Tatu Malogo, mwamuzi mbovu kuwahi kutokea Tanzania

Tatu Malogo, mwamuzi mbovu kuwahi kutokea Tanzania

Tatu mi naona alikuwa sahihi, mchezaji wa Pamba kafanyiwa faulo nje ya 18. Na kuhusu lile goli, hata bila faulo ningelikataa mchezaji wa Pamba kabla ya kufunga alikuwa kaotea. Mi naona alifanya maamuzi sahihi kutoa faulo.
Mkuu kama hukuangalia mpira sio ulazima uchangie
Hakuna mtu aliyeotea
Line 1 aliitisha kati kwamba ni goli
Tatu Malogo aliwapa faulo azam
Baada ya mzozano akawapa faulo pamba
Upumbavu mtupu
 
Kumbe Azam alikuwa amepigwa 😁😁😁, waga nafurahi sana hii team ikipigwa,maana miongoni mwa team ambazo hazieelwi zinataka nini ni hii imo
 
Tatu mi naona alikuwa sahihi, mchezaji wa Pamba kafanyiwa faulo nje ya 18. Na kuhusu lile goli, hata bila faulo ningelikataa mchezaji wa Pamba kabla ya kufunga alikuwa kaotea. Mi naona alifanya maamuzi sahihi kutoa faulo.
Sawa, mchezaji na Pamba kaotea na faulo wanapewa Pamba haohao!!!?? Kwa tukio lile dada yako hateteeki.
 
Hujui hata maana ya advantage kosa linapotokea.

Kipi kilitangulia filimbi ya foul au goli kufungwa!?
Hiyo foul Nani alicomit? Angalia clip hapo juu halafu eleza Tatu awali alisema mpira uelekezwe wapi kabla hajabadili maamuzi.
 
Kwa ndaaaaaaani kabisa.....refa alikuua ana nia ya dhati kabisa ya kuwalinda Azam sio tu dhidi ya hilo goli halali lakin hata hiyo faulo..BIASED FROM THE START OF IT...
 
Kuna muda unawaza ni ujinga mkubwa sana kuruhusu hawa wanawake kwenye michezo ya kiume, wakae jikoni huko wachambue mchele na kupika.

Kila sehemu wanapowekwa kitu wanachojua ni kuharibu tu.
Kuwapa waamuzi wa kike haki ya kuchezesha mechi kwenye ligi ya wanaume, huku na wenyewe wakiwa wana ligi yao; kwangu naona ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.

Yaani sioni kama kuna sababu ya msinhi ya kufanya hivyo. Ingekuwa ni kipindi kile cha nyuma, wangesingizia sababi ya kuwatia moyo! Ila kwa sasa hakuna sababu. Hao waamuzi wanatakiwa wachezeshe kwenye ligi yao. Full stop!

Wamekuwa wanatuharibia sana mpira kupitia maamuzi yao mabovu hawa viumbe! Na hakuna anayejali.
 
Tatu mi naona alikuwa sahihi, mchezaji wa Pamba kafanyiwa faulo nje ya 18. Na kuhusu lile goli, hata bila faulo ningelikataa mchezaji wa Pamba kabla ya kufunga alikuwa kaotea. Mi naona alifanya maamuzi sahihi kutoa faulo.
Na pia goli lilifungwa wakati tayari alishapuliza kipyenga....yeye alielekeza adhabu ipigwe kuelekea kwa pamba ...
 
Back
Top Bottom