nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Du naona kuna ka ukweli fulani, wengi wa jamaa wanotuka hapo huwa hawajaiva sawa sawa. Nimefanya kazi na jamaa wa UDSM wengine na Masters zao, lkn application ya taaluma zao huwa ngumu. Graduate wengine wa UDSM Wengine nimesoma nao Masters pala SUA, kweli ni Tia maji tia maji. Tena kwa taaluma walizo somea. Hata hivyo sitaki kuamini kuwa tatizo ni chuo bali watu kuto jibidisha zaidi ya kukalili formula za vitabuni.
Ni kweli kabisa. Hata hiyo ranking haisemi chochote kuhusu ufundishaji. To my knowledge vyou vinakuwa ranked sana sana kutokana na idadi ya research wanazofanya. Na kama tujuavyo research za UD zinazowapa chart ndo hizo za Redet na bans and banner zinazotolewa monthly. Kwa SUA I have no objection with the quality of their researches.