OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Tiyari ushasema kuwa ni wavumbuzi, hata hapa bongo wavumbuzi ni wengi tu ..mfano yule jamaa aliyetengeneza ndege, kuna yule aliyetengeneza risasi ..wote hao ni wavumbuzi lakin leo wako wapi? Je wame endelezwa? So tatizo sio kuvumbua tatizo lipo kwa uendelezaji wa huo uvumbuzi. Hao akina Isaac Newton na wengineo walivumbua ila vilikuja endelezwa badae na ndo leo tunaona matunda yake.Vipi wale wa mwanzo kabisa wavumbuzi ambao hawakuwa na sehemu ya Kuigilizia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza wajue hakuna masikini anayesoma HavardWatu wengi wanapenda kusema Bill alidrop ili kujipa moyo kua kukosa elimu siyo mwisho wa maisha.
Bill hakudrop kwakua hana akili alidrop kwakua masomo aliyoyataka yeye hayakua yakifundishwa Havard hivyo alikua anajiona yeye ni mkubwa kushinda Havard.
Pia Bill kwao kulikua na pesa, hayo makarakacha yote aliyoyatengeneza hapo mwanzo ni pesa za mzee wake.
Someni historia jamani. Usikamate kapointi kamoja tu kua jamaa alidrop, nenda ukajue kwanini alidrop.
Unaelewa nini maana ya kuwaza nje ya box?Mi sidhani matajiri wote ni watu waliofikiri nje ya box,kuna alot of factors and roads to success.Opportunities pia,kama for the case ya Oprah Winfrey aliyedrop out pia.
Sio kwamba masikini hawafikiri nje ya box.Intelligence doesnt really group the rich and the poor,there are other things to it.
In this capitalist world kuwa tajiri na kumiliki mali ndio the greatest goal of man and it is seen as the peak of achievement and intelligence too.And too bad we cant escape this,the fit survive.
I totally agree na mleta mada kuwa thinking outside the box ni muhimu.Ningependa kusema pia,vitu vingine haviitaji hata kufikiri nje ya box.Hauhitaji hata kuwa na extraordinary ideas.
Ni kitu kidogo tu unaweza kufanya na kufanikiwa ila since it doesnt sound like a great idea people give up au hata hawajaribu.
Most of us are in this group,tunajua tunaweza tukafanya jambo ila hatujaribu,tunakuwa motivated for a while ila we just dont do it.Basi tu.
For the rich to be rich,masikini lazima wawepo,thats how its always going to be.
Mi naamini,to be rich you need money or/and an opportunity pamoja na ideas na strong drive.Ndio maana wazazi wanatupeleka shule kwanza.Wanaamini inabidi tujue historia,dunia na viumbe kwa mapana ili tuweze kuamua ni njia gani tutachagua kufika kwenye peak of success.
Binadamu tuko tofauti,wengine hawahitaji shule kujikimu,wengine wanatumia shule ipasavyo kujiongeza,wengine wanatumia elimu pekee kujikimu.
Tunahitaji pesa au fursa.Na most importantly willingness to work hard.love to work.tusiwe na tabia ya kuhairisha mambo.tujiamini n.k...sema binadamu tuko tofauti.Na wengi wetu,kujituma ni ngumu mno.Hata kama ukifikiri nje ya box na hauna willingness na una uvivu utabaki hapohapo.
Wavivu tutaishia kujisema tu,kukosoana,kuchat,nakuchelewa kuamka,kujifurahisha,kupiga stori za kijingajinga,mvua ikinyeesha tunapostpone kazi,tukipata faida nzuri tunajitoa out,tuna viburi,tunajifanya tunajuuuuua,hatuna rich mentality.. sio kwamba hatujui ila we dont want to care,tunapotezea,tunasubiri kesho.
Wale waliozaliwa matajiri wana opportunity tayari.Kama kwenu ni masikini,wala hata usijiweke kwenye group la middle class,jiite tu masikini,tajiri ni mwenye chopper kwa hiyo anaweza kuescape mafuriko.The poor have to work harder,ila funny enough matajiri ndio wanajituma.
Tunaogopa umasikini ila what are we doing about it?
