Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatu bora
1.pereira silima
2.khamisi musa
3.........sio makame wala mwinyi!!!yule mwingine nimemsahau!!!!msaada tafadhali!!!
Dr Khalid Salum MohammedMzee mwinyi mkapa kikwete wanamtaka mwinyi mtoto na Magufuli anamtaka Mbawala sasa kimbembe usije kushangaa kura za hasira wakampa Nahodha asiye na kambi yeyote
Prof makame
Dr mwinyi
Dr khalid
.Naota
Ebooo! Hivi hujui tunachojadili hapa???😂😂🤨🤨Wapi ikulu au bungeni?
Dr. Mwinyi au Dr. Khalid?Watu kitu ambacho hawakijui kamati kuu ya ccm imajaa magwiji wa kutoa maamuzi magumu haijalishi mwenyekiti umekuja na mapendekezo yako wanayawekafukoni wanakupa chaguo lenye maslai mapana ya nchi ,narudia hili hakuna mwenyekiti wa ccm aliyepewa pendekezo lake la mtu kuwa Rais wa znz au mama Tz...Dr kesho anapewa presidential security
Dr mzanzibara maana huyu wakwetu,Dr mzanzibari hatumjui atasumbua huyuDr. Mwinyi au Dr. Khalid?
lete vitu basi!Tayariiiiiii
Magamba bana yaani nchi imo uchumi wa chini Kati yenyewe yanashangilia,Kamati kuu ya CCM inaketi leo kupitia majina matano ya wagombea urais wa Zanzibar na hatimaye kupitisha majina matatu yatakayokwenda kupigiwa kura.
Up dates;
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Magufuli akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020
Maendeleo hayana vyama!
Kama nilivyotabiri kwenye list yangu ndivyo ilivyokuwa Nasikia leo majina matatu yametajwa Kama ifuatavyoKhalid
Nahodha
Mbarawa
Husein
Khamis
-------------*----------*-----------*******------
Husein
Khalid
Nahodha
----------*---------*--------*--------*--+---*
Khalid
Nahodha
****----------********-------*****+--------
Ramli inaonyesha Dr Khalid ndio rais wa Zanzibar...
Unakaribishwa kuuliza kwani iko hivyo
acha ndoto mkuu amka ufanye kazi kujenga uchumi wa kati.Prof makame
Dr mwinyi
Dr khalid
.Naota
Mzukulu umechemka pole sana inabidi ukamrudishie chenji mzee mbarawa maana ulimnadi sana☺☺☺Isles next President is Professor Makame Mbarawa Mnyaa.
Narudia, Dr. Kiboko ya MaalimDr kiboko ya Maalim
Kura hazikutosha mkuuHahahaha, tumeota wote ..na
Dr Khalid Salum Mohammed ndio YeYe
DR HUSEIN NDO MPANGO MZIMA, MOSHI MWEUPE UMESHA FUKAKura hazikutosha mkuu
Mzukulu umechemka pole sana inabidi ukamrudishie chenji mzee mbarawa maana ulimnadi sana☺☺☺
Dah sio zaliKura hazikutosha mkuu
Tutampigania huyo huyo mkuuDR HUSEIN NDO MPANGO MZIMA, MOSHI MWEUPE UMESHA FUKA