Tatizo na Nyumba Ndogo...

Tatizo na Nyumba Ndogo...

Wapendwa je wote mu wazima?

Nisaidieni ninaomba kwani nafikiri sijitambui au sijijui.

Mbona mimi sipati shida wala kushtushwa na suala zima la nyumba ndogo!!
Je inawezekana kuwa sijawahi kupenda? au?
Je kuna mwenzangu/wenzangu ambao wana hali kama hii?

Unapenda ila wivu ndo kitu huna.
Roho haiumi wala wivu huna.hongera.
 
nilikuwa nasikiliza heka heka, eti mke wa mtu kaenda kumfanyia fujo Wema Sepetu sababu anatembea na mumewe...........
huu upuuzi sitakuja kuufanya, ni kujidhalilisha kwa hali ya juu
Ni upuuzi sana,kwani wema alimuita? Huyo mwanaume ndo mwamuzi wa mambo yote kwani hata wemaakifa si ataenda kwa mwanamke mwingine tu.
Mimi huwa nikitongozwa na mume wa mtu kwanza ninamdisvalue.
Kwananiudate na limtu halina maadili? Kama anaweza kumsaliti mtu wake wa karibu mimindo nitakuwa salama ?
Semana wanawake njaa na tamaaa zinatusababishia mateso sana maishani
 
Sheria mojawapo ya nyumba ndogo ni kuprovideutamu kuliko nyumba kubwa ,kumbuka mwanaume kwa wife hatumii condomu ili kumretain nyumba ndogo nae hawezikukubali kutumia kondomu

This is Smile's new relationship law or what? I cant understand watu utamu wanaoutaka ni utamu wa aina gani...mmmh
 
Waweza epuka pressure lakini ukapata Virus vya HI au Herpatisis
au magonjwa mengine yanayoambukiza kwa njia ya body fluid exchange!
Mimi nilifikiri mkiwa wanandoa mnakuwa mwili mmoja
hivi ukiwa unapekua sms, email,..... za mwenzi wako unaweza epuka hizo virus?
sikulijua hilo
 
Ni upuuzi sana,kwani wema alimuita? Huyo mwanaume ndo mwamuzi wa mambo yote kwani hata wemaakifa si ataenda kwa mwanamke mwingine tu.
Mimi huwa nikitongozwa na mume wa mtu kwanza ninamdisvalue.
Kwananiudate na limtu halina maadili? Kama anaweza kumsaliti mtu wake wa karibu mimindo nitakuwa salama ?
Semana wanawake njaa na tamaaa zinatusababishia mateso sana maishani
hata kama wema ndo alimtokea, kwani alimbaka? mtu mpaka anatoa hela zake kumnunulia hilo gari na hiyo shopping ya Dubai......................... bado utamlaumu mdada?
 
This is Smile's new relationship law or what? I cant understand watu utamu wanaoutaka ni utamu wa aina gani...mmmh
Not my law kwani nje wanafata nini hao wanaume kama ni sukari ndani ipo it meansnje akute asali.haiwezekani ndani kuna sukari then nje apewe maji /testlesss mmmh
Lazima kuwe na something better
 
Not my law kwani nje wanafata nini hao wanaume kama ni sukari ndani ipo it meansnje akute asali.haiwezekani ndani kuna sukari then nje apewe maji /testlesss mmmh
Lazima kuwe na something better

Ni wanaume tu wenye nyumba ndogo au hata nyinyi kina dada? Si tunazukiana tu siku hizi au macho yangu yamepofuka...well, mi nimerudi kanisani sitaki tabia mbaya, so naangalia tu watu wanavyorukiana.
 
