Tausi wa Mrisho Mpoto ndio nani hapa nchini?

Tausi wa Mrisho Mpoto ndio nani hapa nchini?

Alivalishwa na kofia kabisa [emoji16], ulitegemea nini
t%C3%A9l%C3%A9chargement%20(1).jpg
images%20(15).jpg
t%C3%A9l%C3%A9chargement.jpg
 
Awamu ya 5 iliendeshwa kibandidu staili ya ukinipiga ngumi ya skio nakupiga ngumi ya pua ukiniuliza unaiskiaje nakuuliza umeionaje

Ni majasiri wachache kama kina Asad ndo walifungua midomo yao kusema ukweli waliobaki walikua panya tu
 
mirija ya kula watu wamekita miguu,haipitisi tena ujaji

Sizonje mpenda misifa alishakata kamba,ndiye aliyekuwa anamweka mjini.

Na samia hapendi shobo,sasa atakula wapi!?

Pesa ya kampeni ya Mtu Ni Choo haitmtoshi.

Kutembea peku kwataka moyo.
Ivi mtu ambaye havai viatu utampaje campeni ya nyumba ni choo?
 
Back
Top Bottom