Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Sio angeweza alimkosoa sana tu. Watu huwa wana tabia ya kusahauHata kwa magu angeweza kukemea tu
Huwa anaanza kuandika ujingaujinga wake kwa friends and foes!Jamaa atakuwa mjinga sana.Hujui Dunia
Hajui DuniaHuwa anaanza kuandika ujingaujinga wake kwa friends and foes!Jamaa atakuwa mjinga sana.
Tusipokuwa makini kuna wengi watakuja kutupotosha kwenye siasa za nchi hii. Huyu mzee hajawahi kuacha kukosoa pale inapobidi.Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.
Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...
Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.
Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.
JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?
Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.
Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.
Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?
Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Chawa wa mboga mboga hawatumiagi akili na kumbukumbu zao pia haziko vizuriiMbona Warioba kakosoa uchaguzi huu kwa kufanya reference ya uchaguzi wa 2019 wakati Magufuli akiwa Rais?
Mbona kipindi cha Magufuli Warioba alimsema sana Magufuli? Au ulizima mitandao uliacha kufuatilia?
Wote watajiweka hadharani na hao ndio maadui wa watanzania.Wewe ni namba ngapi kwenye Orodha ya kumjibu Warioba?
Cha kushangaza wote ni watu duni kabisa!Wote watajiweka hadharani na hao ndio maadui wa watanzania.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.
Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...
Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.
Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.
JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?
Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.
Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.
Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?
Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Jaji Warioba ndiye aliumba Bakwata 😂😂😂Pengine wewe Ni mgeni wa Jaji waryoba..
Pitia Hizi speach Kipindi Cha magufuli ...
View: https://youtu.be/twq-EZg11mA?si=wlGhXE92NTazzJnW
View: https://youtu.be/jEgd3irfAkE?si=MxqufKtNTXeBsCF6
View: https://youtu.be/sm9VEaznd7A?si=FSryXAbHb5sQ4I8I
View: https://www.youtube.com/live/G2W1tiDT5Zg?si=t_28J2oSndMGOT5x
Na Ndo aliyeleta Shida mpaka leo 🤣🤣🤣🤣Jaji Warioba ndiye aliumba Bakwata 😂😂😂
Hapo ndipo ulipo ugomvi wa Jaji Warioba na The Big Show🐼
Weni muhimu sana ikafahamika wazi kwamba huyu Mzee ambae tunamuheshimu sana sio jaji,
hilo jina la ujaji ni a.k.a tu alipewa huko mtaani but he is not by professional.
Jambo jingine muhimu ni la wazi kabisa Mzee huyu anapojaribu kulionyesha wazi ni chuki dhidi ya utawala huu wa Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.
Haijulikani kwanini hasa huyu Mzee anamchukia sana Dr.Samia Suluhu Hassan. Kwani Kipi si alipewa ukuu wa wilaya, sasa anataka nini cha ziada huyu Mzee?
mie nadhan,
kwa heshma tu,
huyu Mzee apuuzwe ili asipate mawenge zaidi na kumbwelambwela kwenye vyombo vya habari na mitandaoni dhidi ya serikali iliyopo kazini 🐒
Mbona unakuwa muongo....wakina kikwete wasinge muita tume ya jaji warioba....mtu kawa mwanasheria mkuu wa serikali, mkurugenzi wa mashtaka, makamu wa rais na waziri mkuu.....sembuse ujaji?? Anashidwa vipi kuwa jaji?? Kasoma sheria kwa muda mrefu sana... hakuna msomi wa maana kwa kizazi chake anamzidi wariobani muhimu sana ikafahamika wazi kwamba huyu Mzee ambae tunamuheshimu sana sio jaji,
hilo jina la ujaji ni a.k.a tu alipewa huko mtaani but he is not by professional.
Jambo jingine muhimu ni la wazi kabisa Mzee huyu anapojaribu kulionyesha wazi ni chuki dhidi ya utawala huu wa Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.
Haijulikani kwanini hasa huyu Mzee anamchukia sana Dr.Samia Suluhu Hassan. Kwani Kipi si alipewa ukuu wa wilaya, sasa anataka nini cha ziada huyu Mzee?
mie nadhan,
kwa heshma tu,
huyu Mzee apuuzwe ili asipate mawenge zaidi na kumbwelambwela kwenye vyombo vya habari na mitandaoni dhidi ya serikali iliyopo kazini 🐒
Haya Maneno yanatoka kwako??ni muhimu sana ikafahamika wazi kwamba huyu Mzee ambae tunamuheshimu sana sio jaji,
hilo jina la ujaji ni a.k.a tu alipewa huko mtaani but he is not by professional.
Jambo jingine muhimu ni la wazi kabisa Mzee huyu anapojaribu kulionyesha wazi ni chuki dhidi ya utawala huu wa Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.
Haijulikani kwanini hasa huyu Mzee anamchukia sana Dr.Samia Suluhu Hassan. Kwani Kipi si alipewa ukuu wa wilaya, sasa anataka nini cha ziada huyu Mzee?
mie nadhan,
kwa heshma tu,
huyu Mzee apuuzwe ili asipate mawenge zaidi na kumbwelambwela kwenye vyombo vya habari na mitandaoni dhidi ya serikali iliyopo kazini 🐒
Amewahi kuwa Jaji..We
Mbona unakuwa muongo....wakina kikwete wasinge muita tume ya jaji warioba....mtu kawa mwanasheria mkuu wa serikali, mkurugenzi wa mashtaka, makamu wa rais na waziri mkuu.....sembuse ujaji?? Anashidwa vipi kuwa jaji?? Kasoma sheria kwa muda mrefu sana... hakuna msomi wa maana kwa kizazi chake anamzidi warioba
Na Ndo aliyeleta Shida mpaka leo 🤣🤣🤣🤣
WARIOBA hajiamini,ni mpiga ramli kama wapiga ramli wengine tuhJaji Warioba ndiye aliumba Bakwata 😂😂😂
Hapo ndipo ulipo ugomvi wa Jaji Warioba na The Big Show🐼
Warioba ni jasiri muda wote, hukumbuki vile Makonda alivyomkaba anataka kumpiga, si ilikuwa wakati wa dikteta Magu? Na sasa hata katika hatari za kutekwa na kupetezwa kunakofanywa na machawa wa mama bado anaongea ukweli.Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.
Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...
Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.
Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika hatamu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.
JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?
Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.
Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.
Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?
Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Bora warioba anathubutu hata kuongea kwenye uhuru wa kuongea, na vipi wale machawa wanaoufyata mkia hata kukosoa kidogo wanaogopa, kutwa kusifia sifia tu, hujaona tatizo hapo mkuu?Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.
Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...
Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.
Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika hatamu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.
JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?
Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.
Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.
Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?
Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Uhuru wa kujieleza na demokrasia uko kwa chawa pekee.Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.