Tatizo sio mtu yeyote, tatizo ni mwenge, hauangazi nje ya mipaka yetu.Huyu jamaa ndo tatizo kubwa yanga
Pamoja na ndio kuwa sababu ya GSM kuweka yanga ila jamaa hafai
Kila kitu anajua na anataka afanye yeye
Hawezi usiri kwenye mambo ya yanga
Mbaya zaidi anaingilia kila majukumu na tamaa yake ya kuonekana kwenye tv kila siku rais anaonekana kwenye tv zaidi ya afisa mahusiano
Majukumu yote anataka afanye yeye na ndio chanzo cha senzo kuondoka maana alijiona ni CEO kivuli.
View attachment 2381371
Eng.ataendelea kuwatesa na bado mpaka mtakuwa mnamuota vitandani kwenuHuyu jamaa ndo tatizo kubwa yanga
Pamoja na ndio kuwa sababu ya GSM kuweka yanga ila jamaa hafai
Kila kitu anajua na anataka afanye yeye
Hawezi usiri kwenye mambo ya yanga
Mbaya zaidi anaingilia kila majukumu na tamaa yake ya kuonekana kwenye tv kila siku rais anaonekana kwenye tv zaidi ya afisa mahusiano
Majukumu yote anataka afanye yeye na ndio chanzo cha senzo kuondoka maana alijiona ni CEO kivuli.
View attachment 2381371
Wasomali wanapenda sana sifa za kijingaHuyu jamaa ndiyo tatizo kubwa Yanga, pamoja na ndiyo kuwa sababu ya GSM kuweka Yanga ila jamaa hafai.
Kila kitu anajua na anataka afanye yeye!
Hawezi usiri kwenye mambo ya Yanga, mbaya zaidi anaingilia kila majukumu na tamaa yake ya kuonekana kwenye TV kila siku. Rais anaonekana kwenye TV zaidi ya afisa mahusiano.
Majukumu yote anataka afanye yeye na ndiyo chanzo cha Senzo kuondoka, maana alijiona ni CEO kivuli.
View attachment 2381371
Akili kama za aliyekuzaaaUTOPOLO WALITAKA KUMPA BAHASHA REFA WAKAKUMBUKA BARBARA YUPO CAF WAKARUDISHA KINYESI CHAO NYUMA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Kabisa mkuu, ila rekebisha herufi, au ulikusudia kuandika ' Mbakaji ' na sio ' Mpaka '?Mbaka akitoka Engineer pale Yanga, Mbumbumbu fc watakua wamenyooka vizuri.
Hapana ila umechomekea tu,Mi naona tatizo ni jina...young Africa =wadogo afrika[emoji26][emoji26]au naongopa ndugu zangu??
Toka hapo hamia ANGOLA wakakupe taarifa za mzoefu wa mambo makubwaHersi bonge la Prezidaa,Yanga wanaenda kupindua meza Sudan.
Nimekaa pale
😁😁Nimetoka tayari.Toka hapo hamia ANGOLA wakakupe taarifa za mzoefu wa mambo makubwa
Shabiki oyaoya akitoa Utopolo wakeEng.ataendelea kuwatesa na bado mpaka mtakuwa mnamuota vitandani kwenu