Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmfinyeWafinyane au sio
Mwamtum Mahiza haeleweki jina halihusiani na mtu. Wakina Emmanuel wote wapo km Yesu?Ndio hivi vimajina ninavyoongelea, jina halieleweki na mtu mwenyewe anakua haeleweki
Me mzima sijui wewe....Mwantum mzima? Kumekucha salama huko?
Hahahaaa
huijui kazi ya Hadija weweMwantum
namba chafu hiyo
Naunga mkono hoja.Amina hapa umetupiga kitu kizito. Hawa hamnazo kabisa
MkuuMariamu[emoji3531]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee sijui Kuna Siri Gani na haya majina, juzi nilikuwa cafeteria nakula then nikamuona mdada hivi mzuri kweli, nikajisemea kuwa siwezi kumuacha huyu bint aende zake bila kumuongelesha, kweli alivyoinuka na kuondoka nikamsimamisha na kuanza kuongea nae. Baada ya kumpigisha story nikamuuliza unaitwa nani, akanijibu mariamu, basi bhana nikaomba namba ya simu, baada ya hapo tukawa tunachat Kwa simu, sometimes nampigia.
Kwenye kuchat Yuko active sana lakini nikimuuliza kama line yake inapokea pesa huwa hajibu chochote ila muda huohuo nikimuuliza mambo mengine anajibu. Sasa nikawa najiuliza uyu bint hapendi pesa au ananitega. Nimemuuliza kama mara tatu hivi kuhusu kumtumia pesa lakini hajibu kitu.