewe kuondoka any time au akapigwa chini!!

Wanayajua sana hayo,

Issue ya kinga nayo ni utata mtupu....!!



Babu DC!!
 
Aksante sana Kaunga hiyo Bold hiyo nadhani wanaume wengi wanajidanganya kuwa once ni nyumba ndogo yake then she will be his and his alone. Hii natamani waisome kwa sauti hata kama wako kwenye mkutano.
Tatizo wanaume ni rahisi kudanganyikaespecially mume wa mtu.anajiamini kuwa mwanamke huyu as long nampa kila kitu ninammiliki mwenyewe.lakinikumbuka hamna mwanamke anaeweza kukubalikufa kifo cha kinyumba ndogo anakuwa yupo macho juu anasearch anampa huyu ,anampa Yule hadi apate atakaembeba jumla.
So kisima kinakuwa ni rafu tupu hatarihatari,na huyu mbaba na familia yake anajipeleka analala pale kwa kujiachia kwaraha kabisa.
Ndomaana ndoa nyingi ndo zenye maambukizi
 
Waweza epuka pressure lakini ukapata Virus vya HI au Herpatisis
au magonjwa mengine yanayoambukiza kwa njia ya body fluid exchange!
Mimi nilifikiri mkiwa wanandoa mnakuwa mwili mmoja

hii iko deep sana hii

hivi mwili mmoja si una organs tofauti eh??
 

Me think you make a wonderful wife.... full of wonders!!! Siungi mkono nyumba ndogo asilani, zinaharibu maadili!! naweza nikamfikiria mtu anayesema, "aisee nilizidiwa sasa kale ka-mwadawa si kakanipa toti mbili za konyagi" .... kwisha!!

Ukishaanza kukusanya majukumu, kugawanya resources, tena kipindi hichi ujue unakusanya na matatizo makubwa hasa ya wivu, magonjwa, extedned families nk

TAFITI RASMI ZINAONYESHA NYUMBA NDOGO NYINGI KILA WAKATI ZINAKUA NA WANAUME ZAIDI YA WAWILI NA POSSIBILITY YA WOTE KUPIGA PEKU NI 90% NA KIBAYA ZAIDI NI KWAMBA POSSIBILITY YA WANAUME WAWILI KUPIGA BAO WITH 12 HOURS NI KUBWA MNO... in addition, huwa kuna dogo mmoja ambaye ndio anakua mkoroga shimo rasmi

No strings attached
 
Aksante sana Kaunga hiyo Bold hiyo nadhani wanaume wengi wanajidanganya kuwa once ni nyumba ndogo yake then she will be his and his alone. Hii natamani waisome kwa sauti hata kama wako kwenye mkutano.

nimeisoma kwa sauti mazee... bahati mbaya huku timor mashariki hakuna aliyenielewa
 
Nyumba ndogo ya Mr. zinajua kucheza ndani ya mipaka hazivuki mipaka zingevuka mipaka ungekuwa kama mbogo aliyejeruhiwa

Fide si hivyo yaani sijui kwa nini hainiumi ila nikigundua najua kabisa kuwa nitachukua hatua ila nisichokielewa ni ile hali ya kutowazia sana juu ya jambo hili. Yaani uchelewe kurudi niende moja kwa moje kuwaza kuwa uko kwenye nyumba ndogo aisee hunichukua muda sana ndio maana ninahisi pengine sijawahi kupenda for really au nita tatizo na mshipa /vein ya wivu!

Watu wamenambia eti nimekuwa kwa kuwa nimetambua hali halisi ya maisha na kuikubali. Well sijui pengine ndo tafsiri ambayo siielewi but najua kuna kucheat na watu wanacheat but kwangu si kuwa ninaikubali ila tu ile vurugu ya mara nikague simu yako, ninuse shati lako sijui kufuli kwa kweli sina.


Na wengine wamesema kuwa wangu anacheza vema na hizo small houses zake zina adabu kiasi cha kula vema na kipofu mimi. Inawezekana but I used to see vimbwanga, yaani hizo za kurudi alfajiri, kurudi usiku, simu kuzimwa usiku, kuwa introduced kwa mawifi kama wale mashemeji aliowaimba Mbaraka Mwinshehe mara kibao tena wengine anakwambia nilisoma naye class moja chuo ukijacheck yaani wako fani tofauti kabisa kwenye vyuo tofauti huo uclassmate wa chuo unatokea wapi!! Vyote hivyo nilivishuhudia but ndo najiuliza hilo tatizo sikutiaga shaka ndio maana ninahisi nina tatizo.
 
bht hivyo ndo inavyoonekana kwa wengi wanaozihofia hizo nyumba ndogo. Mimi kwangu sijui ninachoelewa ninaamini katika kuspice up things, ubunifu, heshima, kujali na kufanya kila kilichopo ndani ya uwezo wangu kuwa na penzi zuri lakini siamini katika kufanya hayo ili asitoke (mind you ili asitoke) sio eti katoka ndo nipinuke masarakasi ili arudi, no way.......
 
Haswaaaaaaaa,

Wengi wentu tunaongea mambo yanayotokea kwenye jamaa na naamini ni watu wachache wanajiongelea...

Kuna watu hawa wakieweka confessions zao hapa hawataaminika kabisa....

Babu DC!!

Haaahaaa! The best way to console ourselves! Nobody does it for sure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…