Baadhi ya wanaume ndio wameamua kuoa wanawake wenye kazi au wenye pesa zao,yani the goal ni double income.
Na wanawake ofcuz anataka mwanaume mwenye kipato,tena kuzidi chake na cha uhakika.Yani mwanaume mwenye future.
Ndio coping mechanisms hizo.Halafu utashangaa watu wanakuja kulaumiana mara oh wanawake wanapenda pesa mara oh huyu mwanaume anakibamia...hutakaa ukajua billgates anakibamia or not.Tatizo sio kibamia wala tamaa ya mwanamke.Tatizo ni uvivu wakutafuta pesa.Mwanamke mvivu anahangaika kutafuta mwanaume mwenye pesa,akiwa bahili anakibamia,mwanaume mvivu anatafuta mwanamke asiyependa pesa,anayependa pesa anamkeraaa.You know what im saying.
Tujitume bhana,thinking outside the box ni bonus.Mfano wa karibu tu,ni Naseeb Abdul.Mimi nilikuwa sipendi wimbo wake wakwanza yani nilikuwa simfeel.Ila jamaa kept on releasing songs.Akaanza kucheza kwenye videos.Mimi huwa naamini artists wanaocheza huwa succesful zaidi mfano MJ.,Beyonce,Usher,ChrisBrown,Derulo n.k..Nikaona kweli this guy anajituma.Nilipenda juhudi za diamond kwanza kabla hata sjamkubali kisauti.Diamond anajishusha,anajipendekeza,na anajituma.Acopy kazi asicopy,afanye afanyalo jamaa hagive up.He is an international artist and entrepreneur.Excellent.
Tujitume jamani.Kujituma muhimu.Mtu anayejituma ndiye anayepata fursa.
Hardwork beats talent anyday.
Sent using Jamii Forums mobile app
Matajiri wote wanasoma Harvad? Haya ndo matumani huwa Wabongo tunapeana.
Hard work inaenda pamoja na Talent.Mi sidhani matajiri wote ni watu waliofikiri nje ya box,kuna alot of factors and roads to success.Opportunities pia,kama for the case ya Oprah Winfrey aliyedrop out pia.
Sio kwamba masikini hawafikiri nje ya box.Intelligence doesnt really group the rich and the poor,there are other things to it.
In this capitalist world kuwa tajiri na kumiliki mali ndio the greatest goal of man and it is seen as the peak of achievement and intelligence too.And too bad we cant escape this,the fit survive.
I totally agree na mleta mada kuwa thinking outside the box ni muhimu.Ningependa kusema pia,vitu vingine haviitaji hata kufikiri nje ya box.Hauhitaji hata kuwa na extraordinary ideas.
Ni kitu kidogo tu unaweza kufanya na kufanikiwa ila since it doesnt sound like a great idea people give up au hata hawajaribu.
Most of us are in this group,tunajua tunaweza tukafanya jambo ila hatujaribu,tunakuwa motivated for a while ila we just dont do it.Basi tu.
For the rich to be rich,masikini lazima wawepo,thats how its always going to be.
Mi naamini,to be rich you need money or/and an opportunity pamoja na ideas na strong drive.Ndio maana wazazi wanatupeleka shule kwanza.Wanaamini inabidi tujue historia,dunia na viumbe kwa mapana ili tuweze kuamua ni njia gani tutachagua kufika kwenye peak of success.
Binadamu tuko tofauti,wengine hawahitaji shule kujikimu,wengine wanatumia shule ipasavyo kujiongeza,wengine wanatumia elimu pekee kujikimu.
Tunahitaji pesa au fursa.Na most importantly willingness to work hard.love to work.tusiwe na tabia ya kuhairisha mambo.tujiamini n.k...sema binadamu tuko tofauti.Na wengi wetu,kujituma ni ngumu mno.Hata kama ukifikiri nje ya box na hauna willingness na una uvivu utabaki hapohapo.
