Tatizo Simba sio makocha bali uongozi

Ama kweli nyumba ya adui ikiungua na moto vuta kiti uote moto!
 
Tatizo Sio kocha. Uongozi wanasajili kwa maoni ya mashabiki. Hasa Harji Manara. Na matawi. Kosa manara kampenda. Lazima asajiliwe. Kampenda Nyozima. Mavugo. Okwi ya nini wazee clubuni? Watu wanatupwa na Azam tunakimbilia. MTU kacheza yanga miaka sita tunamtaka wakati wao yanga awamtaki. Watoto waliotoka mtibwa safi sana.
 
Hilo LA kuongoza points nane OMOG anahusika na nn? Mpira wa bongo,,, na siasa zake hata ingekuwa Simba inaongoza points 20 mbele,,, kama viongozi wapumbavu Simba itakosa ubingwa tu,,,, wakati wenzao wananunuwa mechi za mwisho viongozi wapo wapi?
 
Tatizo la Simba si makocha wala wachezaji. Tatizo la Simba ni Simba yenyewe, akiwamo huyo Mo wao. Hawana mtizamo wa kimpira, wao ni kupiga ‘deal’ na kutaka sifa kwamba ‘mchezaji yule nimemleta mimi, mnaona?’ Yanga wamshukuru Manji, maana ameleta utamaduni wa kumwachia huru kocha kuchagua mchezaji amtakaye. Nahisi wamenogewa na faida ya utamaduni huo, ndio maana wanaendelea nao. Lakini uko sahihi, hata msaidizi wa kocha na dawati lote la ufundi ni kocha ndiye anapaswa kuchagua. Ndivyo alivyofanya Maximo, na walipotaka kimchagulia msaidizi, akasepa zake. Vile ndivyo kocha anavyotakiwa awe, siyo awe kibaraka wa viongozi.
 
Mm sijawahi kusikia wala.kuona timu inaongoza ligi af inafukiza kocha? Hii kali kweli .kuna wapenzi wa mpira hapa nchini wanaamini okwi, niyonzima nk wanauwezo.wa kimungu uwanjani.washachoka waleeee
 
Niliwaambia mimi kuwa kinyota Simba haifai kuongozwa na mwanamke
 
Mkuu wapi ulituambia? Hayo mambo ya ushirikina Mkuu
Ukisoma mada zangu humu, iko moja nilisema kuwa Simba Ni jina kubwa na lenye nguvu. Hata logo ya Simba Ina kichwa Cha Simba dume. Hivyo Simba kuwa na kiongozi mkuu, CEO mwanamke haifai kinyota. Ili Simba ibaki salama lazima ama wabadilishe CEO awe mwanaume, au wabadilishe logo ya club iwe na kichwa Cha Simba jike.

Kama wanabisha wasubiri waone
 
I see ,mkuu naomba ukiwa unatupia post zako nitag ,hizo zingine zimenipita

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahhhh !! Dooh .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…