Tatizo si Kikwete na uelewa wake bali chuo kikuu alichosoma!

Tatizo si Kikwete na uelewa wake bali chuo kikuu alichosoma!

Du naona kuna ka ukweli fulani, wengi wa jamaa wanotuka hapo huwa hawajaiva sawa sawa. Nimefanya kazi na jamaa wa UDSM wengine na Masters zao, lkn application ya taaluma zao huwa ngumu. Graduate wengine wa UDSM Wengine nimesoma nao Masters pala SUA, kweli ni Tia maji tia maji. Tena kwa taaluma walizo somea. Hata hivyo sitaki kuamini kuwa tatizo ni chuo bali watu kuto jibidisha zaidi ya kukalili formula za vitabuni.

Ni kweli kabisa. Hata hiyo ranking haisemi chochote kuhusu ufundishaji. To my knowledge vyou vinakuwa ranked sana sana kutokana na idadi ya research wanazofanya. Na kama tujuavyo research za UD zinazowapa chart ndo hizo za Redet na bans and banner zinazotolewa monthly. Kwa SUA I have no objection with the quality of their researches.
 
Base ya ranking unaijua lakini? Ni research, na kwa UD research nyingi ni za REDET. Una la kusema hapo. Tunaongelea ufundishaji na si research za kisisasa ambazo zinakuwa published monthly.

Top 100 Universities and Colleges in Africa by the 4icu.org University Web Ranking


1 University of Cape TownSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
2 University of PretoriaSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
3 Universiteit StellenboschSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
4 The American University in CairoEgypt

flags_of_Egypt.gif
5 University of the WitwatersrandSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
6 University of KwaZulu-NatalSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
7 Rhodes UniversitySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
8 University of South AfricaSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
9 Cairo UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
10 University of the Western CapeSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
11 Mansoura UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
12 University of NairobiKenya

flags_of_Kenya.gif
13 University of Dar es SalaamTanzania

flags_of_Tanzania.gif
14 University of BotswanaBotswana

flags_of_Botswana.gif
15 Université Cadi AyyadMorocco

flags_of_Morocco.gif
16 University of GhanaGhana

flags_of_Ghana.gif
17 Helwan UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
18 Alexandria UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
19 Université de la ReunionReunion

flags_of_Reunion.gif
20 Tshwane University of TechnologySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
21 Universidade Eduardo MondlaneMozambique

flags_of_Mozambique.gif
22 Université Abou Bekr Belkaid TlemcenAlgeria

flags_of_Algeria.gif
23 Makerere UniversityUganda

flags_of_Uganda.gif
24 Université Cheikh Anta DiopSenegal

flags_of_Senegal.gif
25 Université des Sciences et de la Technologie Mohamed Boudiaf d'OranAlgeria

flags_of_Algeria.gif
26 University of ZambiaZambia

flags_of_Zambia.gif
27 University of MauritiusMauritius

flags_of_Mauritius.gif
28 Addis Ababa UniversityEthiopia

flags_of_Ethiopia.gif
29 Université de OuagadougouBurkina Faso

flags_of_Burkina-Faso.gif
30 University of IlorinNigeria

flags_of_Nigeria.gif
31 Polytechnic of NamibiaNamibia

flags_of_Namibia.gif
32 International University of AfricaSudan

flags_of_Sudan.gif
33 University of IbadanNigeria

flags_of_Nigeria.gif
34 University of LagosNigeria

flags_of_Nigeria.gif
35 Obafemi Awolowo UniversityNigeria

flags_of_Nigeria.gif
36 Cape Peninsula University of TechnologySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
37 Sudan University for Science and TechnologySudan

flags_of_Sudan.gif
38 University of JohannesburgSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
39 Nelson Mandela Metropolitan UniversitySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
40 Zagazig UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
41 North-West UniversitySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
42 Université Mentouri de ConstantineAlgeria

flags_of_Algeria.gif
43 University of KhartoumSudan

flags_of_Sudan.gif
44 The German University in CairoEgypt

flags_of_Egypt.gif
45 Durban University of TechnologySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
46 Université des Sciences et de la Technologie Houari BoumedièneAlgeria

flags_of_Algeria.gif
47 Central University of TechnologySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
48 Université Abdelhamid Ibn Badis MostaganemAlgeria