Wavivu tutaishia kujisema tu,kukosoana,kuchat,nakuchelewa kuamka,kujifurahisha,kupiga stori za kijingajinga,mvua ikinyeesha tunapostpone kazi,tukipata faida nzuri tunajitoa out,tuna viburi,tunajifanya tunajuuuuua,hatuna rich mentality.. sio kwamba hatujui ila we dont want to care,tunapotezea,tunasubiri kesho.
Wale waliozaliwa matajiri wana opportunity tayari.Kama kwenu ni masikini,wala hata usijiweke kwenye group la middle class,jiite tu masikini,tajiri ni mwenye chopper kwa hiyo anaweza kuescape mafuriko.The poor have to work harder,ila funny enough matajiri ndio wanajituma.
Tunaogopa umasikini ila what are we doing about it?
Baadhi ya wanaume ndio wameamua kuoa wanawake wenye kazi au wenye pesa zao,yani the goal ni double income.
Na wanawake ofcuz anataka mwanaume mwenye kipato,tena kuzidi chake na cha uhakika.Yani mwanaume mwenye future.
Ndio coping mechanisms hizo.Halafu utashangaa watu wanakuja kulaumiana mara oh wanawake wanapenda pesa mara oh huyu mwanaume anakibamia...hutakaa ukajua billgates anakibamia or not.Tatizo sio kibamia wala tamaa ya mwanamke.Tatizo ni uvivu wakutafuta pesa.Mwanamke mvivu anahangaika kutafuta mwanaume mwenye pesa,akiwa bahili anakibamia,mwanaume mvivu anatafuta mwanamke asiyependa pesa,anayependa pesa anamkeraaa.You know what im saying.
Tujitume bhana,thinking outside the box ni bonus.Mfano wa karibu tu,ni Naseeb Abdul.Mimi nilikuwa sipendi wimbo wake wakwanza yani nilikuwa simfeel.Ila jamaa kept on releasing songs.Akaanza kucheza kwenye videos.Mimi huwa naamini artists wanaocheza huwa succesful zaidi mfano MJ.,Beyonce,Usher,ChrisBrown,Derulo n.k..Nikaona kweli this guy anajituma.Nilipenda juhudi za diamond kwanza kabla hata sjamkubali kisauti.Diamond anajishusha,anajipendekeza,na anajituma.Acopy kazi asicopy,afanye afanyalo jamaa hagive up.He is an international artist and entrepreneur.Excellent.
Tujitume jamani.Kujituma muhimu.Mtu anayejituma ndiye anayepata fursa.
Hardwork beats talent anyday.
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabisa tena wakiwa chuo kikuu , watuletee waliodrop wakiwa std 4 wenye kampuni za technology tuwaone basi ?Wanaodrop huwa wamepata elimu bora tangu primary sasa wewe jidanganye tu na shule zako za kata
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka sasa nazani hatujaelewa kwa nini Wakina Bil wali Drop Chuo.
Wakina Mark Zuckerberg.
Hawa jamaa na wengine wengi wao tiyari wakiwa vyuoni walisha anza kuwaza nje ya wanavyo fundishwa.
Wenzetu akisha anza kuwaza nje ya anacho fundishwa Haraka haraka husepa ili asipoteze muda yaani Walimu wanafundisha kuelekea Kusini wao wanawaza kuelejea Kaskazini.
KIBONGOBONGO SASA
Sosi tunaamini kwamba ukisomea Udakitari basi piga ua galagaza unapaswa kwenda kuwa Dakitari.
Ukisomea IT basi lazima uwe na laptop yao na ofisi.
Ukisomea Animal sayansi basi unapaswa kuwa kwenye mifugo.
Ukisomea Procurement lazima uwe kwenye Mastoo kama afisa Ugavi.
HATUELEWI HAYA
Dakitari wa Binadamu anaweza maliza na kaanzisha kampuni yake ya Usafiri wa mabasi ila katika usafiri wa mabasi mbele ya safari akaamua kuja kivingine na mabasi ya kubebea wagonjwa pekee yaani mabasi yenye vitanda.
Atatumia sehemu ndogo alio fundishwa hasa kwenye kusafirisha wagonjwa.
Kwamba IT anaweza kuuza karanga lakini kwenye kuuza akaona Adevelop Program au njia ya yeye kuuza karanga kwa utofauti kabisa.