But that Could be Smile's first law of relationship..usiogope hata Newton alianza hivyo hivyo...mbuyu nao ulianza kama mchicha...so that is the way to go...
 
bht hivyo ndo inavyoonekana kwa wengi wanaozihofia hizo nyumba ndogo. Mimi kwangu sijui ninachoelewa ninaamini katika kuspice up things, ubunifu, heshima, kujali na kufanya kila kilichopo ndani ya uwezo wangu kuwa na penzi zuri lakini siamini katika kufanya hayo ili asitoke (mind you ili asitoke) sio eti katoka ndo nipinuke masarakasi ili arudi, no way.......
Na ukiona unaanza kufanya kwa 'hofu' basi kwangu huo naona ni utumwa maana kwanza unafanya si kwa kufurahia na kuongeza ladha bali kwa hofu kuwa nyumba ndogo itakupiku...

Hayo si mapenzi sasa, na wewe dhahiri unajinafiki nasfi yako huku ukijua kabisa kuwa hufanyi kwa kuwa unampenda mwenza wako bali ni uoga wako tu unakulazimisha kufanya hivyo...

Btw: hiyo kutokuwa kwako na wasiwasi hatuwezi kuchukulia kama plus taking into conciderationmaelezo yako ya unyumbulisho?
 
Ni wanaume tu wenye nyumba ndogo au hata nyinyi kina dada? Si tunazukiana tu siku hizi au macho yangu yamepofuka...well, mi nimerudi kanisani sitaki tabia mbaya, so naangalia tu watu wanavyorukiana.
mimi sijui sipo kwenye group hilo la waasi nimeokoka mie
 
This is the type of discussion that changes my day from a sunny lovely to a rainy muddy one. . .
Mwanajamiione, nadhani sio lazima Nyumba Ndogo ikukere. wengine wanaona sawa tu. Binafsi kinacho nikera zaidi ni the lies involved. Kama mambo yote yanawekwa wazi, then people can take any decision knowing that it is based on facts, not assumptions.
Ukisema I have the perfect marriage, you know what you mean, ukisema I want to leave my man you know what you mean. But most of men lie to both Nyumba kubwa and Nyumba Ndogo who then believe in things that don't really exist and that is what makes it even uglier than it already is to me.
heeeee..........hii kubwa kuliko...
yani ukiwa na nyumba ndogo uiambie ukweli, na nyumba kubwa uiambie ukweli!!!

Sijaelewa.......kwamba uiambie nyumba kubwa kwamba una nyumba ndogo? ili iamue ama inasuka au inanyoa?
Hiyo haipo hiyo!!
Perfect marriage ni ile ambayo ina amani......yasiyohusu kujulikana na yasijulikane.........ya nini shari bana!!!
 
Wapendwa je wote mu wazima?

Nisaidieni ninaomba kwani nafikiri sijitambui au sijijui.

Mbona mimi sipati shida wala kushtushwa na suala zima la nyumba ndogo!!
Je inawezekana kuwa sijawahi kupenda? au?
Je kuna mwenzangu/wenzangu ambao wana hali kama hii?

....:A S-coffee:

Hii yatokana tu pale unapojitambua na kujiridhisha thamani ya nafsi yako.
Be proud of yourself mwj1, wivu ni ugonjwa. Shukuru majaaliwa yako.
 
....:A S-coffee:

Hii yatokana tu pale unapojitambua na kujiridhisha thamani ya nafsi yako.
Be proud of yourself mwj1, wivu ni ugonjwa. Shukuru majaaliwa yako.
mbu ebu tupe ushuhuda wako kuhusu nyumba ndogo.
 
Hii thread mbona inogile??! maana hata uchangiaji wake umeenda shule, you can just tell kutokana na flow za wachangiaji.

Naomba kuuliza nikiolewa naweza kuwa nyumba kubwa halafu nyumba ndogo? ili nisikilizie issue kote kote na kukomaa ipasavyo? maana nimedata kidogo hapa

Mbona naogopa hata kuolewa sasa!! Mweeeeh
 
Leo naona umeamua...Hutaki utani hata kidogo!!!

I have enjoyed your posts....

