Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
SawasawaNgoma ipo clear, muulize duke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawasawaNgoma ipo clear, muulize duke
Saaa 10×10.... Wakili wangu[emoji1544][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Yule Binti ni muoga sana licha ya Mjomba wake kua karibu nae bado anaogopa anahisi labda kuna watu wanataka kukatisha ndoto zake kumpa mimba na kumtekeleza.
Naamini anajua kabisaa mbeleni huko atakua malkia rasmi ila tatizo anaogopa sasa hivi kitumbua chake kisitiwe mchanga naona na safari za kwenda kwa ndugu zake wa mchongo zitakoma atabaki nyumbani zaidi kulinda ugali wake.
View attachment 2718831
Kaka naomba utie neno kidogo kuhusu huyu Bibi za chini wanadai wewe ni MshengaSaaa 10×10.... Wakili wangu[emoji1544][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu hivi kweli mshenga angejidunga hivi[emoji24]Kaka naomba utie neno kidogo kuhusu huyu Bibi za chini wanadai wewe ni Mshenga
Haniiii.....🎶Nimeshindwa kufungua code😃🤔
Wakati keshakoma na hedhi kabisa😀😀😀Kishakua binti tena na mimba juu [emoji2296]
kande la uraiani tamu kuliko la lupangoLet me cross left this does'nt concern me🤣
Sawa😃😃Haniiii.....🎶
Hanniiiii.....🎻
Bora ushindwe tu, maana kosa la uhaini hukumu yake ni kifo...🤨
Yani pamoja na kua na macho kumchuzi bibie katuuzaYule Binti ni muoga sana licha ya Mjomba wake kua karibu nae bado anaogopa anahisi labda kuna watu wanataka kukatisha ndoto zake kumpa mimba na kumtekeleza.
Naamini anajua kabisaa mbeleni huko atakua malkia rasmi ila tatizo anaogopa sasa hivi kitumbua chake kisitiwe mchanga naona na safari za kwenda kwa ndugu zake wa mchongo zitakoma atabaki nyumbani zaidi kulinda ugali wake.
View attachment 2718831
Ni bimkubwa hapa anazungumziwa🥴🥴Hata mimi eti
😂😂😂 KumbeNi bimkubwa hapa anazungumziwa🥴🥴
Yani nimetumia nguvu nyingi kufungua hii code, we acha tu 😂😂😂😂😂😂 Kumbe
we took out the regular one, the inverted one got awayBinti Inverted
Nimeshindwa kufungua code[emoji2][emoji848]