johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kamati kuu ya CCM inaketi leo kupitia majina matano ya wagombea urais wa Zanzibar na hatimaye kupitisha majina matatu yatakayokwenda kupigiwa kura.
Up dates;
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Magufuli akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020
Maendeleo hayana vyama!
UPDATES:
Tatu bora pamoja na mshindi wa kinyang'anyiro cha Ugombea Urais Zanzibar ajulikana leo Zanzibar, kujua namna mchakato ulivyoenda soma mada hii chini.
= > Breaking News: - Uchaguzi 2020: Yaliyojiri katika mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM. Dkt. Hussein Ally Mwinyi ateuliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM
Up dates;
Maendeleo hayana vyama!
UPDATES:
Tatu bora pamoja na mshindi wa kinyang'anyiro cha Ugombea Urais Zanzibar ajulikana leo Zanzibar, kujua namna mchakato ulivyoenda soma mada hii chini.
= > Breaking News: - Uchaguzi 2020: Yaliyojiri katika mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM. Dkt. Hussein Ally Mwinyi ateuliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM