Tatu Malogo, mwamuzi mbovu kuwahi kutokea Tanzania

Tatu Malogo, mwamuzi mbovu kuwahi kutokea Tanzania

Kuna muda unawaza ni ujinga mkubwa sana kuruhusu hawa wanawake kwenye michezo ya kiume, wakae jikoni huko wachambue mchele na kupika.

Kila sehemu wanapowekwa kitu wanachojua ni kuharibu tu.
 
Kuna muda unawaza ni ujinga mkubwa sana kuruhusu hawa wanawake kwenye michezo ya kiume, wakae jikoni huko wachambue mchele na kupika.

Kila sehemu wanapowekwa kitu wanachojua ni kuharibu tu.

Kuna muda unawaza ni ujinga mkubwa sana kuruhusu hawa wanawake kwenye michezo ya kiume, wakae jikoni huko wachambue mchele na kupika.

Kila sehemu wanapowekwa kitu wanachojua ni kuharibu tu.
Huyu Tatu ni kituko. Sijajua pale TFF ana mahusiano na Nani?
 
Kwa tukio la Leo Mechi ya Azam Vs Pamba nadhani TFF mtambeba tena huyu refa wenu wa ovyo.
Tatu mi naona alikuwa sahihi, mchezaji wa Pamba kafanyiwa faulo nje ya 18. Na kuhusu lile goli, hata bila faulo ningelikataa mchezaji wa Pamba kabla ya kufunga alikuwa kaotea. Mi naona alifanya maamuzi sahihi kutoa faulo.
 
Tatu mi naona alikuwa sahihi, mchezaji wa Pamba kafanyiwa faulo nje ya 18. Na kuhusu lile goli, hata bila faulo ningelikataa mchezaji wa Pamba kabla ya kufunga alikuwa kaotea. Mi naona alifanya maamuzi sahihi kutoa faulo.
Angalia vizur hamna alieotea
 
Kuna muda unawaza ni ujinga mkubwa sana kuruhusu hawa wanawake kwenye michezo ya kiume, wakae jikoni huko wachambue mchele na kupika.

Kila sehemu wanapowekwa kitu wanachojua ni kuharibu tu.
Kiongozi wa wanawake ss anavyokuangalia na kauli Yako hyo mkuu😅😅😅
FB_IMG_1724330690583.jpg
 
Tatu mi naona alikuwa sahihi, mchezaji wa Pamba kafanyiwa faulo nje ya 18. Na kuhusu lile goli, hata bila faulo ningelikataa mchezaji wa Pamba kabla ya kufunga alikuwa kaotea. Mi naona alifanya maamuzi sahihi kutoa faulo.
Mzee umeangalia mpira kweli. Hakuna mchezaji alieotea na kwenye ile faulo alitakiwa kutoa advantage kwakua ni tukio ambalo halizidi sekunde kwa waamuzi makini lile ni goli. Azam nao wameanza kupata faida za kiyanga na Simba kutoka kwa waamuzi tusisikie malalamiko ya waamuzi huko mbeleni
 
Tatu mi naona alikuwa sahihi, mchezaji wa Pamba kafanyiwa faulo nje ya 18. Na kuhusu lile goli, hata bila faulo ningelikataa mchezaji wa Pamba kabla ya kufunga alikuwa kaotea. Mi naona alifanya maamuzi sahihi kutoa faulo.
Mpole hakuotea,walipokuwa wanakimbia wachezaji wa Azam wakamfanyia foul akaanguka,aliyepiga goli hakuwa offside Mpole wakati anafanyiwa foul yeye alikuwa nyuma anakuja,labda umeangalia mechi tofauti.
 
Tatu mi naona alikuwa sahihi, mchezaji wa Pamba kafanyiwa faulo nje ya 18. Na kuhusu lile goli, hata bila faulo ningelikataa mchezaji wa Pamba kabla ya kufunga alikuwa kaotea. Mi naona alifanya maamuzi sahihi kutoa faulo.
Mkuu, rudia kuangalia clip. Mpole kafanyiwa faulo nje kidogo lkn Mpira ukamfikia mwenzake lkn Tatu alishapuliza kipyenga kuashiria Mpole ndo kafanya faulo. Mwamuzi wa pembeni alishaita Kati na Wachezaji wa Pamba wakaanza kushangilia, hapo ndo Tatu alipokuja na wazo la kuwapoza Kwa kuwapa faulo. Na Kwa vile ni faulo na Mpole alikuwa na scoring opportunity, je haikustahili Kadi hata ya njiani?
 
Hujui hata maana ya advantage kosa linapotokea.

Kipi kilitangulia filimbi ya foul au goli kufungwa!?
 
Back
Top Bottom