Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Kwa jinsi ninavyowajua Algeria na jinsi wanavyocheza leo inaona Kuna points Tanzania itachukua leo sema wachezaji wetu n wadogo Sana kwa maana ya umbo japo mahindi, mchele, mihogo, mtama, mbuzi, ngombe, kuku wa kienyeji, mchicha, kisamvu, matembele vyote vinapatikana kirahisi
islam slimani achez na mwantika unategmea nnKwa jinsi ninavyowajua Algeria na jinsi wanavyocheza leo inaona Kuna points Tanzania itachukua leo sema wachezaji wetu n wadogo Sana kwa maana ya umbo japo mahindi, mchele, mihogo, mtama, mbuzi, ngombe, kuku wa kienyeji, mchicha, kisamvu, matembele vyote vinapatikana kirahisi
islam slimani achez na mwantika unategmea nn
Tunaomba ndugu zetu wadamu waendelee tuu kutupa raha kama walivyoanzaa
Nimegonga like mzee baba wao 0Wao 0
Sisi 2
kwamba CCM wamefungwa? asavali timu yangu ya algeria imeshinda