Tatizo ujasiri wa jaji Warioba huonekana pale tu kwenye tawala zenye uhuru wa kujieleza

Tatizo ujasiri wa jaji Warioba huonekana pale tu kwenye tawala zenye uhuru wa kujieleza

Hata kwa magu angeweza kukemea tu
Sio angeweza alimkosoa sana tu. Watu huwa wana tabia ya kusahau

Mimi nadhani mtu kama warioba kwa umri alionao wala hata haihitaji kupambana nae. Ni kuacha aseme tu yale anayotaka basi
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Tusipokuwa makini kuna wengi watakuja kutupotosha kwenye siasa za nchi hii. Huyu mzee hajawahi kuacha kukosoa pale inapobidi.
Mfuatiloe hasa kwenye kipind cha dk 45 cha ITV
 
Mbona Warioba kakosoa uchaguzi huu kwa kufanya reference ya uchaguzi wa 2019 wakati Magufuli akiwa Rais?

Mbona kipindi cha Magufuli Warioba alimsema sana Magufuli? Au ulizima mitandao uliacha kufuatilia?
Chawa wa mboga mboga hawatumiagi akili na kumbukumbu zao pia haziko vizurii
 
Jaji Warioba is a gentleman hana papara.
Mwanasheria Mkuu enzi za Mwalimu Nyerere,Kafanya kazi kubwa kwenye IMO(International Maritime Organization)
Akiwa Waziri Mkuu wakati wa Mzee Ruksa, hakuvuma sababu hajaona haja ya kutumia misuri badala ya bongo.
Na ndio wakati vyama vingi viliruhusiwa,Uhuru wa vyombo vya habari ulistawi.
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
ni muhimu sana ikafahamika wazi kwamba huyu Mzee ambae tunamuheshimu sana sio jaji,

hilo jina la ujaji ni a.k.a tu alipewa huko mtaani but he is not by professional.

Jambo jingine muhimu ni la wazi kabisa Mzee huyu anapojaribu kulionyesha wazi ni chuki dhidi ya utawala huu wa Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.

Haijulikani kwanini hasa huyu Mzee anamchukia sana Dr.Samia Suluhu Hassan. Kwani Kipi si alipewa ukuu wa wilaya, sasa anataka nini cha ziada huyu Mzee?

mie nadhan,
kwa heshma tu,
huyu Mzee apuuzwe ili asipate mawenge zaidi na kumbwelambwela kwenye vyombo vya habari na mitandaoni dhidi ya serikali iliyopo kazini 🐒
We
ni muhimu sana ikafahamika wazi kwamba huyu Mzee ambae tunamuheshimu sana sio jaji,

hilo jina la ujaji ni a.k.a tu alipewa huko mtaani but he is not by professional.

Jambo jingine muhimu ni la wazi kabisa Mzee huyu anapojaribu kulionyesha wazi ni chuki dhidi ya utawala huu wa Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.

Haijulikani kwanini hasa huyu Mzee anamchukia sana Dr.Samia Suluhu Hassan. Kwani Kipi si alipewa ukuu wa wilaya, sasa anataka nini cha ziada huyu Mzee?

mie nadhan,
kwa heshma tu,
huyu Mzee apuuzwe ili asipate mawenge zaidi na kumbwelambwela kwenye vyombo vya habari na mitandaoni dhidi ya serikali iliyopo kazini 🐒
Mbona unakuwa muongo....wakina kikwete wasinge muita tume ya jaji warioba....mtu kawa mwanasheria mkuu wa serikali, mkurugenzi wa mashtaka, makamu wa rais na waziri mkuu.....sembuse ujaji?? Anashidwa vipi kuwa jaji?? Kasoma sheria kwa muda mrefu sana... hakuna msomi wa maana kwa kizazi chake anamzidi warioba
 
ni muhimu sana ikafahamika wazi kwamba huyu Mzee ambae tunamuheshimu sana sio jaji,

hilo jina la ujaji ni a.k.a tu alipewa huko mtaani but he is not by professional.

Jambo jingine muhimu ni la wazi kabisa Mzee huyu anapojaribu kulionyesha wazi ni chuki dhidi ya utawala huu wa Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.

Haijulikani kwanini hasa huyu Mzee anamchukia sana Dr.Samia Suluhu Hassan. Kwani Kipi si alipewa ukuu wa wilaya, sasa anataka nini cha ziada huyu Mzee?

mie nadhan,
kwa heshma tu,
huyu Mzee apuuzwe ili asipate mawenge zaidi na kumbwelambwela kwenye vyombo vya habari na mitandaoni dhidi ya serikali iliyopo kazini 🐒
Haya Maneno yanatoka kwako??
Ni Kweli Hujui Jaji waryoba kwanini anaitwa Jaji?

Mzee waryoba sio jaji by Proffesional na Amewahi kuwa Mwanasheria Mkuu Wa serikali?
Ni kweli Hujui Waryoba alikuwa judge lini???

Ngoja Nikusaidie..

Following his tenure as prime minister, he served as a judge on
the Hamburg, Germany-based International Tribunal for the
Law of the Sea from 1996 to 1999. Furthermore, in 1996,
President Benjamin Mkapa appointed him as chairman of the
Presidential Commission Against Government Corruption,

better known as the Warioba Commission..

Hayo sio maneno Yangu Ni maneno kutoka Ofisi Ya VP (vice President)
unaweza ukaenda Kuyaangalia..
Screenshot_20241207_151533_Chrome.jpg

Screenshot_20241207_151547_Chrome.jpg
 
We

Mbona unakuwa muongo....wakina kikwete wasinge muita tume ya jaji warioba....mtu kawa mwanasheria mkuu wa serikali, mkurugenzi wa mashtaka, makamu wa rais na waziri mkuu.....sembuse ujaji?? Anashidwa vipi kuwa jaji?? Kasoma sheria kwa muda mrefu sana... hakuna msomi wa maana kwa kizazi chake anamzidi warioba
Amewahi kuwa Jaji..

he served as a judge on the Hamburg, Germany-based International Tribunal for the Law of the Sea from 1996 to 1999. Furthermore, in 1996,
President Benjamin Mkapa appointed him as chairman of the
Presidential Commission Against Government Corruption,
better known as the Warioba Commission
 
Kwa wote wanaul8za Kuhus Waryoba Kuwa Judge..

Warioba served as a judge on the Hamburg, Germany-based International Tribunal for the Law of the Sea from 1996 to 1999.
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika hatamu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Warioba ni jasiri muda wote, hukumbuki vile Makonda alivyomkaba anataka kumpiga, si ilikuwa wakati wa dikteta Magu? Na sasa hata katika hatari za kutekwa na kupetezwa kunakofanywa na machawa wa mama bado anaongea ukweli.
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika hatamu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Bora warioba anathubutu hata kuongea kwenye uhuru wa kuongea, na vipi wale machawa wanaoufyata mkia hata kukosoa kidogo wanaogopa, kutwa kusifia sifia tu, hujaona tatizo hapo mkuu?
 
Back
Top Bottom