Tatizo ni nini hasa CHADEMA?

Tatizo ni nini hasa CHADEMA?

kulikoni hasa,
hata ifikie hatua mwenyekiti wake Taifa akiibua jambo zito na muhimu kwa maslahi ya chama chake,

basi haupiti muda mrefu,
lazima na makamu mwenyekiti nae aibuke na kituko kingine ilimradi tu kuzima trending ya alichoibua mwenyekiti wake ?

kitaalamu hii ni aina gani ya mapambano ya kisiasa wanayoyafanya mafahali hawa wawili wa chama kimoja, wanao oneana aibu na wasio weza kutazamana macho kwa macho?

hii kasumba ya outshining, thwarting and frustrating ya makamu mwenyekiti dhidi ya mwenyekiti wake kwenye nyumba yao wenyewe,
ni kwa faida ya nani hasa politically speaking?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kumbuka Samia alinywea kwa hotuba ya Mbowe wamasai wamepewa haki yao! Pia kumbuka Samia kakiri ushujaa wa Tundu Lissu na kumlinganisha na simba mfalme wa nyika!

Kwa hiyo kaa kwa kutulia Mbowe na Tundu Lissu ndiyo mashujaa wa siasa za Tanzania!
 
Kumbuka Samia alinywea kwa hotuba ya Mbowe wamasai wamepewa haki yao! Pia kumbuka Samia kakiri ushujaa wa Tundu Lissu na kumlinganisha na simba mfalme wa nyika!

Kwa hiyo kaa kwa kutulia Mbowe na Tundu Lissu ndiyo mashujaa wa siasa za Tanzania!
shujaa na simba hawatafika 2025 wakiwa wamoja ndani ya Chadema, na kwahali ilivyo inaweza kutokea mapema zaidi pia, hii ya kufunikana kwa trending mitandaoni soon itakua real physically kupitia wafuasi wao 🐒
 
Okay,
Ndo utueleze sasa juu ya mustakabali wa ustawi wa demokrasia ndani ya sisiemu, ukirejea jinsi Job alivyoponzwa na kutoa maoni yake, Membe (Rip) alivyoponzwa na kuonesha nia ya kugombea
zingatia maelezo ya msingi kwenye hoja mezani, Lakini pia zingine maelezo ya reply kadhaa hapo juu..

mwenyekiti na makamu wake wanaogopana sana ndio maana makamu mwenyekiti alivyo bweka zaidi ya mara mbili kuhusu rushwa kamati kuu mpaka leo hakuna alie wahi kumjibu...

mwenyekiti anatumia mbinu ya kumpuuzia zaidi hadi ananyamaza mwenyewe 🐒
 
shujaa na simba hawatafika 2025 wakiwa wamoja ndani ya Chadema, na kwahali ilivyo inaweza kutokea mapema zaidi pia, hii ya kufunikana kwa trending mitandaoni soon itakua real physically kupitia wafuasi wao 🐒
Ingependeza kama ungewaita maprofesa wa siasa Tanzania!🤠🤓🤓
 
Ingependeza kama ungewaita maprofesa wa siasa Tanzania!🤠🤓🤓
actually,
tayari ni maprofesa wa kuogopana, kuvuziana na kutegeana who will break the line first 🐒
 
kulikoni hasa,
hata ifikie hatua mwenyekiti wake Taifa akiibua jambo zito na muhimu kwa maslahi ya chama chake,

basi haupiti muda mrefu,
lazima na makamu mwenyekiti nae aibuke na kituko kingine ilimradi tu kuzima trending ya alichoibua mwenyekiti wake ?

kitaalamu hii ni aina gani ya mapambano ya kisiasa wanayoyafanya mafahali hawa wawili wa chama kimoja, wanao oneana aibu na wasio weza kutazamana macho kwa macho?

hii kasumba ya outshining, thwarting and frustrating ya makamu mwenyekiti dhidi ya mwenyekiti wake kwenye nyumba yao wenyewe,
ni kwa faida ya nani hasa politically speaking?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu,nikiwa kwenye maombi hili jina lako limekuja ,upo ujumbe wako siwezi weka hapa na siwezi kuja inbox tafuta namna ya kuupata ,dokezo tenda yaliyo mema Mungu kaniagiza mengi juu yako ,nimekupa dokezo tu
 
Mkuu,nikiwa kwenye maombi hili jina lako limekuja ,upo ujumbe wako siwezi weka hapa na siwezi kuja inbox tafuta namna ya kuupata ,dokezo tenda yaliyo mema Mungu kaniagiza mengi juu yako ,nimekupa dokezo tu
🤣 umenifurahisha sana mtumishi kuachana na ushirikina na kuskiza vema wito wa sauti ya Mungu maishani mwako,

nami nakuombea ukiwa ndani ya familia hii pana sana ya JF,

Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana nawe daima katika kazi na majukumu yako halali ya kila siku, Aimen

kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu 🙏
 
kulikoni hasa,
hata ifikie hatua mwenyekiti wake Taifa akiibua jambo zito na muhimu kwa maslahi ya chama chake,

basi haupiti muda mrefu,
lazima na makamu mwenyekiti nae aibuke na kituko kingine ilimradi tu kuzima trending ya alichoibua mwenyekiti wake ?

kitaalamu hii ni aina gani ya mapambano ya kisiasa wanayoyafanya mafahali hawa wawili wa chama kimoja, wanao oneana aibu na wasio weza kutazamana macho kwa macho?

hii kasumba ya outshining, thwarting and frustrating ya makamu mwenyekiti dhidi ya mwenyekiti wake kwenye nyumba yao wenyewe,
ni kwa faida ya nani hasa politically speaking?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Lumumba wamekuandikia ukapost
Hii Hali ya job less ni hatari
 
Lumumba wamekuandikia ukapost
Hii Hali ya job less ni hatari
nadhani mazingira ya kibiashara, kilimo, ufugaji na uafisa usafishaji ajira za kumwaga nje nje,

mtalia mpaka lini vijanaaaa rafiki zangu? fursa ndio hiyo msing"ang"ane sana mijini na msione aibu kurudi nyumbani kulima, kinalipa aisee 🐒
 
kulikoni hasa,
hata ifikie hatua mwenyekiti wake Taifa akiibua jambo zito na muhimu kwa maslahi ya chama chake,

basi haupiti muda mrefu,
lazima na makamu mwenyekiti nae aibuke na kituko kingine ilimradi tu kuzima trending ya alichoibua mwenyekiti wake ?

kitaalamu hii ni aina gani ya mapambano ya kisiasa wanayoyafanya mafahali hawa wawili wa chama kimoja, wanao oneana aibu na wasio weza kutazamana macho kwa macho?

hii kasumba ya outshining, thwarting and frustrating ya makamu mwenyekiti dhidi ya mwenyekiti wake kwenye nyumba yao wenyewe,
ni kwa faida ya nani hasa politically speaking?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Matatizo ya ccm nayo umeuliza? Kwa nn Kinana alijiuzuru? Maana hakustaafu. Ya CUF je? NCCR?
 
Matatizo ya ccm nayo umeuliza? Kwa nn Kinana alijiuzuru? Maana hakustaafu. Ya CUF je? NCCR?
mimi ni mbobevu wa masuala haya kisiasa nchini,

ni visionary and very focused, si babaikagi na kushika mambo ya huku na huku kwa wakati moja..

nakushauri kuzingatia ushauri huo wa kitaalama utakusaidia sana kuelewa na kufahamu mambo mengi vizuri sana 🐒
 
Back
Top Bottom