MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
akina "Zuuh"
Weka mbali na watoto.
Weka mbali na watoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee sijui Kuna Siri Gani na haya majina, juzi nilikuwa cafeteria nakula then nikamuona mdada hivi mzuri kweli, nikajisemea kuwa siwezi kumuacha huyu bint aende zake bila kumuongelesha, kweli alivyoinuka na kuondoka nikamsimamisha na kuanza kuongea nae. Baada ya kumpigisha story nikamuuliza unaitwa nani, akanijibu mariamu, basi bhana nikaomba namba ya simu, baada ya hapo tukawa tunachat Kwa simu, sometimes nampigia.Yes...
Hili jina ngumu kukuta dish imeyumba. Hata kama ukiwakuta wanafanya kazi za barmaid, hata kujiuza ila wana utu fln hv na kujali.
🤣🤣Mwantum
namba chafu hiyo
Lipi sasa litajeLangu 😀😀😀
Siri yanguLipi sasa litaje
MwashabaniMwabaya
Mwanaidi
Sawa msiri kaliSiri yangu
😀😀😀😀ndio ndioSawa msiri kali
😉 lala😀😀😀😀ndio ndio
Sina usingizi 😀😀😉 lala
Mchokoze mwenzio 😅Sina usingizi 😀😀
Amina wametulia sana hii ni kweli Ila kitu kimoja usichokijua siku Amina akifyatuka ndio utajua haujui, mambo yao mengi huyafanya underground pasina mtu mwingine kujua yaan sio watu wa kujionyesha onyesha kwa watu km wanawake wengine, unaweza kuta Amina ana bonge la bungalow heaters & a/c za kutosha Ila maisha anayoishi km yupo kwenye kichuguuLMAO....
Walikufanya nini aisee
Kaya man aiya & ai man ?Ni mtazamo hasi ni mtazamo chanya.
Yote kwa yote ni burudani unatoa.
Tabia ya mtu haifanani na jina.
Usijaribu kukariri maisha.
🍁.........kush master..........🍁
Generally wako vzrAmina wametulia sana hii ni kweli Ila kitu kimoja usichokijua siku Amina akifyatuka ndio utajua haujui, mambo yao mengi huyafanya underground pasina mtu mwingine kujua yaan sio watu wa kujionyesha onyesha kwa watu km wanawake wengine, unaweza kuta Amina ana bonge la bungalow heaters & a/c za kutosha Ila maisha anayoishi km yupo kwenye kichuguu