Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatu bora zangu miye ni:
1. Professor Makame Mbarawa
2. Dr. Hussein Mwinyi
3. Pereira Silima
Nimesikia na Mbarawa nae ana kashfa huku Tz B..Kazi aliyofanya Dr Khalid hii
https://zanzibardaily.com/f/uozo-fedha-za-zssf-zinavyoliwa-bila-kujali-maisha-ya-wazanzibari
Wewe Kama Nani?Tatu bora zangu miye ni:
1. Professor Makame Mbarawa
2. Dr. Hussein Mwinyi
3. Pereira Silima
Rais wa Znz ni Shamsi Vuai...Makame washamkata tayari...tatu bora ni"SISI" Tunamtaka huyuhuyu Mpemba .ππππ
Rais wa Znz ni Shamsi Vuai...Makame washamkata tayari...tatu bora niMakameeee kila la kheri, see you on top..!!
Kwa nini wamkate wakati ndo chaguo la mzee babaRais wa Znz ni Shamsi Vuai...Makame washamkata tayari...tatu bora ni
1-Shamsi Nahodha
2-Dr Mwinyi Hussein
3-Dr Khalid
Hujui kama ni koloni hilo.Raisi wa Zanzibar akapitishwe nchi ya Tanganyika? Usenge wa mwisho
Zanzibar sio Nchi Mkuu...Wazanzibari nawaone huruma sn yani rais wao lazima watafutiwe na wabaraπππππππππππππππππ
Ng'ombe kabisa hawa jamaa
Hahaaaa....Zanzibar sio Nchi Mkuu...
Ndio mana tunasema ccm tunakubalika tutatawala mileleSaalam wanabodi
CCM inaenda mpitisha mgombea wao wa urais wa Jamhuri yetu.
Fomu ilitoka moja tu ya mgombea, kwa tendo hili linatafsiri kuwa huyo tayari ndiye mgombea wao na vyama vingine.
Kuna sababu gani ya kumpitisha kwa vikao vikubwa vya kutumia gharama kubwa?
JE WAPO WANAOWEZA KUMPINGA? (Kutompitisha)
IKITOKEA WENGI HAWAKUMPITISHA NINI KITAFANYIKA ?
Karibuni
Yaani Zanzibar wanachaguliwa raisi wao na Watanganyika
We umemsikia Magu kama huyo Makame ndo chaguo lake? By the way, anaweza kuwa chaguo la mzee lakini sio chaguo la wazanzibariKwa nini wamkate wakati ndo chaguo la mzee baba
Hamna kitu story za vichochoroni. MBARAWA NDO CHAGUORais wa Znz ni Shamsi Vuai...Makame washamkata tayari...tatu bora ni
1-Shamsi Nahodha
2-Dr Mwinyi Hussein
3-Dr Khalid
Hamna kitu story za vichochoroni. MBARAWA NDO CHAGUO