flags_of_Algeria.gif
49 Université de BatnaAlgeria

flags_of_Algeria.gif
50 Al Akhawayn UniversityMorocco

flags_of_Morocco.gif
51 University of GaryounisLibya

flags_of_Libya.gif
52 Strathmore UniversityKenya

flags_of_Kenya.gif
53 Kwame Nkrumah University of Science and TechnologyGhana

flags_of_Ghana.gif
54 Tanta UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
55 Université d'AlgerAlgeria

flags_of_Algeria.gif
56 Kenyatta UniversityKenya

flags_of_Kenya.gif
57 Assiut UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
58 Al Azhar UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
59 Mogadishu UniversitySomalia

flags_of_Somalia.gif
60 University of BeninNigeria

flags_of_Nigeria.gif
61 Université Mohamed Khider BiskraAlgeria

flags_of_Algeria.gif
62 South Valley UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
63 Université Gaston Berger de Saint-LouisSenegal

flags_of_Senegal.gif
64 Minia UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
65 Université Ferhat Abbas SétifAlgeria

flags_of_Algeria.gif
66 Université Djillali LiabesAlgeria

flags_of_Algeria.gif
67 Menoufia UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
68 Moi UniversityKenya

flags_of_Kenya.gif
69 Université d'OranAlgeria

flags_of_Algeria.gif
70 MISR University for Sience and TechnologyEgypt

flags_of_Egypt.gif
71 Université M'hamed Bouguerra de BoumerdesAlgeria

flags_of_Algeria.gif
72 University of NamibiaNamibia

flags_of_Namibia.gif
73 Université Mohammed V - AgdalMorocco

flags_of_Morocco.gif
74 Université Mohammed V - SouissiMorocco

flags_of_Morocco.gif
75 Université Hassan II - Aïn ChockMorocco

flags_of_Morocco.gif
76 Université Mouloud Maameri de Tizi OuzouAlgeria

flags_of_Algeria.gif
77 Jomo Kenyatta University of Agriculture and TechnologyKenya

flags_of_Kenya.gif
78 Université Ibn TofailMorocco

flags_of_Morocco.gif
79 October University for Modern Sciences and ArtsEgypt

flags_of_Egypt.gif
80 Université de JijelAlgeria

flags_of_Algeria.gif
81 University of LimpopoSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
82 Université d'AntananarivoMadagascar

flags_of_Madagascar.gif
83 Jimma UniversityEthiopia

flags_of_Ethiopia.gif
84 Université de NouakchottMauritania

flags_of_Mauritania.gif
85 Bayan College for Science and TechnologySudan

flags_of_Sudan.gif
86 Université des Sciences Islamiques Emir AbdelkaderAlgeria

flags_of_Algeria.gif
87 October 6 UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
88 Mauritius Institute of EducationMauritius

flags_of_Mauritius.gif
89 Université Hassan IerMorocco

flags_of_Morocco.gif
90 Sokoine University of AgricultureTanzania

flags_of_Tanzania.gif
91 Université Sidi Mohamed Ben Abdellah FésMorocco

flags_of_Morocco.gif
92 University of ZululandSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
93 Université Hassan II - MohammediaMorocco

flags_of_Morocco.gif
94 University of Fort HareSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
95 National University of RwandaRwanda

flags_of_Rwanda.gif
96 Université Ibn Khaldoun TiaretAlgeria

flags_of_Algeria.gif
97 École du Patrimoine AfricainBenin

flags_of_Benin.gif
98 Université du 7 Novembre à CarthageTunisia

flags_of_Tunisia.gif
99 University of MalawiMalawi

flags_of_Malawi.gif
100 Ahfad University for WomenSudan

flags_of_Sudan.gif


Last Site Update: Wed 12 Jan 11

 
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!

Mzee,

Hata sijajua lengo lako ni nini! Hivi Hayati John Garang na Kaguta Museveni walisoma wapi vile? Na shivji je alisoma wapi? Tundu Lisu?

UDSM imetoa viongozi wazuri sana na imetoa mchango mkubwa kwa nchi. Hivi Spika Anna Makinda alisoma wapi vile?
 
Mzee,

Hata sijajua lengo lako ni nini! Hivi Hayati John Garang na Kaguta Museveni walisoma wapi vile? Na shivji je alisoma wapi? Tundu Lisu?

UDSM imetoa viongozi wazuri sana na imetoa mchango mkubwa kwa nchi. Hivi Spika Anna Makinda alisoma wapi vile?

