Zanzibar 2020 Tatu bora urais Zanzibar kujulikana leo

Zanzibar 2020 Tatu bora urais Zanzibar kujulikana leo

Khalid
Nahodha
Mbarawa
Husein
Khamis

-------------*----------*-----------*******------
Husein
Khalid
Nahodha

----------*---------*--------*--------*--+---*
Khalid
Nahodha
****----------********-------*****+--------
Ramli inaonyesha Dr Khalid ndio rais wa Zanzibar...

Unakaribishwa kuuliza kwani iko hivyo
 
Kwa sababu mimi sio mwanachama wa Chama hicho itakuwa vigumu kukujibu.

Ila logic ni Makao makuu ya CCM yako Dodoma na ndio wanapofanya mkutano mkuu wa kuchagua wanachama watakaogombea nafasi mbalimbali ikiwemo Urais.

Labda kwa baadae CCM ingegawanywa CCM Znz ingepewa nguvu zaidi kuliko ilivyo sasa.

Lakini hili suala ni la miaka mingi halijaanzia kwa JPM.
Kawatungia nani usenge huo? Hawajashituka tu kuwa wanabadharuliwa kukubwa?

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Na ww ni moderator?... Tuambie kwamba hilo jukwaaa ni la threads za chadema tu... Za kupingapinga kila kitu hovyohovyo tuaelewana... Sio jukwaa lenye mawazo huru.. Hapo tutelewa.... Sio threads za chadema ndio zinaexist but za chama tawala zinafutwa kwa kasi....

Ulishaona wapi mtu akahariri contents badala ya kuhariri utaalamu wa lugha.... Mtu unaedit hadi headings.... Badala ya typing error.... Basi endelea kuandika utupolo wenu hapa.... Ila vitu vya maana mtachelewa kuvipata... Hakika nawaambieni leo.... Niosheni matusi tu but watu wanakwazika sana
 
Na ww ni moderator?... Tuambie kwamba hilo jukwaaa ni la threads za chadema tu... Za kupingapinga kila kitu hovyohovyo tuaelewana... Sio jukwaa lenye mawazo huru.. Hapo tutelewa.... Sio threads za chadema ndio zinaexist but za chama tawala zinafutwa kwa kasi....

Ulishaona wapi mtu akahariri contents badala ya kuhariri utaalamu wa lugha.... Mtu unaedit hadi headings.... Badala ya typing error.... Basi endelea kuandika utupolo wenu hapa.... Ila vitu vya maana mtachelewa kuvipata... Hakika nawaambieni leo.... Niosheni matusi tu but watu wanakwazika sana
Kwani kimetokea nini,Mkuu??hebu niweke wazi kosa langu liko Wapi?

Si unajua tuko hapa kwa kuelimishana na kutoana wakosa sio kulaumiana..

Mkuu mimi sio mdau wa chama chochote cha siasa,.. yoyote atakae chukua nchi kwangu poa tu..
 
Mbarawa eeeeeeeee
Tunakungoja kwa hamu ili tukuchinjie baharini kama tulivyomfanya Dr.Shein 2015.
CCM itakufia Mikononi mwako mwaka huu Zanzibar.
Karibu Makamo wa kwanza wa Raisi mtarajiwa katika serikali ya Umoja wa kitaifa.
Wenzako tulitarajia wabadili sheria ili kukupa angalau mamlaka fulani utakapo kuwa Makamo wa kwanza,
Lakini kwa bahati mbaya hawakufanya hivyo, na kwa maana hiyo utakuwa Makamo kivuli usiye na meno kama walivyotufanyia sisi 2010-2015.
KARIBU SANA UNGUJA.
Naomba ukija Unguja njoo na ile barua ya SMZ waliyotaka ufukuzwe chuo kule AUSTRALIA
 
Mbarawa eeeeeeeee
Tunakungoja kwa hamu ili tukuchinjie baharini kama tulivyomfanya Dr.Shein 1015.
CCM itakufia Mikononi mwako mwaka huu zanzibar.
Karibu Makamo wa kwanza wa Raisi mtarajiwa katika serikali ya Umoja wa kitaifa.
Wenzako tulitarajia wabadili sheria ili kukupa angalau mamlaka fulani utakapo kuwa Makamo wa kwanza,
Lakini kwa bahati mbaya hawakufanya hivyo, na kwa maana hiyo utakuwa Makamo kivuli usiye na maeno kama walivyotufanyia sisi 2010-2015.
KARIBU SANA UNGUJA.
Naomba ukija Unguja njoo na ile barua ya SMZ waliyotaka ufukuzwe chuo kule AUSTRALIA
Mbarawa anatoka chokocho, Shein nae katokea chokocho 😲

Hii tabia ya kuwafanya watu wa Kijiji kimoja ndio bora kuwatawala wengine hatuikubali
 
Kwa sababu mimi sio mwanachama wa Chama hicho itakuwa vigumu kukujibu.

Ila logic ni Makao makuu ya CCM yako Dodoma na ndio wanapofanya mkutano mkuu wa kuchagua wanachama watakaogombea nafasi mbalimbali ikiwemo Urais.

Labda kwa baadae CCM ingegawanywa CCM Znz ingepewa nguvu zaidi kuliko ilivyo sasa.

Lakini hili suala ni la miaka mingi halijaanzia kwa JPM.

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app

Na wenyewe wanakubali kusengenyuliwa huku, hatari
 
Kwani kimetokea nini,Mkuu??hebu niweke wazi kosa langu liko Wapi?

Si unajua tuko hapa kwa kuelimishana na kutoana wakosa sio kulaumiana..

Mkuu mimi sio mdau wa chama chochote cha siasa,.. yoyote atakae chukua nchi kwangu poa tu..
achana nao hao watumwa wa watawala, lichama lenyewe linalazimisha kupendwa
 
1. Dk. Khalid Salum Mohamed,
2. Khamis Mussa Omar, β˜‘
3. Dk. Hussein Mwinyi,β˜‘
4. Shamsi Vuai Nahodha
5. Profesa Makame Mbarawa)βœ”

Naota kama vile Hii ndio 3 bora kwa leo
katika hao mwenye tik nyeusi ndio chaguo la mwisho bora kwa CCm.
 
1. Dk. Khalid Salum Mohamed,
2. Khamis Mussa Omar, β˜‘
3. Dk. Hussein Mwinyi,β˜‘
4. Shamsi Vuai Nahodha
5. Profesa Makame Mbarawa)βœ”

Naota kama vile Hii ndio 3 bora kwa leo
katika hao mwenye tik nyeusi ndio chaguo la mwisho bora kwa CCm.
Usitutishe
 
Back
Top Bottom