Tatu bora na Tatu chafu za majina ya kike

Tatu bora na Tatu chafu za majina ya kike

Apo kwa aish uongo
ila Kuna majina Kama khailat ,christina,Dianah.naskia nao hatal kwakukitoa nimtihani
 
Yes...

Hili jina ngumu kukuta dish imeyumba. Hata kama ukiwakuta wanafanya kazi za barmaid, hata kujiuza ila wana utu fln hv na kujali.
Aisee sijui Kuna Siri Gani na haya majina, juzi nilikuwa cafeteria nakula then nikamuona mdada hivi mzuri kweli, nikajisemea kuwa siwezi kumuacha huyu bint aende zake bila kumuongelesha, kweli alivyoinuka na kuondoka nikamsimamisha na kuanza kuongea nae. Baada ya kumpigisha story nikamuuliza unaitwa nani, akanijibu mariamu, basi bhana nikaomba namba ya simu, baada ya hapo tukawa tunachat Kwa simu, sometimes nampigia.
Kwenye kuchat Yuko active sana lakini nikimuuliza kama line yake inapokea pesa huwa hajibu chochote ila muda huohuo nikimuuliza mambo mengine anajibu. Sasa nikawa najiuliza uyu bint hapendi pesa au ananitega. Nimemuuliza kama mara tatu hivi kuhusu kumtumia pesa lakini hajibu kitu.
 
Ni mtazamo hasi ni mtazamo chanya.
Yote kwa yote ni burudani unatoa.
Tabia ya mtu haifanani na jina.
Usijaribu kukariri maisha.



🍁.........kush master..........🍁
 
LMAO....

Walikufanya nini aisee
Amina wametulia sana hii ni kweli Ila kitu kimoja usichokijua siku Amina akifyatuka ndio utajua haujui, mambo yao mengi huyafanya underground pasina mtu mwingine kujua yaan sio watu wa kujionyesha onyesha kwa watu km wanawake wengine, unaweza kuta Amina ana bonge la bungalow heaters & a/c za kutosha Ila maisha anayoishi km yupo kwenye kichuguu
 
Amina wametulia sana hii ni kweli Ila kitu kimoja usichokijua siku Amina akifyatuka ndio utajua haujui, mambo yao mengi huyafanya underground pasina mtu mwingine kujua yaan sio watu wa kujionyesha onyesha kwa watu km wanawake wengine, unaweza kuta Amina ana bonge la bungalow heaters & a/c za kutosha Ila maisha anayoishi km yupo kwenye kichuguu
Generally wako vzr
 
Back
Top Bottom