Anna Makinda ni product ya Mzumbe, si unaona maamuzi yake yalivyo ya kubabaisha? Mara oo thibitisha, mara oo kwa maandishi tena lete ofisini kwangu. Nini Bana........................
 
Base ya ranking unaijua lakini? Ni research, na kwa UD research nyingi ni za REDET. Una la kusema hapo. Tunaongelea ufundishaji na si research za kisisasa ambazo zinakuwa published monthly.

Umesaidia sana! hivi vyuo anavyosema bwana Papa viko wapi kwe orodha hii?
 
Anna Makinda ni product ya Mzumbe, si unaona maamuzi yake yalivyo ya kubabaisha? Mara oo thibitisha, mara oo kwa maandishi tena lete ofisini kwangu. Nini Bana........................

Asante bwana,

Nilitaka papa D. ajue hilo
 
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!

Papa D, Wewe ulisoma wapi?
 
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!

Teh teh, hizi research zingine za JF noma..

Tunaomba utupe methodology uliyotumia!sample size yako.

Ukipigwa na maumivu ya maisha kwa sababu ya JK usikurupuke kufanya conclusion za ajabu.
 
Kila mwanafunzi anayemaliza Form Six hapa Tz huwa ana ndoto za kusoma UDSM (kitovu cha elimu Tanzania). Wale wanaokosa chance ya kupita kwenye yale ma-corridor (kutokana na points kutotosha) mara nyingi hujenga chuki dhidi ya wana-UDSM. Mwenendo wa thread hii unajidhihirisha wazi. Nakumbuka hata miaka ya nyuma kulikuwa na malumbano sana baina ya wana-UDSM na iliyokuwa IDM Mzumbe. Wale wa Mzumbe, enzi hizo wakisoma Advanced Diploma walikuwa wanadai ni sawa na first degree! Lakini kilichokuwa kinatokea ni kwamba hawa wa Mzumbe wakiomba kufanya masters wanaambiwa wasome kwanza first degree.
 
hivi kama Walioba alikuwa amefoji PhD yake pamoja na wengine pale Mzumbe ambao wamefutiwa. hivi athari yake ni nini kwa waliokuwa wanasimamiwa na watu hawa?
na hivi PhD nyingine feki ukizifuatilia zimetolewa Mzumbe. nisingependa kuwataja wahusika wake
 
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!

unasemaje kwa degree ambazo zipo UDSM na hazipo MZUMBE?
degree nyingi za Mzumbe ni za usanii kama Accounting, business management, public administration nk
 
Ukweli ni kwamba kwa Tanzania UDSM ni mambo yote, lakini swali linakuja jee UDSM inamuandaa mtu kuwa critical thinker? Jee UDSM imetoa mchango kubwa kwa taifa ukilinganisha na fund inayopokea kutoka kwa taifa la Tanzania?

Those are critical questions that a Tanzanian society need to digest. Mwalim alisema kuanzishwa kwa UDSM lazima kuwe chachu ya kuzalisha independent thinkers. Jee is it still valid kwamba UDSM produce independent thinker?

The argument can go both ways, unaweza kusema yes UDSM ndio imezaa kina Dr. Shivji, Tundu Lisu and many more. Vile vile unaweza kusema UDSM imetuletea JK, Masha na wengine. All this arguments are based on Political leadership.

However, the question stand kwamba ni kwa jinsi gani UDSM imesaidia Tanzania society kwa research and development, ujasilimali and generation of ethical leaders?
Mimi ni moja wa wale wanao support kwamba mitaala ya chuo kikuu cha Dar es salaam inabidi ibadilishwe, kutoka kwenye exam based system kwenda kwenye combination ya mitiani na kufikiria nje ya kisanduku. Instead ya wanafunzi kuamini kwamba wao ndio cream ya nchi, wanatakiwa wajue kwamba wao ndio wanatakiwa wakazalishe kazi, wao ndio wanatakiwa wakatoe opinion zao kwenye sehemu mbalimbali za jamii ya Tanzania.

Kuendelea kwao kula bia na kuponda starehe kwa pesa za walipa kodi nadhani ni uwazimu. Nimezungumzia UDSM pekee sababu nimekua ndani ya chuo, nilibahatika kuchaguliwa kwenda kusoma even though i chose something else.
 