Babu DC!!
babu mimi sikubaliani hata kidogo na swala la nyumba dogo.in real world mimi niko real sana huwa sipendi mambo ya kuact.kwanini uishi kwa kuigiza? Swala la mwanaume kuwa na nyumba ndogo mi huwa naoana nikujidaganya na kujitesa bure. Kama unabisha uliza mwanaume yeyote ambaealishawai kuwa na nyumba ndogo wakaishihadi mwisho kwa usalama.
Wanaume huwa mnajiona wajanja l mnatuona wanawakwe hatuna akili lakinikumbukeni ya adamu na eva. Machunwa weeeeee,napewa na mingoma aka ukimwi.hamana chochote mnachofaidi humo.bora kama mke mmoja akutoshi oa mwingine
 
....:A S-coffee:

Hii yatokana tu pale unapojitambua na kujiridhisha thamani ya nafsi yako.
Be proud of yourself mwj1, wivu ni ugonjwa. Shukuru majaaliwa yako.

Soulmate, unataka kunambia kutokuwa na wivu ni sawa? japo kidogo? how would you feel kupendwa na mtu asokuwa na wivu nawe? yaani uende, usiende, urudi usirudi ye kwake ni sawa tu?? is this normal??

Nina kitu ambacho nahisi ni artificial sana ingawa najaribu kukiona cha kawaida.............. nafikiri kama mtakumbuka kuna siku nilishawahi kuulizia juu ya kutoa too much uhuru kwa spouse! yeh mimi I used to do that kuwa nenda uendako, fanya ufanyalo as long as wewe ni mtu mzima na unajua ukifanyacho sina tatizo but after a while nilikujagundua kuwa wanawake wenzangu wenye maisha mepesi ya mahusiano hawatoi hiyo chance, lazima wanamoderate huo uhuru wanaotoa na wengine hawatoi kabisa.

I think I need to go back and learn the basics.
 
Hii thread mbona inogile??! maana hata uchangiaji wake umeenda shule, you can just tell kutokana na flow za wachangiaji.

Naomba kuuliza nikiolewa naweza kuwa nyumba kubwa halafu nyumba ndogo? ili nisikilizie issue kote kote na kukomaa ipasavyo? maana nimedata kidogo hapa

Mbona naogopa hata kuolewa sasa!! Mweeeeh
Watu tunaolewa kwa sababu zifuatazo
(a)sex –ili tuweze kula tunda kwa raha saa yeyote mahalipopote,sio sasa hvi kwa miezi mitatu mara moja tena kwa kificho ,huko njeutafata nini
(b) upate mtu wa kusaidiana na wewe /kufurahia maisha.watoto,kuinvest, nk
Huko nje unadhani hayo yapo? Kama ni sex bado utaendeleakuiba iba tena sio safe,huwezi pangafuture na hawara yaani mnaishikidigidigi tu ,no vision wala nini
Nakushauri siku ukiiingia kwenye nyumba yako .wala usitamanivya nje.
Sasa hv unaona kuna cha ajabu hata? Kwa niniutamani kurudi
 
babu mimi sikubaliani hata kidogo na swala la nyumba dogo.in real world mimi niko real sana huwa sipendi mambo ya kuact.kwanini uishi kwa kuigiza? Swala la mwanaume kuwa na nyumba ndogo mi huwa naoana nikujidaganya na kujitesa bure. Kama unabisha uliza mwanaume yeyote ambaealishawai kuwa na nyumba ndogo wakaishihadi mwisho kwa usalama.
Wanaume huwa mnajiona wajanja l mnatuona wanawakwe hatuna akili lakinikumbukeni ya adamu na eva. Machunwa weeeeee,napewa na mingoma aka ukimwi.hamana chochote mnachofaidi humo.bora kama mke mmoja akutoshi oa mwingine

I agree with you 100%. Nyumba ndogo ni kujitesa tu kusiko na sababu. Hazina tija wala hazileti furaha ya moyo. I dont want nyumba ndogo. Kubwa niliyonayo inaniumiza kichwa.
 
Back
Top Bottom