Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Kama ni koloni uchaguzi una maana gani ?Hujui kama ni koloni hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni koloni uchaguzi una maana gani ?Hujui kama ni koloni hilo.
KizugioKama ni koloni uchaguzi una maana gani ?
Aisee ...sikulijua hili. Hata hivyo, ngoja niendelee kufuatilia mwenendo.Za wagombea CHADEMA zinakaa jukwaa la siasa za CCM zinahamishimiwa subforum!!! Hata za Akina nabii shila kugombea kupitia chadema ni Jukwaa la SIASA za CCM NI SUBFORUM!!!!
Ila sio zote za CCM ziko subforum kule zinapelekwa zikae kidogo tu halafu zinapotezewa for good na hii inapumulia mashine itayeyushwa lakini za CHadema utaendelea kuziona jukwaa kuu la siasa sio subforum
Wana mzuga nani ?Kizugio
WazanzibarWana mzuga nani ?
KARIBU MBARAWA PROFNilisema hapo juu, mtakayempamba sana atakatwa asubuhi na mapema.
Wapi Makame.?
Uongo hakuna popote ilipotangazwa tatu bora.KARIBU MBARAWA PROF
Ni kweli ila mimi namkaribisha. Prof Makame MbarawaUongo hakuna popote ilipotangazwa tatu bora.
Wapi ikulu au bungeni?Ni kweli ila mimi namkaribisha. Prof Makame Mbarawa
Mbona rushawajua tayari!Zaznzibar tunaenda na jecha.
Rushawajua= nini!?Mbona rushawajua tayari!
Wazanzibar
Na katika hilo bro.. thats why nawaheshimu ndugu zangu wa z'bar kuliko kitu chochoteMimi naona hamna kuzuga isipokuwa ni nafasi ya mafia kula pesa hapo , Wazanzibari si rahisi kuzugwa kwa haya madhila tunayoyapata toka mavamizi ya 1964
Narudia kuwaambia tena mtapiga lamli bubu hapa mpaka mchanganyikiwe..... Kama mtaendelea kufuta threads za makada.... Na kuacha za Wapingaji hovyo.... Basi mambo nyeti kujua mtabidi msubili.... Ona sasa mnavyosumbuka.... Majina yameshajulikana ila sasa.... Nani awaambie wakati mnafuta nyuzi?Tatu bora
1.pereira silima
2.khamisi musa
3.........sio makame wala mwinyi!!!yule mwingine nimemsahau!!!!msaada tafadhali!!!
Nimeona nguvu ya act ilivyokubwa huko .. nilifurahi hadi machozi...Mimi naona hamna kuzuga isipokuwa ni nafasi ya mafia kula pesa hapo , Wazanzibari si rahisi kuzugwa kwa haya madhila tunayoyapata toka mavamizi ya 1964
Nimeona nguvu ya act ilivyokubwa huko .. nilifurahi hadi machozi...
Sasa huku kwetu washenzi wanaunga mkono upumbavu.
Bro siku sote tutakuwa salama InshaAlaah..Wataamka , watu wameanza kuchoka
Kamati kuu ya CCM inaketi leo kupitia majina matano ya wagombea urais wa Zanzibar na hatimaye kupitisha majina matatu yatakayokwenda kupigiwa kura.
Up dates;
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Magufuli akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020
Maendeleo hayana vyama!