Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Kamati kuu ya CCM inaketi leo kupitia majina matano ya wagombea urais wa Zanzibar na hatimaye kupitisha majina matatu yatakayokwenda kupigiwa kura.
Up dates;
Maendeleo hayana vyama!
Tunasubiri kwa Hamu....
Twendeni na Magufuli Kiunzi Cha 2020.