Hello JFs...mimi ni member mzuri wa toshiba laptop...sasa nina toshiba yangu sattelite ina tatizo inaboot lakini screen haioneshi kitu, nimebadili ram..wapi.....haioneshi kitu....ninazo kama 3 hivi wit same tatizo......msaada nini cha kufanya....angalizo kuwaka inawaka but ddnt display anything.......hata ukiunganisha na monitor ya nje....