We elimu ulosoma sijui inakusaidiaje, maana vitu unovoongea ni kama failure flan, i doubt ur sense :A S 20:
 
it's useless arguing with a fool(here is referred as papa D)..as i shall be a fool than himself..am just a passer-by...
 
Jamani ukweli ni kuwa vyuo vyote wanakariri, ila udsm kidogo ndoo wamezidi. Japo in certain demain ni wazuri. Mzumbe ndoo kabisa jugement capacity bado. Kwa ujumla E;imu tanzania bado ya kizushi sana. Tatizo ni kujisahau. Research lab ni mahali pa kutafutia miradi ya kupatia fedha. siasa zimezidi. Hawataki kujifunza. Hivyo mkwere hata angesoma Sua, Mzumbe DIT bala linge kuwa palepale kwani hakuna aliye mwema.
 
jamani, tatizo linaweza kuwa sio ubovu wa UDSM, nadhani ni suala la zima la mfumo wetu wa elimu, tusitegemee kuwa eti tofauti ya utendaji wetu itarekebishwa kwa miaka 3 uliyospend SUA, Mzumbe , UDSM etc. ukosefu wa uzalendo na ubunifu ktk mafunzo yetu ni tatizo sugu! Afu tanzania imekuwa na chuo kimoja hadi 1984, tukawa na SUA, then Open 1994 hivyo wazee wote tulio nao walio soma miaka ya 80s backwards they are bound to be UDSM graduate kama hawakwenda nje. Na je hao wa nje how different are they?

suala la vilaza ni la kitaifa, nchi ina watu milion 43 na zaidi graduate hawafiki laki, nini cha kujisifu? ni tatizo hilo tunaishia kuchagua maraisi wabovu, mawaziri hadi ma VC feki, maprofessor wasioweza kusimamia hata hoja za kitaaluma eti wanafuata matakwa ya vyama vyao! Hizo ndo cream mnazotaka kujisifia nazo?
 
Mzee,

Hata sijajua lengo lako ni nini! Hivi Hayati John Garang na Kaguta Museveni walisoma wapi vile? Na shivji je alisoma wapi? Tundu Lisu?

UDSM imetoa viongozi wazuri sana na imetoa mchango mkubwa kwa nchi. Hivi Spika Anna Makinda alisoma wapi vile?

Mkuu, nafikiri hiyo red kama ilisoma UDSM then ndo sababu ya kusema yote hayo.
Sema alichokosea ni kugeneralize, otherwise wapo mabogus wengi tu, mifano ipo mingi tu:A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20:
 
Alosema kuna vyuo vina wanafunzi elfu 10 (10,000) duniani ajue kuwa bado ratio ya student lecturer ni kubwa nina maana wana lecturers wengi pia na hakuna anayesahihisha essay 3000. Na ujue technolojia ahisahihishi essay leave aside the fact that we don't have softwares za ku detect vitu kama plagiarism in any university in TZ. Mwisho wa siku walimu sijuhi ndo mnawahita lecturers hawasahihishi na wanafunzi wanakuwa demoralized na ni kureproduce kazi za watu kwenda mbele. Mimi nimesoma chuo kina wanafuni 25,000 lakini darasani tulikuwa hatuzidi 20.
 
UDSM kilikuwa chuo kizuri sana kilichotoa elimu nzuri sana miaka hiyo, at least hadi mwaka 1990. Sielewi miaka ya karibuni kwa vile kumekuwa na uongozi wa kibabaishaji na siasa zimekiingilia sana. Ni muhimu kufahamu kuwa katika msafara wa mamba, hata Kenge pia wamo, kwa hiyo tukifuata standard performance ya 2-sigma, katika kila graduate 100 wa UDSM kutakuwa na vilaza (kenge) kama watano hivi (wanaitwa outliers), na hiyo natural process inatokea duniani kote. kwa hiyo basi siwezi kushangaa kuwa huenda Kikwete alikuwa ni mmoja wa wale 5% outliers!!!.

UDSM ndiyo imeinua vyuo vingine vingi sana hapo Tanzania kwa kufundisha watu ambao ndio wamekujwa kuwa maprofesa wa vyuo hivyo: SUA, MU, SAUT, UDOM na vingine vingi tu. Haiwezekani wao wawe vilaza halafu eti wakawafundishe vipanga.
 
Back
Top Bottom