Kwamba Animal Sayansi anaweza baada ya kuhitimu akafungua Microfinance yake ya kutoa mikopo lakini yeye kwa sababu alisomea Nutrion ya Mifugo ili kutatua changamoto za mifugo akawa anatoa mikopo kwa wafugaji wa mifugo pekee ili wanunue vyakula vya mifugo. anafanya hivyo kwa sababu anajua fika mambo ya nutrion na shida wanayo pata Mifugo.
Kwamba Dakitari wa Binadamu baada ya kuhitimu anaweza kwenda kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji na kwenye kilimo akalima mazao pia ya kuweza kuwasaidia wagonjwa na akawa anawauzia sana wagonjwa na kwa sababu ana Idea za nutrition ya binadamu..
Hapo ndo kukariri kunapo chukua nafasi kubwa sana ye Elimu zetu.
KUFIKIRI TOFAUTI NI DHAMBI KUBWA MNO KWA SISI WASOMI
Sent using Jamii Forums mobile app
Passion inaenda pamoja na Hardwork.Hard work inaenda pamoja na Talent.
Dhat is why nasema kinacho matter ni Pasion.
Sio elimu wala sio pesa bali ni Pasion pesa huwa ni matokeo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hali ngumu ya kimaisha kwa bara la afrika tungekuwa tumeshafika mbali kweli kweli kimaendeleo kwa sababu hali hii ya shida inatakiwa ichochee kufikiri kwa kina na nje ya box ili kupata suluhu ya matatizo sugu ya Afrika kama maji, umeme, huduma mbovu za afya na magonjwa, vipato vidogo etcIla ishu sio Mazingira au Maisha magumu.
Ukiangalia hata Wavumbuzi wengi walikiwa na Maisha Magumu ujue hata Magharibi miaka ya nyuma walikuwa na life Gumu.
Na kwenye Ugumu ndo kuna udadisi mkubwa sana.
Kwenye maisha magumu au mazingira Magumu ndo vipaji hujitokeza.
Mfano wakati wa Vita kuu ya II ya Dunia maisha yalijuwa Magumu sana Ulaya lakini kuna watu wali jitokeza kipindi hicho na kupambana vilivyo na maisha hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Umewaza vyema ila kumbuka utofauti wa kimazingara uliopo kati yetu na hao akina Bill na Mark. Wenzetu wana andaliwa tangu wakiwa watoto kabisa, mifumo yao ya elimu ni imara tangu chin so unakuta mtu kama Billget tangu akiwa dogo tu tiyari kashatengenezewa maziringa mazuri so ni rahis kwa yeye kutoka.
Lakin ukija uku kwetu kwanzia mfumo wetu wa maisha, mifumo yetu ya elimu pamoja na sera zake, siasa zetu pamoja na viongozi wetu, vyote hiv vinakuwa ni kama changamoto kubwa kwetu. Kijana kama mim naweza kuwaza kabisa namna ya kutoka lakin changamoto tajwa hapo juu zikawa ni kikwazo na wengi ndo tunapofelia apo.
So tofauti iliyopo btw sis na hao wazungu ni mazingira nikimaanisha mitaji, mifumo ya elimu, siasa na mtindo wa uongozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe hiyo story mapema Mkuu ili tupate kujua changamoto na kujifunza piaHahahaa sio kweli mkuu. Kuna siku nitawaletea story ya Jamaa alie fungua KK Guard hapa Tanzania ukisoma utashangaa mno na ndo utaamini hatuwazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwezekana ipost humu humu kwenye uzi huuHahahaa sio kweli mkuu. Kuna siku nitawaletea story ya Jamaa alie fungua KK Guard hapa Tanzania ukisoma utashangaa mno na ndo utaamini hatuwazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafashari hiyo story ya huyo mzungu tunaihitaji bro pleaseKuna Siku nilikuwa naelezewa Mzungu alie anzisha kampun ya KK Guard hapa Bongo kwa kweli nilikosa raha karibia wiki nzima.
Kwa kifupi sio mazingira wala elimu. watu nazani sijui tumerogwa
Sent using Jamii Forums mobile app