Zanzibar 2020 Tatu bora urais Zanzibar kujulikana leo

Zanzibar 2020 Tatu bora urais Zanzibar kujulikana leo

Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli katika kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020 Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg @MagufuliJP akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Hall Jijini Dodoma.
IMG-20200709-WA0203.jpg
IMG-20200709-WA0204.jpg
IMG-20200709-WA0206.jpg
 
Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020 Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg @MagufuliJP akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Hall Jijini Dodoma. View attachment 1501912View attachment 1501913View attachment 1501914


Miss use of public fund,
 
Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli katika kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020 Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg @MagufuliJP akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Hall Jijini Dodoma. View attachment 1501912View attachment 1501913View attachment 1501914
Huyo dada mrembo karibu na khatibu ni nani?? Sababu hao waliokaa hapa ndo ccm sasa.
 
Kumekucha Sasa Hivi Dodoma
Wapo Watakaolia Na Kufurahi Haraka, Tupo Hapa Dodoma Kuona Upepo Utakavyokuwa!!!
Unaliaje kwa mfano...! Yaani unadhani atakayepata nafasi ataiangamiza Zanzibar 'majini' kwamba wewe ungeinyanyua zaidi juu ya maji? Ukiona analia kukosa nafasi kwa vyovyote vile huyo hakuwa na nia njema na Zanzibar. Na hii kwa wagombea wote watakaoshiriki uchaguzi wa mwaka huu...si Tanzania Bara si Tanzania Visiwani(Zanzibar)...ukikosa nafasi ya kuteuliwa kugombea ama ukapata nafasi ya kugombea ukashindwa hapo hapo ukaanza kulia 'kuna' sababu kubwa ya kukufanyia uchunguzi wa kina kujua ulikuwa na nia gani ovu! Kanuni mpya hii!
 
Nyuzi zote zinazohusu CCM NA UCHAGUZI 2020 NAONA ZINAONDOLEWA JUKWAA LA SIASA NA KUZIFICHA ZISIONEKANE

HUU MCHEZO ULIANZA TOKA RAISI MAGUFULI ALIPOCHUKUA FOMU ZIKIWEKWA JUKWAA LA SIASA MBIO MBIO ZINATOLEWA NA KUFICHWA HUTAZIONA JUKWAA LA SIASA NA KUZIONA ZILIKO SHUGHULI KULIKONI? HATA HUU UZI UMETOLEWA MBIO MBIO KUFICHWA
 
Nyuzi zote zinazohusu CCM NA UCHAGUZI 2020 NAONA ZINAONDOLEWA JUKWAA LA SIASA NA KUZIFICHA ZISIONEKANE

HUU MCHEZO ULIANZA TOKA RAISI MAGUFULI ALIPOCHUKUA FOMU ZIKIWEKWA JUKWAA LA SIASA MBIO MBIO ZINATOLEWA NA KUFICHWA HUTAZIONA JUKWAA LA SIASA NA KUZIONA ZILIKO SHUGHULI KULIKONI? HATA HUU UZI UMETOLEWA MBIO MBIO KUFICHWA
Mkuu mbona kama bado uzi upo jukwaa la Siasa. Na jukwaa hili huwa na sub-jukwaa la Uchaguzi.
 
Bashiru anavyojnyenyekeza, kama mtoto wa chekecheka! this is shame! mtu mzima na watoto unakuwa kama housegirl kwa tajiri wake!
 
Mkuu mbona kama bado uzi upo jukwaa la Siasa. Na jukwaa hili huwa na sub-jukwaa la Uchaguzi.
Za wagombea CHADEMA zinakaa jukwaa la siasa za CCM zinahamishimiwa subforum!!! Hata za Akina nabii shila kugombea kupitia chadema ni Jukwaa la SIASA za CCM NI SUBFORUM!!!!

Ila sio zote za CCM ziko subforum kule zinapelekwa zikae kidogo tu halafu zinapotezewa for good na hii inapumulia mashine itayeyushwa lakini za CHadema utaendelea kuziona jukwaa kuu la siasa sio subforum
 
Za wagombea CHADEMA zinakaa jukwaa la siasa za CCM zinahamishimiwa subforum!!! Hata za Akina nabii shila kugombea kupitia chadema ni Jukwaa la SIASA za CCM NI SUBFORUM!!!!

Ila sio zote za CCM ziko subforum kule zinapelekwa zikae kidogo tu halafu zinapotezewa for good na hii inapumulia mashine itayeyushwa lakini za CHadema utaendelea kuziona jukwaa kuu la siasa sio subforum
Yaan humu kuna mambo ya ajabu kweli.... Nilishaacha kushusha nondo zangu humu.... Nimebaki kuangalia tu.... Sasa mtu unaandika vitu.... Afu mtu anakuja kushape na editing za hovyohovyo hapa... Siwezi andika jambo la maana
 
Hivi kwa nini wasingepitisha wote watano ili kupambana na Maalim Seif ili baadae wachanganye kura za wote na kumpa mmoja dhidi ya Seif?
Safari hii Seif ataondoka na roho ya Jecha mpya, maana Zenji ni kama mbwai na iwe mbwai
 
Back
Top Bottom