Tatizo sio elimu zetu tatizo ni sisi kushindwa kuwaza nje ya Box

Vipi wale wa mwanzo kabisa wavumbuzi ambao hawakuwa na sehemu ya Kuigilizia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tiyari ushasema kuwa ni wavumbuzi, hata hapa bongo wavumbuzi ni wengi tu ..mfano yule jamaa aliyetengeneza ndege, kuna yule aliyetengeneza risasi ..wote hao ni wavumbuzi lakin leo wako wapi? Je wame endelezwa? So tatizo sio kuvumbua tatizo lipo kwa uendelezaji wa huo uvumbuzi. Hao akina Isaac Newton na wengineo walivumbua ila vilikuja endelezwa badae na ndo leo tunaona matunda yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sidhani matajiri wote ni watu waliofikiri nje ya box,kuna alot of factors and roads to success.Opportunities pia,kama for the case ya Oprah Winfrey aliyedrop out pia.
Sio kwamba masikini hawafikiri nje ya box.Intelligence doesnt really group the rich and the poor,there are other things to it.
In this capitalist world kuwa tajiri na kumiliki mali ndio the greatest goal of man and it is seen as the peak of achievement and intelligence too.And too bad we cant escape this,the fit survive.

I totally agree na mleta mada kuwa thinking outside the box ni muhimu.Ningependa kusema pia,vitu vingine haviitaji hata kufikiri nje ya box.Hauhitaji hata kuwa na extraordinary ideas.
Ni kitu kidogo tu unaweza kufanya na kufanikiwa ila since it doesnt sound like a great idea people give up au hata hawajaribu.
Most of us are in this group,tunajua tunaweza tukafanya jambo ila hatujaribu,tunakuwa motivated for a while ila we just dont do it.Basi tu.

For the rich to be rich,masikini lazima wawepo,thats how its always going to be.
Mi naamini,to be rich you need money or/and an opportunity pamoja na ideas na strong drive.Ndio maana wazazi wanatupeleka shule kwanza.Wanaamini inabidi tujue historia,dunia na viumbe kwa mapana ili tuweze kuamua ni njia gani tutachagua kufika kwenye peak of success.
Binadamu tuko tofauti,wengine hawahitaji shule kujikimu,wengine wanatumia shule ipasavyo kujiongeza,wengine wanatumia elimu pekee kujikimu.

Tunahitaji pesa au fursa.Na most importantly willingness to work hard.love to work.tusiwe na tabia ya kuhairisha mambo.tujiamini n.k...sema binadamu tuko tofauti.Na wengi wetu,kujituma ni ngumu mno.Hata kama ukifikiri nje ya box na hauna willingness na una uvivu utabaki hapohapo.
Wavivu tutaishia kujisema tu,kukosoana,kuchat,nakuchelewa kuamka,kujifurahisha,kupiga stori za kijingajinga,mvua ikinyeesha tunapostpone kazi,tukipata faida nzuri tunajitoa out,tuna viburi,tunajifanya tunajuuuuua,hatuna rich mentality.. sio kwamba hatujui ila we dont want to care,tunapotezea,tunasubiri kesho.

Wale waliozaliwa matajiri wana opportunity tayari.Kama kwenu ni masikini,wala hata usijiweke kwenye group la middle class,jiite tu masikini,tajiri ni mwenye chopper kwa hiyo anaweza kuescape mafuriko.The poor have to work harder,ila funny enough matajiri ndio wanajituma.

Tunaogopa umasikini ila what are we doing about it?
Baadhi ya wanaume ndio wameamua kuoa wanawake wenye kazi au wenye pesa zao,yani the goal ni double income.
Na wanawake ofcuz anataka mwanaume mwenye kipato,tena kuzidi chake na cha uhakika.Yani mwanaume mwenye future.
Ndio coping mechanisms hizo.Halafu utashangaa watu wanakuja kulaumiana mara oh wanawake wanapenda pesa mara oh huyu mwanaume anakibamia...hutakaa ukajua billgates anakibamia or not.Tatizo sio kibamia wala tamaa ya mwanamke.Tatizo ni uvivu wakutafuta pesa.Mwanamke mvivu anahangaika kutafuta mwanaume mwenye pesa,akiwa bahili anakibamia,mwanaume mvivu anatafuta mwanamke asiyependa pesa,anayependa pesa anamkeraaa.You know what im saying.

Tujitume bhana,thinking outside the box ni bonus.Mfano wa karibu tu,ni Naseeb Abdul.Mimi nilikuwa sipendi wimbo wake wakwanza yani nilikuwa simfeel.Ila jamaa kept on releasing songs.Akaanza kucheza kwenye videos.Mimi huwa naamini artists wanaocheza huwa succesful zaidi mfano MJ.,Beyonce,Usher,ChrisBrown,Derulo n.k..Nikaona kweli this guy anajituma.Nilipenda juhudi za diamond kwanza kabla hata sjamkubali kisauti.Diamond anajishusha,anajipendekeza,na anajituma.Acopy kazi asicopy,afanye afanyalo jamaa hagive up.He is an international artist and entrepreneur.Excellent.
Tujitume jamani.Kujituma muhimu.Mtu anayejituma ndiye anayepata fursa.

Hardwork beats talent anyday.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza wajue hakuna masikini anayesoma Havard

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaelewa nini maana ya kuwaza nje ya box?

Kuwaza nje hakumanishi elimu no. ni pamoja na nje ya mazingira mtu aliopo.

Israeli wana jangwa ila watu waliwaza nje ya yale mazingira yao ndo maana wana export matunda Dunia nzima na mwa sasa ndo World number one kwa.mambo ya Drip Irigation na kadhalika.

Sijasema matajiri ndo wanawaza nje ya box.

Hata masikini pia yaani mtu yoyote yule anaweza kaa na kuwaza nje ya yale mazingira yake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza wajue hakuna masikini anayesoma Havard

Sent using Jamii Forums mobile app
Matajiri wote wanasoma Harvad? Haya ndo matumani huwa Wabongo tunapeana.

Oo yule pesa za Urith, mara oo yule kwanza Mwizi tu, Yule anatumia uchawi, yule sijui Freemason

Haya ndo matumaini huwa tunapeana.

Dunia nzima ina watu.wali ctietive wangapi? na wote wamesoma Vyuo vikubwa?

Hahaha tuendelee kufarijiana kwa staili hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hard work inaenda pamoja na Talent.

Dhat is why nasema kinacho matter ni Pasion.

Sio elimu wala sio pesa bali ni Pasion pesa huwa ni matokeo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bill alikuwa mtoto wa kishua. Babu yake alimuachia trust fund ya zaidi ya 1mill dollars

Hiyo ndo ilimsaidia kuanzisha Microsoft

Pili, mama yake alikuwa mkurugenzi wa Bank na ndo alimtambulisha kwa executives wa IBM aliowauzia software yake ya kwanza

Haya mambo ni channel, iga ufe
 
Hii mada ni nzuri sana ila nadhan tuachane na maswala ya "school drop" ila tujikite zaidi kwenye kuwaza nje ya box. Uwe umeenda shule ama hujakwenda shule kuwaza nje ya boksi ni muhimu.
Pia nadhani tusihusihanishe moja kwa moja utajiri au umasikini na kuwaza nje ya boksi ama kutokuwaza nje ya boksi,hapa naamisha kwamba kuna matajiri ambao wala hawajawahi kuwaza mbali na yanayofanyika kila siku ila kwa sababu kadhaa amekuwa tajiri na kwa umasikini hivyohivyo.
Ni ukweli mtupu kwamba kuwaza nje ya boksi kunayo nafasi fulani katika kubadilisha maisha ya mtu mmojammoja na hata jamii kwa ujumla.
 

DO YOU KNOW

1. Most millionaires inherited t heir wealth?? NO

About 80%of millionaires are first generation affluent. (self-made)

2. Millionaires usually drive new cars ?? NO

Only 25% of millionaires drive a new car 50% drive a car 2 year old.

3. Many millionaires drop out ofcollege to start their business ??. NO

80% of millionaires are college graduates.

Want to Drop Out of School and Start a Business? Don't Make These Stupid Mistakes.
 
Hard work inaenda pamoja na Talent.

Dhat is why nasema kinacho matter ni Pasion.

Sio elimu wala sio pesa bali ni Pasion pesa huwa ni matokeo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Passion inaenda pamoja na Hardwork.

Talent bhana.. wangapi wanavipaji wanalala njaa?

Ndo maana nasema hardwork beats talents anyday,
Kama una talent na unajituma basi hiyo ni bonus.

Kama hujagundua talent yako au hujielewi elewi huna jinsi Jitume tu,tena sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi wa maana saaana huu

Great ideas when are implemented with dedicated person who got improvement plan to fit with dynamic environment, there is when SUCCESS show up

Kweli tukubaliane na mazingira yetu ni tofauti saaana na wenzetu ila ni namna gani unapambana na hizo changamoto!

I agree kwamba Talent is a bonus na hatuitaji hela kubwa saaaaana kujitoa kwenye umaskini, nikuacha uvivu tu.

Halaa all to all thread members

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi hali ngumu ya kimaisha kwa bara la afrika tungekuwa tumeshafika mbali kweli kweli kimaendeleo kwa sababu hali hii ya shida inatakiwa ichochee kufikiri kwa kina na nje ya box ili kupata suluhu ya matatizo sugu ya Afrika kama maji, umeme, huduma mbovu za afya na magonjwa, vipato vidogo etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Umenena vilivyo ndugu yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…