Tayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?

Tayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?

Ina maana magufuli alimtuma sabaya akafanye ujambazi? Je tukisema magufuli alikua jambazi tunakosea?
Ujambazi? Ujambazi huwa unafanyika namna hiyo? Kwa kukamata mliowapora na kuwapeleka polisi?
 
Hiyo ya kusema nimetumwa hua haisaidii.

Ukiona umefikishwa mahakamani na kesi imeanza kusikilizwa ni salama zaidi kuamini waliokufikisha hapo wameangalia kila upande utakaojaribu kuchomokea.

Musiba anatakiwa kuwalipa fidia watu wawili mpaka muda huu unadhani akijitetea kwamba alitumwa itabatilisha hukumu?
 
Kuna Precedent ,Kutumwa hakukuondolei msala wa kesi ,rejea kesi ya wafanyabiashara wa madini morogoro , mtuhumiwa badeni alikutwa na hatia ya mauaji ila yeye alijitetea kwamba alitumwa na zombe(mkuu wake) ,zombe na yeye akasema hajashika silaha na hajawahi kuua huko msitu wa pande kwahiyo ikala kwa badeni.

Hata kama alitumwa na magufuli ,aliyefanya tukio ni sabaya kwahiyo hakumuondolei msala na hakuna kinga ya kufanya uhalifu maana hakuna aliye juu ya sheria.
Hata wanajeshi wa Adolf Hitler ajitetea kwamba hakuwachukia waiziraeli bali aliagizwa na boss wake lakini, sheria ilichukua mkondo wake.

Kwasababu Sabaya ni binadamu mwenye utashi siyo robot wala mnyama ambao yamkini hawawezi kuchakata mambo kiufanisi bila binadamu kuwaagiza kwa manufaa yake.
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Akichomoka achomoke na msajili kukifutia usajili chama kilicho mtuma,chama kijani.
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Magufuli alikuwa ni jambazi mwenye genge la majambazi wenzake, aliwavisha madaraka serikalini.

Kosa alilofanya Magufuli,alisahau kumwambia Ndugai atengeneze sheria maalum ya kumkinga Sabaya kwa ujambazi wake anaotumwa na jambazi mkuu
 
Kwa bahati mbaya sana kauli alizotoa Sabaya mahakamani kama utetezi huo ndio ukweli halisi. Kwa bahati mbaya sana kuna visa vingi kama hivi havijaripotiwa wala kuibuliwa iwe na wahusika au waathirika

Hadithi ya kutekwa kwa Mohamed Dewji bado ni fumbo na naamini "MAMLAKA" ya sasa ikimruhusu au ikimtaka aseme ukweli mtupu kwa yale yaliyotokea Watanzania tunaweza kujiuliza kulikua na mtu wa aina gani pale jumba jeupe

Yaliyotokea pale Mawingu Radio katika sakata lililowahusisha Nape, Paul Christian na Ruge na staff wake pengine hatutajua ukweli wote lakini kwa wakati ule ushahidi wa mazingira ulijionyesha wazi nani alikua nyuma ya maagizo yale. Aliyeunda tume ya kuchunguza uhalifu ule akapokonywa wadhiwa wake with immediate effect huku akinusurika kutekwa baada ya jaribio la kufanya hivyo kuonekana public! The culprit aliyetakiwa kuchunguzwa ndio akawa anatamba kwenye vyombo vya habari vya umma huku MAMLAKA yake ya uteuzi ikimpa support

Usia wangu kwa wateule wa "MAMLAKA": OBEY LAWFUL ORDERS FROM LAWFUL AUTHORITY
Halafu utakuta mjinga mmoja anakuambia eti kiongozi huyo alikuwa ndiye kiongozi bora ukimuuliza sababu zake atakuambia ni kujenga reli mpya, kujenga bwawa la kuzalisha umeme na kununua ndege!
 
Magufuli alikuwa ni jambazi mwenye genge la majambazi wenzake, aliwavisha madaraka serikalini.

Kosa alilofanya Magufuli,alisahau kumwambia Ndugai atengeneze sheria maalum ya kumkinga Sabaya kwa ujambazi wake anaotumwa na jambazi mkuu
... Hakutarajia kufa mapema vile! Alidhani angeendelea kutawala miaka mingi ijayo akiwapa kinga ma-agents wake katika uhalifu. Mungu wa Mbinguni atukuzwe kwa matendo yake makuu. Amen.
 
Halafu utakuta mjinga mmoja anakuambia eti kiongozi huyo alikuwa ndiye kiongozi bora ukimuuliza sababu zake atakuambia ni kujenga reli mpya, kujenga bwawa la kuzalisha umeme na kununua ndege!
Ha ha ha. SHUJAA WA AFRIKA!
 
Chama Cha Majambazi
... ni aibu amiri jeshi Mkuu kutuhumiwa sembuse kutajwa mbele ya vyombo vya sheria kushiriki uhalifu! Ile dhana ya Mwl. Ikulu ni mahali patakatifu aliondoka nayo mwenyewe.
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Unasema hapa umetumia akili ya kawaida? Kwani una akili gani nyingine zaidi ya hii ndogo?
 
Magufuli alikuwa ni jambazi mwenye genge la majambazi wenzake, aliwavisha madaraka serikalini.

Kosa alilofanya Magufuli,alisahau kumwambia Ndugai atengeneze sheria maalum ya kumkinga Sabaya kwa ujambazi wake anaotumwa na jambazi mkuu
Wewe nakujua una chuki na hayati JPM. Jambazi gani atumie gari la serikali na kuwapeleka aliowapora polisi?
 
kwa hiyo angetumwa na mamlaka akawaue baba yake, mama yake, dada na kaka zake nako angeenda kufanya kama alivyoagizwa na mamlaka???
... Pengine asingefanya hivyo. Hoja ya msingi ni KUTUMWA NA RAIS kufanya uhalifu hata kama asingetekeleza.
 
Back
Top Bottom